
Mohamed Salah
Mohamed Salah weekend hii alikamilisha vipimo vya afya jijini Paris na kupewa mkataba wa miaka mitano na nusu, Salah amekabidhiwa uzi namba 15.
Baada ya kusaini mkataba jijini Paris Salah alisikika akisema 'I'm very happy to sign for Chelsea, such a big club in the world. I hope I can make the Chelsea supporters happy and have a good career at the club for many years to come.'