Friday, January 17, 2014

THANKS FOR BIRTHDAY WISHES

 

 

Yesterday was my birthday, and on Facebook, and in email and via other sites I am associated with, I am getting bombarded with good wishes, including some very tempting offers...I'm trying to be a good boy, I really am.

Even though I am getting older it still makes me feel special to see all the love you are sending my way, thanks for making my day special!

Thank you to all of you for the birthday wishes! I had a great day with my cute little family. I am still stuffy from the wonderful wings and much more that they made for dinner.


Wednesday, January 8, 2014

MAN U KICHWA CHA MWENDAWAZIMU YANYOLEWA NA SUNDERLAND

Timu ya soka ya Manchester United ya uingereza imeendeleza wimbi la kupokea vichapo toka kwa vibonde, ambapo siku ya jana ilipokea kichapo cha mbwa mwizi toka kwa vibonde wa ligi kuu ya Uingereza ya Sunderland cha mabao 2-1 katika dimba la Stadium of Light.


Goli la kwanza la Sunderland lilipatikana dk ya 5 likitupiwa kambani na Gadner, na mpaka mapumziko Sunderland walikuwa mbele kwa bao hilo moja.

Katika kipindi cha pili Januzaj aliisawazishia Man Uited katika dk 55 kabla ya Sunderland kupata bao la pili lililotokana na makosa aliyosababishwa na chipukizi wa Man United Januzaj katika harakati za kuondosha hatari langoni mwake na kujikuta akiusundikiza mpira wavuni katika dakika ya 55

Niachie weweeeee..........



 
SUNDERLAND 2-1 MAN UNITED

Tuesday, December 24, 2013

MERRY CHRISTMAS















































NYASI ZA EMIRATES ZAWAKA MOTO ARSENAL NA CHELSEA ZIKITOSHANA NGUVU

Arsenal FCChelsea FC  
December 23, 2013 
ARSENAL 0-0 CHELSEA
                                                      Emirates Stadium — London
                                                      Referee:‬ M. Dean‎
                                                      Attendance:‬ 60,039‎
               
Petr Cech Mesut Ozil Arsenal Chelsea English Premier League 12242014
 
Peter Cech akimkabili Ozil asilete maafa langoni mwa Chelsea 
 
  
Kama kawaida yake mzee wa kukosa magoli kizembe,Oliver Giroud akishika bichwa lake.
 
  
Kazi kati ya Sagna na Schurrell
 
  
Hapa ni ubabe time baada ya magoli kushindwa kupatikana, misuli sasa weweeee
 
  
Lampard weweeeee...aaagh chupuchupu Lampard awatie njaa Arsenal shuti kali limegonga mwamba.
 
  
Zamu ya Walcott na Willian kupimana ubavu.
 
 
ARSENAL 0-0 CHELSEA