Thursday, July 24, 2014

DUNGA KOCHA MPYA TIMU YA TAIFA BRAZIL

 
Kocha mpya wa Brazil, Dunga


Shirikisho la soka la Brazil CBF limemtangaza aliyekuwa mchezaji wa Brazil Dunga kuwa kocha wa timu ya taifa kwa mara ya pili.
Dunga aliyeiongoza Brazil kutwaa kombe la dunia la mwaka wa 1994 aliwahi pia kuwa kocha katika mwaka wa 2006 hadi 2011.
Dunga amechukua pahala pake Luiz Felipe Scolari, ambaye alijiuzulu kufuatia kimbunga cha mabao 7-1 ambayo timu hiyo ililazwa na Ujerumani katika hatua ya nusu fainali .

Sadfa ni kuwa Kocha huyo mwenye umri wa miaka 50 naye alifutwa kazi baada ya selecao kubanduliwa nje ya kombe la dunia la mwaka wa 2010 katika hatua ya robo fainali.
Carlos Alberto Parreira ndiye aliyechukua pahala pake lakini hata naye haku dumu Scolari alipotajwa kuwa Kocha.
Scolari mwenye umri wa miaka 65 aliiongoza Brazil katika semi fainali za kombe la dunia ambapo timu hiyo ilipata kichapo kibaya cha mabao masaba kwa moja dhidi ya mabingwa wa kombe la Dunia Ujerumani.

Dunga amewapiku mkufunzi wa kilabu ya Corinthians Tite,Mkufunzi wa kilabu ya Sau Paulo Muriciy Ramalho na Vanderlei Luxembourg ambaye aliwahi kuifunza timu hiyo kutoka mwaka 1998 hadi mwaka 2000.
Wakati huohuo kocha wa Argentina Alejandro Sabella, 59, amesema kuwa atatangaza hatima yake juma lijalo baada ya kushindwa bao moja kwa nunge na Ujerumani katika fainali ya kombe la dunia huko Brazil mapema mwezi huu .
Wachezaji wanamtaka kocha Sabella kuiongoza timu hiyo katika kipute cha kuwania ubingwa wa mataifa ya Amerika ya Kusini yaani 2015 Copa America mashindano yatakayoandaliwa huko Chile.

Tuesday, July 22, 2014

KAMA VERMAELEN AKITUA MAN UNITED, ARSENAL WAPO TAYARI KUWALIPA MAN CITY EURO 16 MIL KUMNASA NASTATIC

arsenal, arsenal fc, afc, the gunners, alexis sanchez, sanchez, thomas vermaelen, manchester united, man united, nemanja nastasic, nastasic,
NASTATIC


According to reports, Gunners boss Arsene Wenger will move for the Serbian defender if skipper Thomas Vermaelen leaves the club this summer.
Vermaelen, 28, has been heavily linked with a move to Manchester United, and reports last month claimed that the Red Devils had agreed a £10m fee with the Gunners for the Belgian centre-half.
But Vermaelen rubbished those claims and insisted that he hadn't made a decision on his future.
He said: "I know there has been a lot of talk and a lot of rumours but the only thing I can say is that it’s not true.
"Everybody understands my situation at Arsenal and that I have one year left.


"I understand that people are going to talk but I am here in Brazil and I am enjoying my time and I’m focused on what I am doing.
"We [Vermaelen and Wenger] talk a lot when I am at Arsenal but it’s not what I am going to discuss here, it is something you are going to have to ask him."
If Vermaelen does end his five-year stay at the Emirates his departure will leave the Gunners very light at the back.
Vermaelen's potential departure has prompted Wenger to start looking for a new centre-back, and the Frenchman has eyed up Nastasic as possible replacement for the former Ajax man
 Reports claim that Wenger is willing to offer the Premier League champions £16m for Nastasic, who made only 13 appearances for City last season.

Monday, May 26, 2014

MATOKEO MECHI ZA KIMATAIFA ZA KIRAFIKI

FT Australia 1 - 1  South Africa
FT Russia 1 - 0        Slovakia
FT Montenegro 0 - 0 Iran
FT Estonia 1 - 1 Gibraltar
FT FYR Macedonia 0 - 2 Cameroon
FT Belgium 5 - 1 Luxembourg
live 39' Serbia 2 - 0 Jamaica

WACHEZAJI WA REAL MADRID WAIMBA WIMBO BAADA YA KUTWAA KOMBE LA UEFA 2014..CHEKI VIDZ HAPA WAKIMWAGA VOKO


VIFAHAMU VIWANJA VITAKAVYOTUMIKA WORLD CUP 2014 BRAZIL,VIMESHAUA WATU 8

Vikapu, maumbo ya fungu la michanga,mawe na vinu vya nishati ya jua ndio mbwembwe za usanifu wa hali ya juu vilivyotumika kusanifu viwanja vya soka 12 vitakavyotimua nyasi za kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil, Viwanja hivyo ni kama ifuatavyo pamoja na idadi ya mashabiki wanaoweza kutazama soka kwa wakati mmoja.

Belo Horizonte: Estadio Mineirao – Capacity: 57,483
Brasilia: Estadio Nacional de Brasilia – Capacity: 68,009
Cuiaba: Arena Pantanal – Capacity: 42,968
Curitiba: Arena da Baixada – Capacity: 40,000
Fortaleza: Estadio Castelao – Capacity: 58,704
Manaus: Arena Amazonia – Capacity: 42,377
Natal: Estadio das Dunas – Capacity: 42,086
Porto Alegre: Estadio Beira-Rio – Capacity: 50,287
Recife: Arena Pernambuco – Capacity: 46,100
Rio de Janeiro: Estadio do Maracana – Capacity: 73,531
Salvador (Bahia): Arena Fonte Nova – Capacity: 52,048
Sao Paulo: Arena de Sao Paulo – Capacity: 65,000

 BELO HORIZONTE;




BRASILIA;




CURITIBA;




SAO PAULO;




RIO DE JENEIRO;





SALVADOR;


N
M