Monday, May 26, 2014

MATOKEO MECHI ZA KIMATAIFA ZA KIRAFIKI

FT Australia 1 - 1  South Africa
FT Russia 1 - 0        Slovakia
FT Montenegro 0 - 0 Iran
FT Estonia 1 - 1 Gibraltar
FT FYR Macedonia 0 - 2 Cameroon
FT Belgium 5 - 1 Luxembourg
live 39' Serbia 2 - 0 Jamaica

WACHEZAJI WA REAL MADRID WAIMBA WIMBO BAADA YA KUTWAA KOMBE LA UEFA 2014..CHEKI VIDZ HAPA WAKIMWAGA VOKO


VIFAHAMU VIWANJA VITAKAVYOTUMIKA WORLD CUP 2014 BRAZIL,VIMESHAUA WATU 8

Vikapu, maumbo ya fungu la michanga,mawe na vinu vya nishati ya jua ndio mbwembwe za usanifu wa hali ya juu vilivyotumika kusanifu viwanja vya soka 12 vitakavyotimua nyasi za kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil, Viwanja hivyo ni kama ifuatavyo pamoja na idadi ya mashabiki wanaoweza kutazama soka kwa wakati mmoja.

Belo Horizonte: Estadio Mineirao – Capacity: 57,483
Brasilia: Estadio Nacional de Brasilia – Capacity: 68,009
Cuiaba: Arena Pantanal – Capacity: 42,968
Curitiba: Arena da Baixada – Capacity: 40,000
Fortaleza: Estadio Castelao – Capacity: 58,704
Manaus: Arena Amazonia – Capacity: 42,377
Natal: Estadio das Dunas – Capacity: 42,086
Porto Alegre: Estadio Beira-Rio – Capacity: 50,287
Recife: Arena Pernambuco – Capacity: 46,100
Rio de Janeiro: Estadio do Maracana – Capacity: 73,531
Salvador (Bahia): Arena Fonte Nova – Capacity: 52,048
Sao Paulo: Arena de Sao Paulo – Capacity: 65,000

 BELO HORIZONTE;




BRASILIA;




CURITIBA;




SAO PAULO;




RIO DE JENEIRO;





SALVADOR;


N
M

Monday, May 12, 2014

MAN CITY VIDUME EPL......OOOPS THEY DID IT AGAIN


Mabingwa wapya wa Uingereza 2014-2015 Manchester City.

Vijana wa Manuel Pelligrini walitawazwa mabingwa katika siku ya mwisho ya ligi kuu ya Uingereza baada ya kuilaza West Ham mabao 2-0.

Samir Nasri nahodha Vincent Kompany ndio waliomhakikishia Pelleigrini alama tatu muhimu zilizotosha kuipiku Liverpool iliyomaliza katika nafasi ya pili alama 86 mbili nyuma ya City ambao wametwaa taji lao la pili katika kipindi cha miaka mitatu.
Umati uliojaa uwanjani Etihad ulimiminika uwanjani baada ya kipenga cha mwisho.
Kocha huyo kutoka Chile alifaidika na kichapo cha Liverpool mikononi mwa Chelsea na hivyo alihitaji sare ya aina yeyote kujihakikishia ushindi.
Mancity iliititima West ham 2-0 na kutamatisha msururu wa mechi tano bila ya kushindwa .
Pelligrini, atakumbukwa kwa kuirejesha kombe Etihad baada ya Roberto Mancini kupigwa kalamu kwa kushindwa kutetea taji msimu uliopita .
Kocha huyo mwenye miaka 60 anajivunia mabao 102.
Kwa upande wao Liverpool walisajili ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Newcastle United uwanjani Anfield.
 
Mashabiki wa Man City wakishuhudia timu yao ikitwaa ubingwa wa EPL.


Samir Nasri akitupia kuihakikishia Man City ubingwa.



Nahodha wa Man City Vicent Kompany akinyanyua juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kombe la ligi kuu ya uingereza 2014-2015




Kocha wa Man City Manuel Pellegrini akiwa amebeba kombe la ligi kuu Uingereza 2014-2015

Wachezaji wa Man City wakiwa wamembeba kocha wao Pellegrini baada ya kunyakua kombe la ligi kuu ya UIngereza