Monday, March 30, 2015

WANYAMA KUTUA ARSENAL


Wanyama akimtoka Kisly wa Swasea katika mchezo wa Ligi kuu Uingereza

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger anapanga kumnunua kiungo wa kati wa Southampton Mkenya Victor Wanyama na mshambuliaji wa Anderlecht Aleksandr Mitrovic kulingana na gazeti la the Sun nchini Uingereza.
Wenger amejiandaa kutoa kitita cha pauni millioni 30 kwa wachezaji hao wawili,huku Wanyama akigharimu kitita cha pauni millioni 20 naye mshambuliaji huyo wa Anderlecht Mitrovic akigharimu pauni millioni 10.
Inaaminika kuwa Wanyama ataondoka katika kilabu ya Southampton iwapo atachukuliwa na kilabu kikubwa huku naye Mitrovic akiwa amekuwa akifuatiliwa na waajiri wa Arsenal katika kipindi cha wiki chache zilizopotea.
Mitrovic amekuwa akifananishwa na Didier Drogba kutokana na mchezo wake.


Victor Wanyama

WASAMBAZA PICHA ZA NGONO KUCHEZEA NYUNDO SABA JELA

 Leo, Serikali itawasilisha bungeni muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao wa mwaka 2015 kwa hati ya dharura unaoorodhesha adhabu mbalimbali, ikiwamo ya faini ya Sh50 milioni au kifungo kisichopungua miaka saba kwa mtu atakayebainika kusambaza picha za ngono mtandaoni.


Baadhi ya makosa yaliyoanishwa katika sheria hiyo  ni kutuma taarifa bila ridhaa ya mtu, kusambaza picha za ngono na za utupu, udanganyifu unaohusiana na kompyuta, makosa yanayohusiana na utambuzi, kughushi kunakohusiana na masuala ya kompyuta na kusambaza picha za utupu za watoto.
Mengine ni unyanyasaji kwa kutumia mtandao, kuchapisha taarifa yoyote ambayo itasababisha mauaji ya kimbari, uongo na matusi ya kibaguzi.
Sheria hiyo katika Kifungu cha 48 inaipa Mahakama mamlaka ya kutaifisha mali iliyopatikana kutokana na kosa lililofanywa na mhusika. Sheria hiyo pia itawataka wote watakaobainika kufanya makosa hayo kuwasilisha hati zao za kusafiria kwa mamlaka husika hadi hapo watakapolipa faini au watakapokuwa wamemaliza kutumikia vifungo.


Muswada huo ambao ukipitishwa utakuwa sheria, unawasilishwa bungeni katika kipindi ambacho kina matukio mengi ya watu kusambaza picha za ngono na utupu mitandaoni, kuingilia mawasiliano ya kompyuta ya watu wengine bila ridhaa yao.
Pia, kifungu hicho kinaeleza kuwa mtu atakayebainika kusambaza picha za ngono, uasherati na matusi, atatozwa faini isiyopungua Sh30 milioni au kwenda jela miaka 10, mtu atakayesambaza picha za utupu atalipa faini isiyopungua Sh20 milioni au kwenda jela miaka saba.
Inawabana pia watoa taarifa za uongo. Katika Kifungu cha 16, inasema mtu atakayetoa taarifa, takwimu au maelezo kwa njia ya picha au maandishi au aina nyingine yoyote zikiwa ni za uongo, akipatikana na hatia atalipa faini isiyopungua Sh3 milioni au kifungo kisichopungua miezi sita.
Kuhusu mauaji ya kimbari, inakataza mtu kuchapisha au kusababisha kuchapisha vitu vinavyochochea au kuhalalisha matendo yanayosababisha mauaji ya kimbari na adhabu yake ni faini ya Sh10 milioni au miaka mitatu jela .

Wednesday, February 11, 2015

MSIMAMO LIGI KUU YA UINGEREZA

# team pts P W D L GF GA +/-
1 Chelsea Chelsea 56 24 17 5 2 54 21 33
2 Manchester City Manchester City 49 24 14 7 3 47 24 23
3 Southampton Southampton 45 24 14 3 7 38 17 21
4 Arsenal Arsenal 45 25 13 6 6 47 28 19
5 Manchester United Manchester United 44 24 12 8 4 40 23 17
6 Tottenham Tottenham 43 25 13 4 8 39 34 5
7 Liverpool Liverpool 42 25 12 6 7 36 29 7
8 West Ham West Ham 37 24 10 7 7 36 28 8
9 Swansea Swansea 34 24 9 7 8 28 31 -3
10 Stoke Stoke 33 24 9 6 9 27 29 -2
11 Newcastle Newcastle 31 24 8 7 9 30 36 -6
12 Everton Everton 27 24 6 9 9 31 34 -3
13 Crystal Palace Crystal Palace 26 24 6 8 10 26 34 -8
14 Sunderland Sunderland 24 25 4 12 9 22 36 -14
15 Hull Hull 23 25 5 8 12 23 34 -11
16 West Bromwich West Bromwich 23 24 5 8 11 22 34 -12
17 QPR QPR 22 25 6 4 15 26 43 -17
18 Aston Villa Aston Villa 22 25 5 7 13 12 34 -22
19 Burnley Burnley 21 24 4 9 11 23 40 -17
20 Leicester Leicester 17 25 4 5 16 22 40 -18  






























































SONG LA LEO -AKADUMBA ya NEY WA MITEGO


Wednesday, December 31, 2014

BYE BYE 2014..WELCOME 2015

Bye Bye 2014 Welcome 2015

Oh my Dear, Forget your Fear! Oh my Dear, Forget your Fear! Let all your Dreams be Clear! Never put Tear, Please Hear! I want to tell one thing in your Ear! Wishing you a very Happy New Year. Welcome 2015!!!

Welcome January Tumblr
May The Stars Shine Upon Your Life, May Gorgeous Flowers Blossom Your Life, May The New Year Rock Your Life, And May God Bless And Protect You, All Through The Year. Bye Bye 2014 Most Welcome 2015!!

Goodbye December Welcome January
In everything there must be a season, a time to come and a time to go, I pray that this New Year 2015 brings to you happiness and joy forever and ever.. Bye Bye 2014 and welcome 2015

Wednesday, December 24, 2014

MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR



Napenda kutumia nafasi hii kuwatakia Ndugu zangu, jamaa na marafiki sikukuu njema ya Kuzaliwa kwa Yesu Kristo na Heri ya Mwaka mpya wa 2015. Na yafuatayo ni maneno mazuuri niliyoamua kuwapatia wapenzi wote wa Blog hii unaruhusiwa kukopi nawewe kumpatia mwenzako.


  • Happiness– May your life be filled with joy and happiness and may each new day bring you moments to cherish.
  • Love– On this joyous day, and throughout the new year, may your life be filled with an abundance of love.
  • Fulfillment–Merry Christmas and may you live a long and happy life filled with goodwill and friendship.
  • Peace– May this new year bring you peace and tranquility, and as you walk your path may it bring you contentment.
  • Prosperity–On this joyous day, and throughout the coming year, may your life be filled with good luck and prosperity.
  • Friendship– I hope you know how much I value your friendship. I wish you a very merry Christmas and may we enjoy many more years together as friends.
  • Joy of Giving– May your heart be filled with the joy of giving, as it is the expression of the love in your heart and the kindness in your soul.
  • Blessings–May the light of love shine upon you, and may your life be filled with blessings in this Christmas season.
  • Kindness–On this most blessed day, I wish you love for all your kindness, and I hope the new year will bring you many days of happiness.
 Christmas gift ideas / suggestions:
To your enemy, forgiveness.
To an opponent, tolerance.
To a friend, your heart.
To a customer, service.
To all, charity.
To every child, a good example.
To yourself, respect.






Wednesday, December 10, 2014

KLABU BINGWA ULAYA ARSENAL YATINGA 16 BORA KWA KISHINDO

Club ya Arsenal imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya pili ya kundi D ,Ligi ya Mabingwa Ulaya na kutinga hatua ya kumi na sita bora ya michuano hiyo ,kufuatia ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya wenyeji Galatasaray wa nchini Uturuki.
Lukas Podolski aliifungia the Gunners bao la kwanza katika dakika ya tatu ,kabla ya Aaron Ramsey kufunga bao la pili katika dakika ya 11 na la tatu katika dakika ya 29.
Kiungo mkongwe wa Uholanzi Wesley Sneider aliifungia Galatasaray bao la kufutia machozi kwa shuti la mpira wa adhabu katika dakika ya 87 ,kabla ya Podolski kufunga goli la nne kwa Arsenal katika dakika ya 90 .
Mechi nyingine ya kundi hilo ni Borussia Dotmund imetoka sare ya bao moja kwa moja na timu ya Anderlecht ya Ubelgiji .
Ramsey akitupia kambani bao la pili
 
 Lucas Podolski muuaji wa jana