Wednesday, May 16, 2012
5 BEST SCORERS IN THE EPL
Frank Lampard
At 33, Lampard still has his goal-scoring ability.
He has been one of Chelsea’s and the EPL’s most consistent midfielders.
Before last season, he had scored at least 20 goals in all competitions for five straight seasons.
That number dropped to 13 last year as he struggled with injuries and an inconsistent role as the club played around with formations after signing Fernando Torres.
This season, Lampard has scored 10 league goals in 22 matches. His role has shrunk under first-year Portuguese manager Andre Villas-Boas.
Unfortunately, because of his new role, Lampard’s future with Chelsea is up in the air. The club has struggled under AVB.
There is a strong possibility Lampard will leave Stamford Bridge this summer with a year remaining on his contract.
He has been one of Chelsea’s and the EPL’s most consistent midfielders.
Before last season, he had scored at least 20 goals in all competitions for five straight seasons.
That number dropped to 13 last year as he struggled with injuries and an inconsistent role as the club played around with formations after signing Fernando Torres.
This season, Lampard has scored 10 league goals in 22 matches. His role has shrunk under first-year Portuguese manager Andre Villas-Boas.
Unfortunately, because of his new role, Lampard’s future with Chelsea is up in the air. The club has struggled under AVB.
There is a strong possibility Lampard will leave Stamford Bridge this summer with a year remaining on his contract.
Luis Suarez
Playing in the Dutch league, Suarez scored 111 goals in 159 appearances for
his club, Ajax.
In the 2009-2010 season alone, he scored 49 goals in 48 matches in all competitions.
Suarez moved to Anfield in January 2011.
The club was struggling when they brought Suarez on board, and he helped them to revive their season under manager Kenny Dalglish.
Suarez is only 25 and is a very clever and technical player. He is versatile and can be evasive due to his quickness.
In his first full season with Liverpool, Suarez has scored only six goals in 20 league matches. He did, however, serve an eight-match suspension for a racial incident involving Manchester United and French International defender Patrice Evra.
In the 2009-2010 season alone, he scored 49 goals in 48 matches in all competitions.
Suarez moved to Anfield in January 2011.
The club was struggling when they brought Suarez on board, and he helped them to revive their season under manager Kenny Dalglish.
Suarez is only 25 and is a very clever and technical player. He is versatile and can be evasive due to his quickness.
In his first full season with Liverpool, Suarez has scored only six goals in 20 league matches. He did, however, serve an eight-match suspension for a racial incident involving Manchester United and French International defender Patrice Evra.
Clint Dempsey
In 2010-2011, Dempsey set the record for goals by an American in the EPL with
12 in all league matches.
Dempsey has twice netted a hat trick this season: once in the Football Association Cup against Charlton and once in Premier League action against Newcastle United.
The latter hat trick was scored in an impressive span of 20 minutes.
Dempsey has scored a career-best 16 goals in all competitions this season, surpassing his total of 13 last year.
In 26 EPL matches this season, Dempsey has scored 10 times, two short of the record for an American in the league he set last season.
He has scored 52 goals during his time with the club and has led Fulham to become a mid-table team in the Premier League.
Unfortunately for the Cottagers, it does not appear as if Dempsey will be at the club much longer. He has repeatedly stated his desire to regularly play in the Champions League, something that will not happen with Fulham.
Last season, Rooney scored only 16 goals in 40 appearances he made in all
competitions for Manchester United.
He scored the best goal of the 2010-2011 season.
Nani sent in a cross, which Rooney bicycle-kicked past a stunned Joe
Hart.
His tally of only 16 goals can be attributed to the role he played with the
club last year. With Javier Hernandez, “Chicharito”, playing the role of
striker, Rooney played more of an offset forward, midfield distributor
position.
This season, Rooney has scored the second-most goals in the Premier League.
He has found the back of the net 17 times in 22 league appearances.
Rooney has taken on more of the offensive load this season for the Red
Devils, as Chicharito has struggled with injuries.
During an injury-plagued 2010-2011 season, Van Persie scored 18 goals in 25
games.
During that span, he set a record when he scored in nine consecutive away
league matches.
This year, RVP has put the club on his back and has almost single-handedly
kept the Gunners in the race for a chance to qualify for the Champions League.
Van Persie has netted 22 goals in 25 league appearances thus far this
season.
The Dutch International scored one of the finest goals of this Premier League
season in December when he volleyed an Alex Song ball past American goalkeeper
Tim Howard.
Dempsey has twice netted a hat trick this season: once in the Football Association Cup against Charlton and once in Premier League action against Newcastle United.
The latter hat trick was scored in an impressive span of 20 minutes.
Dempsey has scored a career-best 16 goals in all competitions this season, surpassing his total of 13 last year.
In 26 EPL matches this season, Dempsey has scored 10 times, two short of the record for an American in the league he set last season.
He has scored 52 goals during his time with the club and has led Fulham to become a mid-table team in the Premier League.
Unfortunately for the Cottagers, it does not appear as if Dempsey will be at the club much longer. He has repeatedly stated his desire to regularly play in the Champions League, something that will not happen with Fulham.
Wayne Rooney
Robin Van Persie
ROBIN VAN PERSIE ANYAKUA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND
ROBIN VAN PERSIE NA KIATU CHA DHAHABU
Mshambuliaji wa Arsenal, Robin van Persie(RVP) ametwaa kiatu cha dhahabu msimu huu, kwa kuwashinda Wayne Rooney na Sergio Aguero katika ufungaji.
Mshambuliaji huyo mwenye miaka 28, ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya kwanza katika maisha yake, pia amepokea paundi 30,000 kama zawadi yake kwa kushinda tuzo hiyo.
ROBIN VAN PERSIE akishangilia moja ya magoli aliyofunga msimu huu
Van Persie amefunga mabao 30 msimu huu na kufikia rekodi iliyowekwa Arsenal na mkongwe Thierry Henry msimu wa 2003/04, na hiyo ni tuzo yake ya tatu kuipata katika wiki za karibuni baada ya kushinda tuzo ya PFA na Mchezaji bora wa Mwaka inayotolea na Waandishi wa Soka.
Van Persie alikuwa nguzo muhimu kwa 'Gunners' msimu huu, kwa kufunga mabao yaliyoiwezesha timu hiyo kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa msimu huu.
Wayne Rooney amemaliza wapili nyuma ya Van Persie akiwa amefunga mabao 27, na watatu ni Aguero mfungaji wa mabao muhimu lililowezesha Manchester City kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu kwa mara ya kwanza baada ya miaka 44.
Mabao mawili ya Van Persie yameingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya bao la msimu, pamoja na lile alilofunga dhidi ya Everton kwenye Uwanja wa Emirates mwezi Desemba.
Wakati huohuo; Klabu ya Arsenal inatarajiwa kumpa mkataba mpya na mnono mshambuliaji wake, Robin van Persie kabla ya kuanza kwa michuano ya Ulaya mwezi ujao.
Mtandao wa Sportpulse umeeleza jana kuwa Van Persie ambaye amemaliza msimu akiwa mfungaji bora kwa mabao 30 atasaini mkataba wa pauni 220,000 kwa wiki wa kuendelea kubaki katika klabu hiyo ya London ambayo mkataba wake unaisha mwakani.
Ofa hiyo, Sportpulse inaeleza kuwa itamfanya kuwa mchezaji anayelipwa kiasi kikubwa Arsenal.
Kulingana na mtandao huo, ofa hiyo itambakisha kwa muda mrefu zaidi katika klabu hiyo pamoja na kuzizuia klabu nyingine kama vile, Real Madrid, Man City na Juventus ambazo zinamtaka.
Van Persie ambaye ameibuka mshindi wa tatu kwa ufungaji mabao Ulaya nyuma ya Lionel Mess (Barcelona) na Cristiano Ronaldo wa Real Madrid amekuwa gumzo msimu huu kwa umahiri wake wa kupachika mabao.
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amekuwa akieleza kutokuwa tayari kumwachia mshambuliaji huyo raia wa Uholanzi ambaye amekuwa akisumbuliwa na maumivu misimu michache iliyopita.
Msimu huu, mshambuliaji huyo ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya wa Chama cha Wachezaji wa Kulipa (PFA) na pia Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo barani humo.
Tuesday, May 15, 2012
HAWA NDIO WALIOITWA NA POULSEN KUUNDA TIMU YA TAIFA(TAIFA STARS)
Kocha mpya wa timu ya taifa ya Tanzania bara, Kim Poulsen, amewaacha katika kikosi chake baadhi ya wachezaji wa muda mrefu wa timu ya taifa.
Poulsen, kutoka Denmark, amewachagua wachezaji wapya kuwa miongoni mwa wachezaji 22 wa timu ya Taifa Stars.
Kocha wa Stars Kim Poulsen
Juhudi hizo ni miongoni mwa maandalizi ya kocha huyo kwa mashindano ya kufuzu
kwa michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2014.
Ameamua kuwatema baadhi ya wachezaji wenye uzoefu wa muda mrefu na kuwachagua vijana wadogo zaidi.
"Nimeamua kuwachagua vijana hawa wadogo kwa kuwa ninaamini wataweza kuifanya kazi hiyo ya timu ya taifa", alielezea.
Kikosi cha Tanzania kina wachezaji;
MaKipa: Juma Kaseja (Simba), Mwadini Ally (Azam), Deogratius Munishi (Mtibwa Sugar)
Walinzi: Nassor Masoud Cholo (Simba), Aggrey Morris (Azam), Amir Maftah (Simba), Erasto Nyoni (Azam), Kelvin Yondani (Simba), Waziri Salum (Azam), Shomari Kapombe (Simba) na Juma Nyoso (Simba)
Viungo wa kati: Mwinyi Kazimoto (Simba), Salum 'Sure Boy' Abubakar (Azam), Nurdin Bakari (Yanga), Jonas Mkude (Simba), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Edward Christopher (Simba), Mrisho Ngasa (Azam) Frank Domayo (JKT Ruvu)
Washambuliaji: Mbwana Samata, Thomas Ulimwengu (TP Mazembe, DR Congo), Ramadhan Singano (Simba), Simon Msuva (Moro United), Haruna Moshi (Simba), John Bocco (Azam)
Poulsen aliwahi kuifunza timu ya Tanzania ya vijana chini ya umri wa miaka 17 na vile vile miaka 20, kabla ya kurithi kazi ya raia mwenzake wa Sweden, na ambaye majina yanafanana, Jan Poulsen.
Kocha huyo mwenye umri wa miaka 52 ameamua kutowaalika wachezaji wa zamani kama nahodha Shadrack Nsajigwa, Nadir Haroub, Henry Joseph, Nizal Khalfan na Abdi Kassim.
Kinyume na hayo, ameamua kumchukua tena mshambulizi mwenye umri mdogo Mbwana Samata, ambaye huichezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, na ambaye alikuwa ametupwa nje na kocha wa awali Jan Poulsen.
Wachezaji wengine walioalikwa kujiunga na timu ya taifa kwa mara ya kwanza miongoni mwa vijana waliopo katika timu ya chini ya umri wa miaka 20 ni pamoja na Ramadhani Singano, Edward Christopher na Frank Domayo.
"Kuna matumaini siku zijazo kupitia timu hii, na ninaamini mchezo wao utastawi na kustawi", alielezea Poulsen.
Kikosi kitaanza mazoezi yake kikiwa kambini kuanzia Jumatano, kwa nia ya kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi, tarehe 26 mwezi huu wa Mei.
Monday, May 14, 2012
MAN CITY BINGWA ENGLAND 2-MAN U. 3-ARSENAL BOLTON YASHUKA DARAJA
Wachezaji wa Man City wakishangilia ubingwa wa Uingereza
Manchester City ikifunga mabao mawili zikiwa zimesalia dakika mbili za nyongeza mpira kumalizika, wamefanikiwa kuunyakua ubingwa wa Ligi Kuu ya Kandanda ya England kwa kuwalaza QPR waliocheza wakiwa 10 kwa mabao 3-2 katika mchezo uliomalioza msimu kwa mtindo wa kusisimua.
Pablo Zabaleta alikuwa wa kwanza kuipatia bao la kuongoza Manchester City kabla Joleon Lescott kufanya makosa na kumpatia nafasi Djibril Cisse kuisawazishia QPR.
Kocha Mancini akishangilia pamoja na benchi la ufundi
Joey Barton alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kukwaruzana na Carlos Tevez lakini alikuwa Jamie Mackie aliyeipatia bao la pili QPR kipindi cha pili.
Huku Manchester United ikiwa imeshailaza Sunderland, Manchester City walionekana kama wangepoteza nafasi ya kuunyakua ubingwa lakini Edin Dzeko akafanikiwa kufunga bao la kusawazisha kwa kichwa na dakika moja baadae Sergio Aguero akapachika bao la ushindi lililoimaliza kabisa QPR.
Kipa wa Man City Joe Hart akishangilia baada ya kipyenga cha mwisho kupulizwa
Tevez akirushiana maneno na Joe Burton
Kocha wa QPR Mark Hughes akiwa haamini kilichotokea
Hili ni taji la kwanza la Manchester City tangu waliposhinda kombe la Ubingwa wa Ligi daraja la kwanza wakati huo mwaka 1968.
Manchester United imepoteza taji lake la Ligi Kuu ya England, licha ya kuilaza Sunderland baada ya mahasimu wao wakubwa Manchester City kuilaza Queens Park Rangers.
MAN C Vs QPR
Bao la kichwa lililowekwa kimiani na Wayne Rooney lilioneka kama lingempatia
Sir Alex Ferguson ubingwa wa Ligi Kuu ya Kandanda kwa mara ya 13 kwa kipindi
chake cha umeneja kwa miaka 20.Manchester United walikuwa wanadhani wameshinda ubingwa baada ya Manchester City kuwa nyuma kwa mabao 2-1 na zikiwa zinaelekea dakika za nyongeza kumalizika huku mashabiki wao wakianza sherehe za ubingwa.
Man C vs QPR & Man U vs Sunderland Highlights
Lakini taarifa zilizofika kwa mashabiki wa Manchester United kwamba
Manchester City wamepachika mabao mawili ya haraka haraka dakika za mwisho
ziliwanyamazisha mashabiki hao na wachezaji wao wakaonekana hawaamini
wanachokisikia.Arsenal imefanikiwa kupata nafasi ya tatu na watacheza Ligi ya Ubingwa wa Ulaya msimu ujao moja kwa moja baada ya kuilaza West Brom mabao 3-2, hasa kutokana na makosa ya mlinda mlango wa West Brom Marton Fulop.
Ushindi huo wa 3-2 ina maana kikosi cha Arsene Wenger kimemaliza msimu wakishika nafasi ya tatu.
Koscielny akishangilia goli la pili na wenzake wa Arsenal
Fulop alifanya makosa yaliyoipatia Arsenal bao la kuongoza dakika nne tu tangu mchezo ulipoanza kupitia kwa Yossi Benayoun lakini muda mfupi tu West Brom wakafanikiwa kusawazisha.
Lakini walikuwa Andre Santos na Laurent Koscielny waliopiatia Arsenal mabao ya ushindi kwa Arsenal.
Tottenham baada ya kuilaza Fulham mabao 2-0 imefanikiwa kumaliza ligi wakiwa nafasi ya nne lakini watajipatia nafasi ya kucheza Ligi ya Ubingwa wa Ulaya iwapo tu Chelsea itapoteza mchezo wa fainali ya Ubingwa wa Ulaya.
ARSENAL VS WBA
Emmanuel Adebayor alikuwa wa kwanza kuipatia Tottenham bao la kwanza ambapo
Fulham nao walikosa nafasi nzuri ya kufunga kwa mkwaju wa Moussa Dembele kugonga
mwamba.Jermain Defoe aliithibitishia Tottenham ushindi baada ya kupachika bao la pili kutokana na mkwaju wa awali alioufumua Aaron Lennon kuwagonga wachezaji wa Fulham.
Ndoto za kucheza Ubingwa wa Ulaya kwa Newcastle ziliyeyuka baada ya Everton kumaliza msimu kwa mtindo wa aina yake katika uwanja wa Goodison Park. Everton walifanikiwa kupata ushindi wa mabao 3-1.
Steven Pienaar aliufungua mlango wa Newcastle kwa mkwaju wa yadi 20 ambao ulimgonga mlinzi wa Newcastle Mike Williamson na kujaa wavuni.
Nikica Jelavic akaiongezea Everton bao la pili sekunde chache baada ya jitahada zake za awali kupanguliwa na mlinda mlango Tim Krul kabla Johnny Heitinga kuongeza bao la tatu.
Chelsea kwa urahisi iliilaza Blackburn mabao 2-1 baada ya kumiliki mpira kwa muda mrefu katika uwanja wa Stamford Bridge.
Chelsea walipumzisha wachezaji wao wengi nyota wakiwa wanajiandaa kwa fainali ya Ubingwa wa Ulaya wiki ijayo, lakini hata hivyo hawakuonesha kandanda ya kuvutia sana.
John Terry aliufungua mlango wa Blackburn kwa bao la kichwa baada ya kuunganisha mkwaju wa juu uliochongwa na Romelu Lukaku na baada ya dakika tatu Raul Meireles akaifungia Chelsea bao la pili.
Chelsea walikosa nafasi nyingi za kufunga lakini Yakubu alionekana mwiba kwa ngome yao baada ya kuipatia Blackburn bao moja katika shambulio la nadra walilofanya.
Danny Graham akiwa amefunga bao lake la 100 tangu aanze kucheza kandanda alifanikiwa kuipatia Swansea ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Liverpool.
Graham alifumua mkwaju akiwa karibu na lango zikiwa zimesalia dakika nne kabla mpira kumalizika na kupata ushindi wa kumbukumbu.
Swansea walimiliki mchezo kwa muda mrefu kipindi cha kwanza na Gylfi Sigurdsson mara mbili alikosa nafasi za kufunga.
Liverpool walibadilika kipindi cha pili na Andy Carroll mpira wa juu alioupiga uliokolewa na mlinda mlango Michel Vorm.
Norwich walimaliza msimu vizuri sana baada ya kupata ushindi rahisi dhidi ya Aston Villa hali iliyoongeza chagizo kwa meneja Alex McLeish.
Mshambuliaji wa Norwich Grant Holt alikuwa wa kwanza kuipatia timu yake bao la kwanza kwa mkwaju wa adhabu ya moja kwa moja na kuandika bao lake la 17 msimu huu.
Simeon Jackson alitumia makosa ya mlinzi wa Aston Villa Carlos Cuellar na kupachika bao la pili akiwa karibu kabisa na lango.
Villa iliwalazimu wamshukuru sana mlinda mlango wao Shay Given, ambaye alifanya kazi ya ziada kupunguza mabao.
Meneja wa Aston Villa McLeish alikuwa akizomewa na mashabiki wa timu yake muda wote wa mchezo ambapo tangu ameichukua timu hiyo msimu huu mambo hayakumuendea vizuri.
Bolton hatimaye wameshuka daraja na msimu ujao hawatacheza tena Ligi Kuu ya Kandanda ya England baada ya kutoka sare na Stoke katika uwanja wa Britannia.
Iwapo Bolton wangeshinda mechi hiyo - huku QPR wakiwa wamefungwa na Manchester City - wangepona na shoka la kushuka daraja, lakini bao la mkwaju wa penalti uliofungwa na Walters likaizamisha.
Mark Davies alikuwa wa kwanza kuipatia bao Bolton na baadae bao lililofungwa na Kevin Davies likaonekana kabisa kufufa uhai kwa Bolton.
Lakini bao la penalti la Walters bada ya Peter Crouch, kufanyiwa rafu ndani ya boksi likaididimiza Bolton na msimu ujao watacheza ligi ya Championship.
Wigan imefanikiwa kupata ushindi wa saba katika mechi tisa ilizocheza na kuepuka kabisa panga la kuwateremsha daraja dhidi ya Wolverhampton Wanderers ambao tayari wameshateremka daraja. Wingan wameshinda mabao 3-2.
Subscribe to:
Posts (Atom)


