Friday, November 25, 2011

Lady Jay Dee-TEJA

REBECCA BLACK-FRIDAY

Neema-DDC Mlimani Park

SIMBA Vs AZAM HAPATOSHI FAINALI YA VIJANA LEO KARUME

TIMU za Simba na Azam FC zote za jijini Dar es Salaam, leo zinakutana katika mechi ya fainali inayotarajia kubeba taswira kubwa ya ushindani ya michuno ya Kombe la Vijana chini ya umri wa miaka 20 kwenye Uwanja wa Karume.
Upinzani wa mechi hiyo uko wazi kutokana na ubora ulioonyeshwa na vikosi hivyo mpaka kufikia hatua ya kucheza fainali.
Michuano hiyo maalum kwa ajili ya kukuza vipaji, ilianza wiki mbili zilizopita na kupigwa kwenye viwanja vya Karume na Chamazi kilichopo nje kidogo ya jiji.
Simba ilikata tiketi ya kucheza fainali hizo baada ya kuifunga Toto African kwa mabao 4-1 katika mechi ya nusu fainali. Ushindi huo wa Simba ulikuwa kama kulipa kisasi kwani katika mechi ya kwanza baina ya timu hizo Toto waliifunga Simba bao 1-0.
Kwa upande wa Azam walitinga hatua ya fainali baada ya kuifundisha soka timu ya taifa ya vijana (U-17), Serengeti Boys kwa kuiangushia kipigo cha mabao 3-0.
Timu za Toto African na Serengeti Boys, zitatangulia kushuka dimbani kucheza mechi ya kusaka mshindi wa tatu, ambapo mshindi ataondoka na shilingi 500,000 na medali za Fedha.
Bingwa wa mashindano hayo ya kila mwaka, atajinyakulia shilingi 1.5milioni, Kombe na medali za Dhahabu, huku mshindi wa pili akipata medali za Shaba na kitita cha shilingi 1milioni.
Mbali na hizo pia, kutakuwa na zawadi za Mchezaji Bora atajipatia shilingi 400,000. Mfungaji Bora shilingi300,000, Kipa Bora shilingi 300,000, na timu yenye nidhamu itapata shilingi 300,000.
Makocha wa pande zote mbili Simba na Azam wametamba kila mmoja kwa upande wake kutwaa kombe hilo kulingana na kikosi chake kilivyojiandaa.
Vijana wangu wako kwenye hali nzuri ya pambano hilo na wamenihakikishia kucheza kufa na kupona kutwaa kombe hilo," alisema Seleman Matola kocha wa Simba kama ilivyo kocha wa Azam Iddy Cheche.
Msimu uliopita Ruvu Shooting ndiyo iliyotwaa kombe baada ya kuwafunga 'ndugu' zao JKT Ruvu kwa mabao 2-1 katika mechi ya fainali. Msimu huu mabingwa hao hawakuweza kufua dafu.

Thursday, November 24, 2011

Picha bora za mwaka 2011

Photo: Tree in a cornfield
Shamba la mahindi huko Sao Paulo,Brazil

Photo: Mountain peak at night
Dente del Gigante,Italy

Photo: Green sea turtle swimming underwater
Kasa wa kijani  picha hii ilipigwa huko Hawaii.

Photo: Birds in a tree
Ndege mtini huko Pantanal,Brazil

Photo: A veiled woman walking by a mosaic wall
Msikiti wa Hazrat uliopo Afghanistan

Photo: Aerial view of a bazaar
Hema sokoni nchini Uturuki

Photo: Climber dangling from red rock
Mwamba maeneo ya Sedona,Arizona

Photo: Surfer riding a large wave
Jamaa aki-surf huko Hawaii

Photo: Aerial view of a colorful terraced rice field
Shamba la mpunga,picha ilipigwa huko China

Photo: Brightly dressed people at celebration
Sherehe ya harusi ya kabila la Samburu,picha ilipigwa nchini Kenya

Photo: Women holding candles in front of a lit palace
Sherehe za Diwali huko India

Photo: Muslims praying in a temple
Msikiti wa Istiklal uliopo Indonesia

Photo: Boat sailing along coast of Hong Kong at night
Cityscape Hongkong,China

Mafuriko Thailand, Viwanda vya magari Honda na Toyota vyajaa maji

Car pool: An aerial view of submerged cars at the Honda Motor factory in Ayutthaya province, Thailand, which has been caught up in the country's flooding
Magari yakiwa yamezama ndani ya maji kutokana na mafuriko yaliyovamia kiwanda hicho katika kitongoji cha Ayutthaya,Thailand

High and dry: Aerial view shows cars standing on bridge surrounded by floodwaters at the Honda Motor factory in Ayutthaya province, Thailand
Magari yakiwa yameegeshwa kwenye daraja katika kiwanda cha Honda huko Ayutthaya,Thailand.

Life buoy: Thai flood victim in a small bath tub shaped bucket paddling with flip-flop sandals past a flooded Toyota dealership in Bangkok
Dogo akijaribu kukatiza mitaani kwa kutumia karai kama mtumbwi wa kukatiza katika maji ya mafuriko

Waterway: Thai flood victims pass Toyota cars at the flooded Toyota Bangkok branch in Don Mueang district of Bangkok, Thailand
Waathirika wa mafuriko wakipita karibu na tawi la kiwanda cha magari cha Toyota kilichopo Don Mueang wilaya ya Bangkok huko Thailand. 

Row your boat: Thai flood victims passing the flooded Toyota car showroom in Bangkok, Thailand
Show room ya Toyota katika dimbwi la maji.

Driven out: An aerial view of Honda Motor factory buildings submerged by floodwaters at Rojana Industrial Estate in Ayutthaya province, Thailand
Kiwanda cha magari ya Honda kikiwa kimefurika maji katika eneo la viwanda la Rojana. Thailand.

Shot bora zaidi kuwahi kutokea kwenye mchezo wa Tennis.