
Umati wa watu waliohudhuria Show ya Leka Dutigike iliyofanyika katika uwanja wa Lake Tanganyika,Kigoma na kushirikisha wasanii wote ambao ni wazaliwa ama wenye asili ya Kigoma. Wakiongozwa na wabunge Vijana Mh Zitto Kabwe,Halima Mdee,Ester Bulaya na Joshua Nassari.
Wasanii wanaounda kundi hilo la wasanii wa Mkoa wa Kigoma ni Chege,Mwasiti,Banana Zorro,Peter Msechu,Diamond,Linex,Fid Q,Baba Levo,Makomando,Abdu Kiba,Ommy Dimpoz,Recho na wengineo wengi.

Wasanii wanaounda kundi la Kigoma All Stars

Mh Zitto Kabwe akizungumza na wananchi waliohudhuria uwanja wa Lake Tanganyika


Mh Halima Mdee (mbele), Ester Bulaya(katikati) na Joshua Nassari wakiserebuka


Wabunge wakiserebuka
Fid Q akifanya makamuzi

Mwasiti nae akitoa burudani