Thursday, May 26, 2011

WANAFUNZI WENYE HASIRA WACHOMA MOTO SHULE.

                                                                     Sehemu ya mabaki ya shule hiyo baada ya huchomwa moto.
Wanafunzi wa shule ya secondary ya Amadeski Ashile Esikoleni i Sizinda ya Kwazulu Natal nchini Africa ya kusini wamechoma moto madarasa matatu ya shule hiyo kwa kile kilichoelezwa kutokuridhishwa na uongozi wa shule hiyo. Msemaji wa idara ya elimu ya Kwazulu Natal Sihle Mlotshwa ameelezea kusikitishwa na kitendo hicho,pia kamanda wa polisi wa Kwazulu amesema hakuna aliyekamatwa kutokana na tukio hilo na hakuna aliyejeruhiwa na hasara iliyosababishwa na fujo hizo haikuweza kujulikana mara moja.

PICHA KALI LEO HII.

WANAFUNZI WAANDAMANA BOTSWANA BAADA YA KUTOFUNDISHWA KWA WIKI TATU.

Wanafunzi wakiwa wameweka kizuizi barabarani kupinga kutokufundishwa kwa wiki tatu baada ya walimu nchini Botswana kugomea mishahara kiduchu.

    Wanafunzi wakichoma matairi katika mgomo huo .

  Askari wa usalama wakitafuta mbinu za kukabiliana na wanafunzi.

          Mmoja kati ya wanafunzi waliogoma nchini Botswana akiwa ameketi barabarani.
           Moto ukiendelea kuwaka

      Askari wakiingia eneo la tukio kuongeza nguvu.


   Askari wa usalama wakijaribu kuzima moto uliowashwa na wanafunzi katika mgomo huo.

  Wanafunzi wanaonekana kupoteana baada ya kuzidiwa nguvu na Askari wa kutuliza ghasia.

Wednesday, May 25, 2011

ZUMA KUTEMBELEA LIBYA KWA MAZUNGUMZO NA GADDAFI

Moshi ukifuka nyuma ya mitikufuatia shambulio la anga katika eneo la Tajura
km 30 mashariki mwa Tripoli wakati majeshi ya NATO yaliposhambulia Tripolitarehe 24 mei 2011 katika harakati za kumng'oa Gaddafi.
Rais Jacob Zuma wa Afrika ya kusini anategemewa kutembelea Libya wiki ijayo, ambapo inaripotiwa kuwa safari hiyo ni maalum kwa ajili ya mazungumzo na kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi,ambapo radio moja nchini Afrika ya Kusini Radio 702 inaripoti kuwa mazungumzo hayo yatahusu juu ya mikakati ya Gaddafi kuondoka nchini Libya. Zuma atadhuru Tripoli kwa mazungumzo na kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi tarehe 30 mei 2011. Zuma anadhuru Libya akiwa kama kiongozi wa juu wa umoja wa Afrika katika kutatua mgogoro wa Libya, Zuma anadhuru Libya huku mwishoni mwa wiki Afrika ya kusini iliilalamikia Libya kwa kumtendea ndivyo sivyo mpiga picha wa Afrika kusini ambaye hivi sasa inaaminika kuwa amekwishakufa baada ya kupigwa risasi na askari wa Gaddafi.

ULAJI WA NYAMA HUSABABISHA UGONJWA WA KANSA.

Cut red meat intake and don't eat ham, say cancer researchers

World Cancer Research Fund advises people to limit consumption of beef, pork and lamb and avoid processed meat.
                       Beef
Eat beef with caution, the World Cancer Research Fund is advising. Photograph: joefoxfoodanddrink/Alamy
Cancer experts have issued a fresh warning about eating red and processed meat after "the most authoritative report" on the subject blamed them for causing the disease.
The World Cancer Research Fund (WCRF) is advising people to limit their intake of red meats such as beef, pork and lamb, and to avoid processed meat such as ham and salami altogether. "Convincing evidence" that both types of meat increase the risk of bowel cancer means people should think seriously about reducing how much they eat, it recommends.
The charity kickstarted a global debate in 2007 when it published a study which identified meat as a risk factor for a number of different forms of cancer.
WCRF-funded scientists at Imperial College London led by Dr Teresa Norat studied 263 research papers that have come out since then looking at the role of diet, weight and physical activity in bowel cancer. An independent panel of leading cancer experts then reviewed their conclusions. "For red and processed meat, findings of 10 new studies were added to the 14 analysed as part of the 2007 report. The panel confirmed that there is convincing evidence that both red and processed meat increase bowel cancer risk," said the report .

SHINDANO LA PICHA BORA YA MBWA NCHINI UINGEREZA LAANZA.











BAADHI YA PICHA AMBAZO TAYARI ZIMESHAKUSANYWA KATIKA SHINDANO HILO.
Unaweza kushiriki katika shindano hili unachotakiwa ni kumpiga picha mbwa akiwa mawindoni,amepumzika au picha ya juu ama pembeni na uitume.jiffjeff@yahoo.com

PICHA ZA SIKU YA KWANZA ZIARA YA OBAMA NCHINI UINGEREZA

             Obama na mkewe Michelle wakishuka katika ndege tayari kwa ziara nchini Uingereza.
Obama na Michelle wakipokelewa na Malkia.
                                                                                                                                                                               
Obama akisalimiana na wanakwaya wa Wenstiminster.
                                                                                       Obama ndani ya ikulu ya Buckingham
Obama na prince Charles wakitoka katika makazi ya balozi wa marekani kule Regent's Park.