Thursday, August 29, 2013
BREAKING NEWZZ!! MAJAMBAZI YAVAMIA BENKI KARIAKOO NA KUPORA FEDHA KIBAO
Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha Fedha. Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Habari kamili itakujia hivi punde......
Wednesday, August 28, 2013
SIMBA YATAKATA YANGA YAVUTWA SHATI NA COASTAL UNION
Kikosi cha Yanga
Ligi kuu Tanzania bara imeendelea tena leo, Watani wa wajadi wakishuka katika viwanja tofauti kuwania pointi tatu muhimu. Yanga walikuwa katika dimba kuu la Taifa wakikipiga na Coastal Union ya Tanga,katika mpambano huo timu zote zilitoka sare ya 1-1 baada ya dakika 90 kumalizika.
Yanga walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 15 likitupiwa kambani na Jerryson Tegete na Coastal walijitoa kimasomaso kwa kuchomoa katika dakika ya 16 na Abdi Banda.
Simba walikipiga na JKT Oljoro na kuibuka na ushindi wa bao 1-0 bao likitupiwa kambani na Chanongo.
Ligi kuu Tanzania bara imeendelea tena leo, Watani wa wajadi wakishuka katika viwanja tofauti kuwania pointi tatu muhimu. Yanga walikuwa katika dimba kuu la Taifa wakikipiga na Coastal Union ya Tanga,katika mpambano huo timu zote zilitoka sare ya 1-1 baada ya dakika 90 kumalizika.
Yanga walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 15 likitupiwa kambani na Jerryson Tegete na Coastal walijitoa kimasomaso kwa kuchomoa katika dakika ya 16 na Abdi Banda.
Simba walikipiga na JKT Oljoro na kuibuka na ushindi wa bao 1-0 bao likitupiwa kambani na Chanongo.
Tuesday, August 27, 2013
MSHINDI WA BIGBROTHER AFRICA 2013 DILISH WA NAMIBIA AKIMWAGA RADHI
Mshindi wa Bigbrother africa 2013 Dilish akioga bila chenga. Dilish kutoka Namibia amefanikiwa kuibuka kidedea katika kinyang'anyiro hicho kilichodumu kwa siku 90 na kuondoka na kitita cha dola 300,000. usipimee....
Dilish
MAN U CHELSEA ZATOSHANA NGUVU
Rooney akijaribu kumhadaa Lampard katika mtanange huo
Rooney akijaribu kufunga bia mafanikio.
Klabu za Chelsea na Manchester United zimeminyana uwanjani Old Trafford. Pande zote mbili zimekosa kufunga bao, na hivyo kutoka sare ya bila kwa bila.
Matokeo hayo yanamaanisha kwamba mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza, wote wamepoteza pointi katika siku kumi na sita za kwanza wa msimu huu, na zinaifuata Manchester City iliyopoteza pointi pia kufuatia mechi dhidi ya Cardiff.Meneja wa Chelsea Jose Mourinho aliiambia BBC Sport " Hakuna Upande uliostahili kushinda na kushindwa vile vile, unataka kushinda lakini pande zote zilikua na ulinzi mkali. Na kwa mashabiki najua angalau bao moja lingewafurahisha, iwapo ungekuwa mchuano mzuri''.
Naye meneja wa Manchester United, David Moyes alisema, alivunjika moyo kwa sababu hawakuzoa pointi yoyote, lakini ndivyo ilivyo na hawana budi kujifunza kutokana na hali hiyo.
Chelsea kwa sasa inaongoza ligi kuu kwa pointi saba, ikifuatwa kwa karibu sana na Liverpool na Tottenham, zote zikiwa na pointi sita. Machester United inashikilia nafasi ya nne ikiwa na pointi nne.
Wednesday, August 14, 2013
HAPPY BIRTHDAY ENNA
Leo ni siku nzuri ya kuzaliwa mtoto wa rafiki yangu mpenzi Maria Kitenge. Enna ambaye pia ni kipenzi changu "mchumba" alizaliwa mwezi na tarehe kama ya leo. Yangu machache kwake ni haya;
Subscribe to:
Posts (Atom)




