Thursday, March 1, 2012

SCOTT PARKER AKABIDHIWA MIKOBA ENGLAND AWAPIKU GERRALD,MILNER NA JOE HART


Scott Parker nahodha mpya wa England

kiungo wa klabu ya Tottenham Scott Parker ataongoza Timu yake ya taifa kama nahodha kwa pambano la kirafiki dhidi ya Uholanzi kwenye uwanja wa Wembley.                    
Kocha msimamizi Stuart Pearce amemteua Parker badala ya orodha yenye majina kama Steven Gerrard wa Liverpool na James Milner wa Manchester City na Joe Hart.
Mapema wiki hii alichaguliwa na mashabiki kama mchezaji bora wa mwaka jana nchini England.
Scott Parker ni mcheza kiungo anayetumia maguvu na ngwara, na ni mwaka jana nyota ya mchezaji huyu iliposhamiri mno.
Kati ya mwaka 2003 na 2010, aliweza kuichezea Timu ya Taifa mara tatu ingawa alihama mara tatu kutoka vilabu - Charlton, Chelsea na Newcastle.
Mwaka jana baada ya kuibuka mchezaji bora wa wandishiw a habari za soka kwa mchango wake kwa klabu ya West Ham iliyoshuka daraja alijiunga na klabu ya Tottenham kwa kitita cha pauni £5.5m.
Katika pambano la hivi karibuni mchezaji huyu alionyeshwa kadi mbili za njano kwa utumiaji wake nguvu wakati wa pambano lenye sifa ya uhasama mkubwa wa vilabu viwili vya eneo la kaskazini mwa London, Arsenal na hivyo hatoshiriki pambano muhimu la klabu yake dhidi ya Manchester United siku ya jumapili ijayo.

KUELEKEA KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA, KENYA KIDEDEA, UGANDA, TANZANIA HOHEHAHE

Dennis Odhiambo wa Kenya akichuana vikali na Segbefia Rince(14) wa Togo katika mechi ambayo Kenya iliibamiza Togo 2-1

Katika michezo, matokeo ya mechi zilizochezwa leo katika kinyanganyiro cha kuchuja Timu zitakazoshiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika huko Afrika kusini"BONDENI" mwaka 2013, Madagascar imechapwa na Cape Verde 4-0.
Tanzania ikalazimishwa sare ya 1-1 na Msumbiji mjini Daresalam.Rwanda ikaibania Nigeria kwa kutoa suluhu 0-0, Ethiopia ikatoa sare ya 0-0 na Benin mjini Adis Ababa.
Burundi ikaichapa Zimbabwe 2-1 mjini Bujumbura. Mjini Nairobi, Kenya ikafanikiwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Togo. Mjini Ndjamena Chad ikaitoa Malawi 3-2. Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo ikaanza vizuri kampeini kwa kuinyunyizia Ushelisheli 4-0. Juhudi za Uganda katika kipindi cha kwanza kuishinikiza Congo Brazzaville mjini Brazaville ziliichosha na kuchapwa 3-1.
Katika michuano kama hio kwa bara Asia, Saudi Arabia imeondolewa katika michuano ya Kombe la Dunia la mwaka 2014 kwa kipigo cha mabao 4-2 na Australia huku Oman ikisonga mbele kuingia hatua za mwisho za Timu kutoka bara Asia.
Timu nyingine ngumu kutoka eneo hilo Korea ya kusini imepona aibu kama Saudi Arabia kwa kuichapa Kuwait 2-1 na Qatar ikapata bao la dakika za majeruhi kusawazisha mawili ya Iran licha ya Bahrain kuinyunyizia Indonesia mabao 10-0.
Bahrain ilihitaji mabao 8 na Qatar ipoteze mechi yake ili iweze kusonga mbele lakini Qatar ilijizatiti na kupata mabao mawili dhidi ya IRAN ambayo tayari ilikua imeisha fuzu

Wednesday, February 29, 2012

Shilole ft Q-Chief - LAWAMA

BREKING NEWS:Ajali ya basi yaua 9 Mwanza

AJALI YAUA 9 MWANZA
Ajali ya barabarani imetokea majira ya saa 5 za asubuhi hii pale basi la abiria la kampuni ya Zakaria likitokea Mwanza kuelekea Musoma lilipogongana uso kwa uso na gari dogo la abiria aina ya Toyota Noah (old model).
Katika ajali hiyo watu tisa(9) wamepoteza maisha papo hapo. Habari zaidi hapahapa.

NIMPENDE NANI By Diamond

KNOW SYMPTOMS OF STRESS, HOW 2 HANDLE STRESS AND PHYSICAL EFFECTS OF STRESS


THE OFFICAL LIST OF SYMPTOMS OF STRESSThere are numerous symptoms of stress from each of the four groups, as illustrated by the following list of dozens of common signs of stress as listed by the American Institute of Stress.

Frequent headaches, jaw clenching or pain

  • Gritting, grinding teeth



  • Difficulty concentrating, racing thoughts


  • Stuttering or stammering


  • Trouble learning new information


  • Tremors, trembling of lips, hands


  • Forgetfulness, disorganization, confusion


  • Neck ache, back pain, muscle spasms


  • Difficulty in making decisions.


  • Light headedness, faintness, dizziness


  • Feeling overloaded or overwhelmed.


  • Ringing, buzzing or "popping" sounds


  • Frequent crying spells or suicidal thoughts


  • Frequent blushing, sweating


  • Feelings of loneliness or worthlessness


  • Cold or sweaty hands, feet


  • Little interest in appearance, punctuality


  • Dry mouth, problems swallowing


  • Nervous habits, fidgeting, feet tapping


  • Frequent colds, infections, herpes sores


  • Increased frustration, irritability, edginess


  • Rashes, itching, hives, "goose bumps"


  • Overreaction to petty annoyances


  • Unexplained or frequent "allergy" attacks


  • Increased number of minor accidents


  • Heartburn, stomach pain, nausea


  • Obsessive or compulsive behavior


  • Excess belching, flatulence


  • Reduced work efficiency or productivity


  • Constipation, diarrhea


  • Lies or excuses to cover up poor work


  • Difficulty breathing, sighing


  • Rapid or mumbled speech


  • Sudden attacks of panic


  • Excessive defensiveness or suspiciousness


  • Chest pain, palpitations


  • Problems in communication, sharing


  • Frequent urination


  • Social withdrawal and isolation


  • Poor sexual desire or performance


  • Constant tiredness, weakness, fatigue


  • Excess anxiety, worry, guilt, nervousness


  • Frequent use of over-the-counter drugs


  • Increased anger, frustration, hostility


  • Weight gain or loss without diet


  • Depression, frequent or wild mood swings


  • Increased or decreased appetite


  • Insomnia, nightmares, disturbing dreams


  • Feeling Tired all the Time


  • Increased smoking, alcohol or drug use


  • Excessive gambling or impulse buying



  • As demonstrated in the above list, symptoms of stress can show up in a mind bogglingly wide range, and have huge impact and effects on our sense of self, our emotions, moods and behaviors.
    HOW STRESSED AM I?
    You may see a number of symptoms that describe you, and yet have trouble grasping that stress is their cause. It may be hard to think of stress as their direct cause, when often the symptom is in itself a cause of stress, and perpetually locked into a vicious cause-effect cycle.
    Another reason it is hard to tell if you are "really that stressed", is because mental disorders, even full blown mental, mood and emotional dysfunctions, that were rare have now become the norm and worrisomely we have come to accept them as normal.
    How would we know what freedom from stress is like it we have never experienced any other kind of existence?
    We may also have trouble grasping the seriousness of stress because, well, stress is a brain killer. It impairs our judgement, memory, and much more. Neuroscientists are warning us about disregarding the fragility of our brains with regard to stress.
    And our brain is only one of the systems that we can be unaware of, or worse oblivious to, being heavily affected by stress overload.
    STRESS EFFECTS ON BODILY SYSTEMS
    Equally important but often less appreciated are the physical effects of stress on various body systems, organs and tissues all over the body.
    But we do not stay unaware for long. Sooner, rather than later, we have a serious physical, mental or emotional breakdown.


    Taifa Stars Vs Msumbiji

















    Kikosi cha stars mazoezini juzi

    KOCHA Taifa Stars, Jan Poulsen na kiungo Nizar Khalfan wamewataka Watanzania kuondoa wasiwasi kwa kuahidi kufanya vizuri kwenye mchezo wa leo dhidi ya Msumbiji.
    Kauli hizo za Poulsen na Khalfan zinatokana na baadhi ya mashabiki wa Stars kukata tamaa na timu hiyo kwa kutokuwa na matokeo mazuri kwenye michezo yake ya kimataifa hivi karibuni pamoja na kutofurahishwa na uteuzi wa wachezaji wa kikosi hicho.
    Wakizungumza na Mwananchi jana mara baada ya mazoezi ya timu hiyo, Poulsen alisema ana imani wachezaji wake watapata matokeo mazuri kesho kama wataungwa mkono na mashabiki wote.
    "Watanzania wote kwa sasa wanapaswa kuwa kitu kimoja na kuendelea kutuunga mkono ili kuhakikisha tunaibuka na ushindi katika mchezo huo muhimu.
    "Siwezi kuwalazimisha kuondoa hofu, lakini ningependa kuwaambia kuwa nina matuini makubwa vijana wangu kufanya vizuri kwenye mechi hiyo. Wachezaji wameonyesha uchungu na timu ya taifa," alisema Poulsen.
    Alisema maneno mengi yanayosemwa na baadhi ya mashabiki kutokana na kutomwita Mbwana Samataa katika kikosi cha Stars, hayajengi isipokuwa jambo la msingi ni kuijitokeza kwa wingi na kuishangilia timu kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
    Akiunga mkono kauli za kocha wake kiungo Khalfan alisisitiza kuwa Taifa Stars ina nafasi kubwa ya kuifunga Msumbuji.
    Nizar aliyetemwa dakika za mwisho na klabu yake ya Philadephia Union ya Marekani alisema: "Nafikiri tuna kila sababu ya kushinda mchezo wa kesho, kila atakayepata nafasi yakucheza ajitume na kujitoa kwa ajili ya Taifa lake."
    Alisema timu ya Zambia haikuwa na wachezaji wakutisha sana kwenye fainali ya Kombe la Mataifa Afrika zilizomalizika Gabon na Equatorial Guinea isipokuwa nyota wake walikuwa na moyo wakujitoa na kujituma zaidi.
    "Naamini tukiweza kufuata hayo kutoka kwa ndugu zetu Zambia tutashinda mchezo huo tena kwa kishindo," alisisitiza.

    Alisema tangu alipotua nchini Jumapili jioni amefurahishwa na morali aliyowakuta na wachezaji wa kikosi hicho na kusema ni dalili nzuri ya ushindi kwa Stars.
    "Ni dalili nzuri kwetu kumwona kila mmoja wetu morali yake ikiwa juu, tunaomba mashabiki watupe sapoti ya kutosha ili tuweze kufanya yale ambayo yamekusudiwa na wengi," aliongeza.
    Alisema anaamini kama watashinda mechi hiyo ya kwanza ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa Afrika 2013 watajiweka katika mazingira mazuri yakusonga mbele.
    Katika hatua nyingine, alisema hafahamu sababu za Poulsen kumwacha Samatta.
    "Sababu atakuwa nazo mwenyewe, siwezi kuingilia maamuzi yake, naamini Samata bado ana nafasi kubwa kwenye timu ya taifa," alisema Nizar.

    Hii ni mara ya tano kwa Tanzania na Msumbiji kucheza kati ya hizo Mambaz imeshinda mechi mbili na kutoka sare mbili.
    Watanzania wengi wanakumbukumbu ya bao la Tiko Tiko lililowanyima kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2008 nchini Ghana.