Wednesday, December 31, 2014

BYE BYE 2014..WELCOME 2015

Bye Bye 2014 Welcome 2015

Oh my Dear, Forget your Fear! Oh my Dear, Forget your Fear! Let all your Dreams be Clear! Never put Tear, Please Hear! I want to tell one thing in your Ear! Wishing you a very Happy New Year. Welcome 2015!!!

Welcome January Tumblr
May The Stars Shine Upon Your Life, May Gorgeous Flowers Blossom Your Life, May The New Year Rock Your Life, And May God Bless And Protect You, All Through The Year. Bye Bye 2014 Most Welcome 2015!!

Goodbye December Welcome January
In everything there must be a season, a time to come and a time to go, I pray that this New Year 2015 brings to you happiness and joy forever and ever.. Bye Bye 2014 and welcome 2015

Wednesday, December 24, 2014

MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR



Napenda kutumia nafasi hii kuwatakia Ndugu zangu, jamaa na marafiki sikukuu njema ya Kuzaliwa kwa Yesu Kristo na Heri ya Mwaka mpya wa 2015. Na yafuatayo ni maneno mazuuri niliyoamua kuwapatia wapenzi wote wa Blog hii unaruhusiwa kukopi nawewe kumpatia mwenzako.


  • Happiness– May your life be filled with joy and happiness and may each new day bring you moments to cherish.
  • Love– On this joyous day, and throughout the new year, may your life be filled with an abundance of love.
  • Fulfillment–Merry Christmas and may you live a long and happy life filled with goodwill and friendship.
  • Peace– May this new year bring you peace and tranquility, and as you walk your path may it bring you contentment.
  • Prosperity–On this joyous day, and throughout the coming year, may your life be filled with good luck and prosperity.
  • Friendship– I hope you know how much I value your friendship. I wish you a very merry Christmas and may we enjoy many more years together as friends.
  • Joy of Giving– May your heart be filled with the joy of giving, as it is the expression of the love in your heart and the kindness in your soul.
  • Blessings–May the light of love shine upon you, and may your life be filled with blessings in this Christmas season.
  • Kindness–On this most blessed day, I wish you love for all your kindness, and I hope the new year will bring you many days of happiness.
 Christmas gift ideas / suggestions:
To your enemy, forgiveness.
To an opponent, tolerance.
To a friend, your heart.
To a customer, service.
To all, charity.
To every child, a good example.
To yourself, respect.






Wednesday, December 10, 2014

KLABU BINGWA ULAYA ARSENAL YATINGA 16 BORA KWA KISHINDO

Club ya Arsenal imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya pili ya kundi D ,Ligi ya Mabingwa Ulaya na kutinga hatua ya kumi na sita bora ya michuano hiyo ,kufuatia ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya wenyeji Galatasaray wa nchini Uturuki.
Lukas Podolski aliifungia the Gunners bao la kwanza katika dakika ya tatu ,kabla ya Aaron Ramsey kufunga bao la pili katika dakika ya 11 na la tatu katika dakika ya 29.
Kiungo mkongwe wa Uholanzi Wesley Sneider aliifungia Galatasaray bao la kufutia machozi kwa shuti la mpira wa adhabu katika dakika ya 87 ,kabla ya Podolski kufunga goli la nne kwa Arsenal katika dakika ya 90 .
Mechi nyingine ya kundi hilo ni Borussia Dotmund imetoka sare ya bao moja kwa moja na timu ya Anderlecht ya Ubelgiji .
Ramsey akitupia kambani bao la pili
 
 Lucas Podolski muuaji wa jana 



 

Wednesday, November 26, 2014

HAYA NDIO MAJINA YA MAFISADI WALIOKULA FEDHA ZA ESCROW


Mh Zitto Kabwe akisoma ripoti ya ESCROW Bungeni jioni ya leo

HAYA NDIO MAJINA YA WALIOKULA FEDHA ZA AKAUNTI YA ESCROW KATIKA RIPOTI YA PAC INAYOSOMWA SASA BUNGENI.
Zitto: Upande wa viongozi wa kisiasa ambao waliingiziwa fedha katika akaunti zao binafsi ni; Mhe.
Andrew Chenge (Mb)
Zitto: Andrew Chenge aliingiziwa shilingi bilioni 1.6.
Zitto: Mhe. Anna Tibaijuka (Mb) na Waziri wa 62
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi shilingi bilioni 1.6.
Zitto: Mhe.William Ngeleja (Mb) na ambaye alikuwa Waziri wa Nishati na Madini alipewa shilingi milioni 40.4
Zitto: Ndg. Daniel N. Yona ambaye alikuwa pia Waziri wa Nishati na Madini alipewa shilingi milioni 40.4.
Zitto: Ndg. Paul Kimiti ambaye ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Sumbawanga
alipewa shilingi milioni 40.4
Zitto: Dr. Enos S. Bukuku ambaye alikuwa Mjumbe wa Bodi ya TANESCO aliingiziwa shilingi milioni 161.7.
Zitto: Upande wa Majaji Prof. Eudes Ruhangisa, aliingiziwa milioni 404.25 na J.A.K Mujulizi aliingiziwa shilingi milioni 40.4
Zitto: kwa upande wa Watumishi wa umma,Ndg. Philip Saliboko ambaye alikuwa mtumishi wa RITA aliingiziwa
shilingi milioni 40.4
Zitto: Ndg. Emmanuel Daniel Ole Naiko ambaye
alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa (TIC) aliingiziwa shilingi milioni 40.4
Zitto: Ndg. Lucy L. Appollo ambaye ni Mtumishi wa TRA aliingiziwa shilingi milioni 80.8.
Zitto: Viongozi wa Madhehebu ya
Dini walioingiziwa fedha na Benki ya Mkombozi ni Askofu 63
Methodius Kilaini shilingi 80.9
Zitto: Askofu Eusebius Nzigirwa shilingi milioni 40.4 na Mchungaji Alphonce Twimann Ye Simon shilingi milioni 40.4.
Zitto: Watu walienda kugawana fedha kwenye Benki tajwa wakiwa na mifuko ya rambo, sandarusi,
mabox, magunia na lumbesa TegetaEscrow
Zitto: Bilioni 73.5
zilitolewa na kugawanywa kwa watu mbalimbali kinyume cha
Sheria ya Benki Kuu na Taasisi za Fedha ya 2006
Zitto: Taarifa
ya benki (bank statements) yenye majina na akaunti zote
zilizoingiziwa fedha zimeambatishwa.

KLABU BINGWA ULAYA CHELSEA YATOA DOZI NZITO, MAN CITY PAPACHUPAPACHU

 
 Wachezaji wa Chelsea wakishangilia goli

Usiku wa kuamkia leo kindumbwe ndumbwe cha michuano ya Klabu Bigwa barani Ulaya kiliendelea na kushuhudia Chelsea ikitoa kipigo cha mbwa mwizi mbele ya mashabiki wa Schalke 04 ya Ujuremani pale ilipoishindilia magoli 5 bila majibu.
Manchester City ya England nao wakawabamiza wababe wengine wa Ujerumani Bayern Munich kwa kwa kuwafunga magoli 3 - 2 na kufufua matumaini ya kusonga mbele katika michuano hiyo huku magoli yote matatu ya Man City yakitiwa kimiani Sergio Aguero.
Katika mechi nyingine Paris St. Germain ya Ufaransa waliwashikisha adabu Ajax ya Uholanzi kwa kuifunga magoli 3 - 1 huku Becelona kwa upande mwingine wakiisasambua Apoel Nicosia ya Syprus kwa kuishushia kichapo cha magoli 4 kwa yai.
CSKA Moscow ya Urusi na AC Roma zikatoka suluhu ya goli moja 1 - 1
Burudani hiyo itaendelea leo ambapo Liverpool ya England baada ya kufanya vibaya katika mechi zilizotangulia leo wanajaribu bahati yao wakiwa ugenini dhidi Ludogorets ya Bulgaria.
Arsenal nao watawakaribisha Borusia Dortmud ya Ujerumani huku vita vingine vikiwa ni kati ya FC Basel ya Uswis watakaopopepetana na Real Madrid. Malmo FF ya Sweden watakuwa wenyeji wa Juventus ya Italia
 
SHAKHTAR 5-0 CHELSEA