Friday, January 17, 2014
THANKS FOR BIRTHDAY WISHES
Yesterday was my birthday, and on Facebook, and in email and via other sites I am associated with, I am getting bombarded with good wishes, including some very tempting offers...I'm trying to be a good boy, I really am.
Wednesday, January 8, 2014
MAN U KICHWA CHA MWENDAWAZIMU YANYOLEWA NA SUNDERLAND
Timu ya soka ya Manchester United ya uingereza imeendeleza wimbi la kupokea vichapo toka kwa vibonde, ambapo siku ya jana ilipokea kichapo cha mbwa mwizi toka kwa vibonde wa ligi kuu ya Uingereza ya Sunderland cha mabao 2-1 katika dimba la Stadium of Light.


Goli la kwanza la Sunderland lilipatikana dk ya 5 likitupiwa kambani na Gadner, na mpaka mapumziko Sunderland walikuwa mbele kwa bao hilo moja.
Katika kipindi cha pili Januzaj aliisawazishia Man Uited katika dk 55 kabla ya Sunderland kupata bao la pili lililotokana na makosa aliyosababishwa na chipukizi wa Man United Januzaj katika harakati za kuondosha hatari langoni mwake na kujikuta akiusundikiza mpira wavuni katika dakika ya 55

Niachie weweeeee..........

Goli la kwanza la Sunderland lilipatikana dk ya 5 likitupiwa kambani na Gadner, na mpaka mapumziko Sunderland walikuwa mbele kwa bao hilo moja.
Katika kipindi cha pili Januzaj aliisawazishia Man Uited katika dk 55 kabla ya Sunderland kupata bao la pili lililotokana na makosa aliyosababishwa na chipukizi wa Man United Januzaj katika harakati za kuondosha hatari langoni mwake na kujikuta akiusundikiza mpira wavuni katika dakika ya 55
Niachie weweeeee..........
SUNDERLAND 2-1 MAN UNITED
Monday, January 6, 2014
Tuesday, December 24, 2013
NYASI ZA EMIRATES ZAWAKA MOTO ARSENAL NA CHELSEA ZIKITOSHANA NGUVU
December 23, 2013
ARSENAL 0-0 CHELSEA
Emirates Stadium — London
Referee: M. Dean
Attendance: 60,039
Referee: M. Dean
Attendance: 60,039
Peter Cech akimkabili Ozil asilete maafa langoni mwa Chelsea
Kama kawaida yake mzee wa kukosa magoli kizembe,Oliver Giroud akishika bichwa lake.
Kazi kati ya Sagna na Schurrell
Hapa ni ubabe time baada ya magoli kushindwa kupatikana, misuli sasa weweeee
Lampard weweeeee...aaagh chupuchupu Lampard awatie njaa Arsenal shuti kali limegonga mwamba.
Zamu ya Walcott na Willian kupimana ubavu.
ARSENAL 0-0 CHELSEA
Friday, December 20, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)





