Saturday, July 16, 2011

KAMA UNAHISI CHAKULA KWENU NI GHALI HII NI GHALI ZAIDI

          HOT DOG YA $ 80

Wiki ijayo Braxton Rox wanatarajia kuingiza katika kitabu cha Guiness Hot Dog ghali zaidi duniani ambayo itauzwa kwa dola za kimarekani 80 ambazo ni zaidi ya shilingi za kitanzania 120,000. Chama cha Canadian-American ambao ni wataalamu wa mchezo wa Baseball watazindua hot dog hiyo 23 julai hukio Massachusetts nchini Marekani. "Njia nzuri ya kusherehekea siku ya Hot Dog kitaifa ni kuwa na kitu kipya sehemu ya mchezo" alisema Mwenyekiti wa Association of Canadian-American proffessional Baseball Chris Carminucci.

Hii ndiyo Hot Dog ya dola 80

Thursday, July 14, 2011

ARGENTINA WALIVYOICHABANGA COSTA RICA COPA AMERICA


Timu ya taifa ya ARGENTINA imetoa kipigo kikali kwa Costa Rica katika mashindano ya Copa America na zifuatazo ni picha za matukio katika mechi hiyo iliyochezwa Cordoba

Higuian alipata nafasi nyingi lakini aliambulia patupu
Di Maria wa Real Madrid akifunga goli lake la kwanza katika Copa America
3.jpg
Joel Campbell, ambaye alikuwa msaada mkubwa kwa Costa Rica licha ya kipigo cha 3-0

4.jpg
Pablo Zabaleta kushoto akiwania mpira na Elizondo wa Costa Rica
5.jpg
Messi akiiwaburuza walinzi wa Costa Rica
6.jpg
Higuian kulia katika jitihada za kutafuta goli bila mafanikio katika mechi hiyo

7.jpg
Aguero akishangilia goli lake la kwanza katika mechi hiyo alitupia wavuni mara mbili

 
8.jpg
Aguero,Messi na Di Maria wakishangilia goli la pili la Aguero
10.jpg
Aguero akifunga goli lake la tatu katika Copa America

11.jpg
Messi akikokota mpira kiulaini bila upinzani wowote kutoka kwa wachezaji wa Costa Rica
Aguero akimnyooshea vidole Messi kuashiria kuwa ndie mwiba wa usiku huo kwa Costa Rica hapo Cordoba

Wednesday, July 13, 2011

KNOW BEAUTIFUL TANZANIAN LODGE IN SINGITA GAME RESERVE

This is a Tanzanian lodge which was named as a best Lodge in the world is found in Singita game reserve in Tanzania,East Africa.

A Canopied Bed

Each cottage has a infinity edge Pool

The lodges two swimming pools lie directly above a watering-hole

One of the lodges gorgeous sitting areas

There are spa yoga and gym facilities


The dining room

A lamp lit dinner on the plains outside the tent camp

A gym in a tent


A private outdoor area

Faru farus luxury villa



One of Faru farus suites

A visitor in a tent

The sasakwa lodge is built in the style of an edwardian manor house

It has nine cottages and a private retreat

A bathroom with panoramic views at sasakwa lodge

Monday, July 11, 2011

ALLYSA CAMPANELLA MISS U.S.A 2011

Allysa Campanella mwenye umri wa miaka 21 ameshinda taji la miss U.S.A 2011 akiwa anawakilisha jimbo la California, shindano hilo la urembo lilifanyika Las Vegas siku ya jumapili 19 juni 2011. Allysa alivalishwa taji hilo la urembo na mrembo aliemaliza muda wake Rima Fakih. Allysa alizaliwa na kukulia New Jersey, ambapo mwaka 2007 aliiwakilisha New Jersey katika mashindano ya urembo ya Wasichana wadogo, Allysa sasa ataiwakilisha U.S.A katika mashindano ya urembo ya dunia yatakayofanyika Sao Paulo,Brazil 12 septemba 2011.

HYDERABAD THE CITY OF PEARLS

Hyderabad is the capital of the state Andhra Pradesh, India.
Hyderabad is known for its rich history and culture.
Hyderabad is called the city of Pearls and City of Nizams
Telugu and Urdu is spoken mostly in City of Hyderabad.
It is a hub of information technology, ITES and biotechnology.
Hyderabad and Secunderabad are twin cities, separated by
the Hussain Sagar, a man-made lake made during the time of
Ibrahim Qutub Shah in 1562.

As of 2010 it is the sixth most populous city and sixth-most
populous urban city in India.
Hyderabad was founded by Muhammad Quli Qutb Shah in 1591
on the banks of Musi river.

Today the city covers an area of approximately 650 km.
The twin cities of Hyderabad and Secunderabad come under
the single municipal unit, The Greater Hyderabad Municipal Corporation.
Hyderabad has developed into one of the major hubs for
the information technology industry in India.
It also got a major attraction of Cyberabad or Hitech city
because of Presence of Software Technology Industry.
It also have various Biotechnolgoy and Pharmaceutics companies
have set up their opeations in Hyderabad owing to its
established public sector in life science Research.

The city houses the most expensive and posh residential real estate
in Andhra Pradesh in Banjara Hills and Jubilee Hills.
The city is home to the Telugu Film Industry, the second-largest in India,
known popularly as Tollywood.

Residents of Hyderabad are generally called Hyderabadis.
Located at the crossroads of North & South India,
Hyderabad has developed a unique culture that is reflected
in its language and architecture.

Beauty of Charminar Hyderabad during Night

Charminar, Hyderabad

Road Map OF Hyderabad


Mecca Masjid, Charminar, Hyderabad


Muslims offering Prayers at Mecca Masjid Hyderabad


High Courth of Andha Pradesh, Hyderabad India

Osmania Hospital Hyderabad

Golconda Fort Hyderabad

Legislative Assembly, Hyderabad

Qutub Shahi Tombs Hyderabad

Ramoji Flimcity Hyderabad

Chowmahalla Palace, Hyderabad

Falaknuma Palace, Hyderabad

Salar Jung Museum, Hyderabad

Nehru Zoological Park, Hyderabad

Gachi Bowli Stadium Gachi Bowli Hyderabad

Beautiful Evening Sunset at Hyderabad City

Enjoy the fun at Prasad Imax Multiplex Having Shopping Malls

TCS Campus Hyderabad

Birla Temple Marble Wonder Hyderabad

Cyber Towers, Hitech City, Hyderabad

Dell Campus,Hitech City, Hyderabad

HSBC Campus Hyderabad

Panoramic View from the Viceroy Tankbund
and Hussain Sagar in the backdrop

IBM Campus Hyderabad

I Labs Campus Hyderabad

Infosys Campus Hyderabad

Infotech Enterprise. Hyderabad

Indian School of business ISB- Hyderabad

Microsoft Indian Devolopment Center Only one ouside
the US Manikonda Hyderabad

Motorola Call up Center, Hyderabad

Novotol Campus Hyderabad

Cyber Towers Hitech City Hyderabad during night.

Beauty of Tank and Hussain Sagar

Basking IT Glory Raheja Mindspace, Cyberabad,Hyderabad

Hyderabad_airport_full

Cyber Gateways at Night, Hyderabad