Monday, January 30, 2012

Djokovic bingwa Australia open amchabanga Nadal, Azarenka bingwa kwa wanawake

Novak Djokovic
Djokovic bingwa wa Tennis kwa wanaume

Novak Djokovic kutoka Serbia, Jumapili alimshinda Rafael Nadal kutoka Uhispania, katika fainalil ya mashindano ya tennis ya Australian Open, iliyofanyika mjini Melbourne.
Djokovic alipata ushindi wa 5-7, 6-4, 2-6, 6-7, 7-5.
DJOKOVIC VS NADAL

Pambano hilo sasa limeandikishwa katika historia kama shindano ambalo limechukua muda mrefu zaidi katika historia ya mashindano ya tennis ya Open.
Ushindi huo wa tatu mfululizo katika mashindano ya Grand Slam, umemchukua Djokovic muda wa saa tano, na dakika 53.
Limeandikisha historia pia kwa kuwa pambano la muda mrefu zaidi kwa mchezaji mmoja kwa mmoja katika mashindano ya Australian Open.
Akimpongeza mpinzani wake, Djokovic alimsifu Rafael Nadal, akisema ni kati ya wachezaji bora zaidi katika historia ya tennis.
Alimpongeza pia kwa pamoja wote kuandikisha historia ya fainali ya muda mrefu zaidi, na akitumaini kwamba watakutana katika mapambano mengine siku zijazo, ila Jumapili ilikuwa haiwezekani kuwapata washindi wawili kwa pamoja.
Fainali ya kitambo ya Grand Slam iliyochukua muda mrefu zaidi ilikuwa ni mwaka 1988, mashindano ya US Open, wakati Mats Wilander, raia wa Sweden, alipomshinda Ivan Lendl, mchezaji wa Czechoslovakia, na ambaye baadaye alibadilisha uraia na kuwa Mmarekani.
Pambano hilo lilichukua muda wa saa 4, dakika 54.

Azarenka

Azarenka vs Sharapova

Kwa upande wa fainali ya kina dada, siku ya Jumamosi, Victoria Azarenka alimshinda Maria Sharapova na kupata ushindi wake wa kwanza wa mashindano ya Grand Slam.
Ushindi huo umemfanya kuwa ni nambari moja sasa katika tennis ya kina dada ulimwenguni.
Azarenka, mwenye umri wa miaka 22, na ambaye ni raia wa Belarus, alimshinda Sharapova kutoka Urusi 6-3 6-0, baada ya muda wa saa nzima, na dakika 22.

Ghana yailiza Mali

Andre Dede Ayew
Ayew akishangilia goli la pli la Ghana

Ghana inaelekea kufuzu kwa robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika, baada ya Jumamosi kuishinda Mali magoli 2-0.
Asamoah Gyan ndiye aliyefunga bao la kwanza la Black Stars.
Ghana vs Mali

Andre 'Dede' Ayew kisha aliwachanganya walinzi wa Mali na kupitia nafasi iliyojitokeza, aliandikisha bao la pili la Ghana.
Awali Cheick Diabate mara mbili ilikuwa nusra aifungie Mali magoli, lakini kweli bahati haikuwa yake, kwani mipira yote iligonga goli, lakini kamwe mpira ulikataa kugusa nyavu katika mechi hiyo iliyochezewa mjini Franceville.
Ghana inaongoza kundi D kwa pointi sita, lakini kimahesabu, mataifa ya Guinea na Mali bado yana nafasi ya kufuzu kuingia robo fainali.
Guinea kwa hakika ilithibitisha uwezo wake katika mashindano hayo kwa kuiangamiza bila huruma Botswana, magoli 6-1, katika mechi ambayo pia ilichezewa mjini Franceville.
Guinea inatazamia wingi huo wa mabao huenda ikawa jambo zuri, na inasubiri kwa hamu kusikia matokeo ya mechi kati ya Mali na Botswana Jumatano ijayo mambo yatakuwa vipi, na wakati ambao wao watacheza na Ghana.

Zambia yawaliza wenyeji kombe la mataifa ya Afrika

Wachezaji wa Zambia
Wachezaji wa Zambia wakishangilia bao

Zambia ilijitengea nafasi katika robo fainali za michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kuwashinda wenyeji Equatorial Guinea bao 1-0 katika mechi ya kundi A, na kuongoza kundi hilo, ikiwa na pointi 7.
Nahodha Chris Katongo aliifungia Zambia bao hilo katika dakika ya 67.
Zambia 1-0 Guinea

Ushindi huo unamaanisha kwamba Zambia huenda wakaepuka kucheza na Ivory Coast katika robo fainali, nchi ambayo inatazamiwa kuongoza kundi B.
Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Equatorial Guinea kushindwa, na ambao wanashirikiana na Gabon kama wenyeji wa mashindano hayo.
Ilikuwa pia ni mara ya kwanza kwa kocha mpya Gilson Paulo akiitizama timu yake ikifungwa.
Equatorial Guinea imo katika nafasi ya pili katika kundi A, ikiwa na pointi 6, Libya ina nne, na Senegal ni ya mwisho ikiwa haina pointi zozote.
Wenyeji Equatorial Guinea tayari walikuwa wamefuzu, na Zambia walihitaji tu kuondoka sare kuingia robo fainali.
Ushindi wa Chipolopolo unamaanisha kwamba sasa watasafiri kuelekea hadi uwanja wa Bata, katika kujiandaa kwa mechi yao ya robo fainali siku ya Jumamosi, tarehe 4 Februari.
Kinyume na Senegal ambao wanarudi nyumbani bila hata pointi moja, Libya inaondoka mashindano hayo baada ya kupata ushindi wa magoli 2-1 katika mechi yake ya Jumapili dhidi ya Senegal.
Ihab Albusaifi alifunga katika kipindi cha kwanza, na vile vile katika kipindi cha pili.
Deme Ndiaye aliifungia Senegal, na kinyume cha matazamio ya wengi, timu hiyo sasa inarudi nyumbani baada ya kushindwa katika mechi tatu.
Hata hivyo bado ni fahari kwa timu ya Libya ya Mediterranean Knights kuondoka mashindano hayo kwa kupata ushindi katika mechi, ikiwa ni ushindi wao wa kwanza tangu mwaka 1982, wakati nchi yao ilikuwa mwenyeji wa mashindano hayo
Huu ni ushindi wao wa kwanza kwa mechi ya Kombe la Mataifa ya Afrika, nje ya nchi yao.
Watajipongeza kwa kufikia hatua hiyo, hasa wakikumbuka kwamba ni hivi majuzi tu nchi yao imeanza kupata kutulia baada ya matatizo mengi.

Arsenal yailipua Aston Villa kombe la F.A

Robin Van Persie na Theo Walcott
Van Persie na Walcott

Robin van Persie ilibidia afanye kazi ya ziada Jumapili, na hatimaye akifunga magoli mawili ya penalti, na kuiwezesha Arsenal kuponea chupuchupu kuondolewa katika raundi ya nne ya Kombe la FA, baada ya kupambana na Aston Villa, hatimaye ikishinda 3-2.
Kufikia mwisho wa nusu ya kwanza ya mchezo, Arsenal ikichezea uwanja wa nyumbani wa Imarati, tayari ilikuwa imeachwa nyuma kwa magoli 2-0.
Arsenal vs Aston Villa

Mabao hayo yalikuwa yamefungwa na Richard Dunne (kwa kichwa) na goli la mkwaju wa kupinda kupitia mchezaji Darren Bent.
Lakini magoli matatu katika muda wa dakika saba yaliubadilisha mchezo kabisa, na Van Persie akibadilisha mambo kwa mkwaju wa penalti, baada ya Dunne kumchezea vibaya Aaron Ramsey.
Theo Walcott alisawazisha kabla ya Van Persie kuandikisha ushindi, kwa kupata bao la pili la penalti, kufuatia Bent kucheza mchezo usio halali dhidi ya Laurent Koscielny.
Arsenal, mabingwa mara 10 wa Kombe la FA, sasa watacheza na mshindi atakayepatikana katika mchezo wa raundi ya nne utakaorudiwa kati ya Middlesbrough na Sunderland.
Sunderland na Middlesbrough walipocheza katika mechi ya awali Jumapili mchezo ulikwisha kwa sare ya 1-1.
The Gunners watacheza mechi hiyo wakifahamu sasa wana uwezo wa hatimaye kuendelea na mashindano hayo, na kuwaletea mashabiki wao kombe ambalo wamelisubiri kwa muda mrefu.
Katika droo ya raundi ya tano, ambayo imefanyika Jumapili, klabu ya daraja ya kwanza, Stevenage, kwa mara ya kwanza katika historia yake imekuwa miongoni mwa timu 16 zilizosalia katika mashindano hayo, na sasa itacheza na Tottenham.
Brighton itasafiri hadi uwanja wa Anfield kucheza na Liverpool, Chelsea nao ni wenyeji wa Birmingham, na Crawley Town, katika daraja ya pili, itacheza na Stoke.
Sunderland ikifuzu baada ya mechi ya marudiano, itapambana na Arsenal.
Norwich itacheza na Leicester, na Everton itaikaribisha Blackpool.
Bolton itacheza aidha na Millwall, au Southampton.

Saturday, January 28, 2012

Gabon yaichakaza Morroco na kutinga robo fainali kombe la mataifa ya Afrika

Wachezaji wa Gabon
Wachezaji wa Gabon

Gabon ilifanikiwa kupata ushindi wa magoli 3-2 katika dakika ya mwisho, ilipocheza dhidi ya Morocco siku ya Ijumaa, na kufuzu kuingia robo fainali katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika.
Mechi hiyo ilichezewa mjini Libreville.
Gabon vs Morroco

Kwa muda mrefu, Morocco ilikuwa ikiongoza kwa bao 1-0 katika mchezo huo, bao ambalo lilikuwa limepatikana kupitia nahodha Houssine Kharjah katika kipindi cha kwanza.
Lakini kupitia magoli ya Pierre-Emerick Aubameyang na Daniel Cousin, wenyeji Gabon waliweza kuongoza, hadi mkwaju wa Kharjah ulipoiwezesha Morocco kupata nafasi ya kwanza, na ilielekea mechi itaishia kwa sare ya 2-2.
Lakini Morocco walipoadhibiwa kwa kucheza vibaya, Bruno Zita Mbanangoye alipiga mkwaju kwa ufundi mkubwa, na mpira ulipinda hadi kuingia wavuni, na bao hilo la wakati wa majeruhi likawa ndio kwaheri kwa timu ya Morocco.
Gabon sasa inajiunga na wenyeji wenzao Equatorial Guinea, katika hatua ya robo fainali.
Equatorial Guinea walifanikiwa kuiondoa Senegal siku ya Jumatano, taifa ambalo lilitazamiwa na wengi kuwa miongoni mwa nchi ambazo zilikuwa katika nafasi nzuri ya kuibuka bingwa katika mashindano ya mwaka huu.
Katika mechi ya awali siku ya Ijumaa, ambayo pia ilichezewa mjini Libreville, Niger iliondolewa na Tunisia, kwa kufungwa magoli 2-1.
Hata hivyo Niger ilikuwa bado na matumaini ya kusonga mbele, ikitazamia Morocco kuwafanyia kazi yao, kama ingeliweza kuishinda Gabon.
Lakini hayo hayakuwezekana, na hivyo basi Niger inajiunga na Morocco katika safari ya kurudi nyumbani.
Mechi za Jumamosi pia zinatazamiwa kuwa za kusisimua, wakati Botswana itakapokutana na Guinea, na Ghana nayo itacheza na Mali.
Mechi zote mbili ni za kundi D, na zote zitachezewa mjini Franceville

Kabila ashinda kiti cha urais DRC

Mshindi wa kiti cha urais wa DRC Joseph Kabila

Bw Joseph Kabila ametangazwa mshindi wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo muda mfupi uliopita.
Kulingana na tume ya uchaguzi ya nchi hiyo Joseph Kabila ameshinda kwa asilimia 48.95, mpinzani wake mkuu Etienee Thisekedi akiwa na asilimia 32.33 na Vital Khemere naye akipata asilimia 7.74.
Matokeo hayo yalitarajiwa kutoka siku ya Jumanne lakini maafisa walisema matatizo ya kusambaza vifaa katika nchi hiyo kubwa ndio yalisababisha ucheleweshaji huo.
Wakati huo huo usalama umeimarishwa iwapo patatokea ghasia kufuatia madai ya udanganyifu.

Thursday, January 26, 2012

World's Richest Governments

We know the world's richest man is Carlos Slim Helu of Mexico,
after the two richest men in the world, Bill Gates and Warren Buffet gave away most of their fortune to charity.
You'll have to check with Forbes for the rest.
How about governments?
Which government is the richest (having most money that is, in US$)?
If you are expecting North American and European nations, wrong .........
While the countries may look rich, wealthy European nations can't withstand a prolonged major financial crisis, just like Greece .
The USA might have the biggest economy, but the American government is not at all rich;
(in fact, it can't even take out US$150bn if asked to now without resorting to borrowing.)
To date the US government has borrowed $14.5 trillion!
The UK , likewise, while the country/people are well off, the government isn't.
The UK government's debt stands at $9 trillion now!
 
 The World's Richest Governments immediately after the 2008-2009 financial crisis are:
 
1. PEOPLE REPUBLIC of China
National reserves: $2,454,300,000,000
 
2.Japan
National reserves: $1,019,000,000,000
 
3.Russia
National reserves: $458,020,000,000
 
4.Saudi Arabia
National reserves: $395,467,000,000
 
5. Taiwan (ROC)
National reserves: $362,380,000,000
 
6. India
National reserves: $279,422,000,000
 
7. South Korea
National reserves: $274,220,000,000
 
8.Switzerland
National reserves: $262,000,000,000
 
9. Hong Kong, China
National reserves: $256,000,000,000
 
10. Brazil
National reserves: $255,000,000,000
 
Here are the rest, in million US $:
 
11 Singapore / 203,436
12 Germany / 189,100
13 Thailand / 150,000
14 Algeria / 149,000
15 France / 140,848
16 Italy / 133,104
17 United States / 124,176
18 Mexico / 100,096
19 Iran / 96,560
20 Malaysia / 96,100
21 Poland / 85,232
22 Libya / 79,000
23 Denmark / 76,315
24 Turkey / 71,859
25 Indonesia / 69,730
26 United Kingdom / 69,091
27 Israel / 62,490
28 Canada / 57,392
29 Norway / 49,223
30 Iraq / 48,779
31 Argentina / 48,778
32 Philippines / 47,650
33 Sweden / 46,631
34 United Arab Emirates / 45,000
35 Hungary / 44,591
36 Romania / 44,056
37 Nigeria / 40,480
38 Czech Republic / 40,151
39 Australia / 39,454
40 Lebanon / 38,600
41 Netherlands / 38,372
42 South Africa / 38,283
43 Peru / 37,108
44 Egypt / 35,223
45 Venezuela / 31,925
46 Ukraine / 28,837
47 Spain / 28,195
48 Colombia / 25,141
49 Chile / 24,921
50 Belgium / 24,130
51 Brunei / 22,000
52 Morocco / 21,873
53 Vietnam / 17,500
54 Macau / 18,730
55 Kazakhstan / 27,549
56 Kuwait / 19,420
57 Angola / 19,400
58 Austria / 18,079
59 Serbia / 17,357
60 Pakistan / 16,770
61 New Zealand / 16,570
62 Bulgaria / 16,497
63 Ireland / 16,229
63 Portugal / 16,254
64 Croatia / 13,720
65 Jordan / 12,180
66 Finland / 11,085
67 Bangladesh / 10,550
68 Botswana / 10,000
69 Tunisia / 9,709
70 Azerbaijan / 9,316
71 Bolivia / 8,585
72 Trinidad and Tobago / 8,100
73 Yemen / 7,400
74 Uruguay / 8,104
75 Oman / 7,004
76 Latvia / 6,820
77 Lithuania / 6,438
78 Qatar / 6,368
79 Cyprus / 6,176
80 Belarus / 6,074
81 Syria / 6,039
82 Uzbekistan / 5,600
83 Luxembourg / 5,337
84 Guatemala / 5,496
85 Greece / 5,207
86 Bosnia and Herzegovina / 5,151
87 Cuba / 4,247
88 Costa Rica / 4,113
89 Equatorial Guinea / 3,928
90 Ecuador / 3,913
91 Iceland / 3,823
92 Paraguay / 3,731
93 Turkmenistan / 3,644
94 Estonia / 3,583
95 Malta / 3,522
96 Myanmar / 3,500
97 Bahrain / 3,474
98 Kenya / 3,260
99 Ghana / 2,837
100 El Salvador / 2,845
101 Sri Lanka / 2,600
102 Cambodia / 2,522
103 Côte d'Ivoire / 2,500
104 Tanzania / 2,441
105 Cameroon / 2,341
106 Macedonia / 2,243
107 Dominican Republic / 2,223
108 Papua New Guinea / 2,193
109 Honduras / 2,083
110 Armenia / 1,848
111 Slovakia / 1,809
112 Mauritius / 1,772
113 Albania / 1,615
114 Kyrgyzstan / 1,559
115 Jamaica / 1,490
116 Mozambique / 1,470
117 Gabon / 1,459
118 Senegal / 1,350
119 Georgia / 1,300
120 Panama / 1,260
121 Sudan / 1,245
122 Zimbabwe / 1,222
123 Slovenia / 1,105
124 Moldova / 1,102
125 Zambia / 1,100
126 Nicaragua / 1,496
127 Mongolia / 1,000
128 Chad / 997
129 Burkina Faso / 897
130 Lesotho / 889
131 Ethiopia / 840
132 Benin / 825
133 Namibia / 750
134 Madagascar / 745
135 Barbados / 620
136 Laos / 514
137 Rwanda / 511
138 Swaziland / 395
139 Togo / 363
140 Cape Verde / 344
141 Tajikistan / 301
142 Guyana / 292
143 Haiti / 221
144 Belize / 150
145 Vanuatu / 149
146 Malawi / 140
147 Gambia / 120
148 Guinea / 119
149 Burundi / 118
150 SeyChelles / 118
151 Samoa / 70
152 Tonga / 55
153 Liberia / 49
154 Congo / 36
155 São Tomé and Príncipe / 36
156 Eritrea / 22
 
Big national reserves doesn't guarantee prosperity however, for instance, the yearly expenses for China 's government is $1.11 trillion, their government must always think of economic growth and making more money. The PRC overspent $110bn last year, much of it towards modernizing their military, if it goes on like this their reserves can only last for 22 yrs.
The Malaysian gov't overspent $13bn last year, if it goes on like this their reserves can only last for 7 yrs.
The Singaporean government overspent $3bn last year, much of it rescuing their banks from financial crisis, if it goes on like this their reserves can last 68 yrs.
The Swiss gov't overspent $1bn last year, if it goes on like this their reserves can last 262 yrs.
A country normally can borrow up to 100% its GDP. A very strong industrial country or very financial stable nation can borrow up to perhaps 200% its GDP, debts over 250% GDP the country is bankrupt.
Greece's debt is 113.40% GDP, in danger as it is not considered a strong industrial or financial country, as we already know.
Iceland̢۪s debt is 107.60% GDP, also in crisis as it is not so strong industrially or financially.
Singapore̢۪s debt is 113.10%, not in hot water due to its global financial hub status, and also its financial strength. It's only dangerous for Singapore when it reaches 200%.
Japan̢۪s debt is 189.30%, still under radar as a powerful Industrial nation. It needs to panic only at around 200%.
The US has the world largest debt, but it is only 62% of its GDP, it is not in any immediate danger of bankruptcy.
Zimbabwe̢۪s debt is 282.60% GDP, it is a kaput nation.
Malaysia̢۪s debt is currently At 53.70% GDP.... would have been much better if not for billions wasted thru corruption and mismanagement by UMNO.
Hong Kong and Taiwan are doing pretty good with debts at 32-37% GDP.
South Korea is even better with debts at 23.5% GDP.
China is very stable with debts at 16.90% GDP.
Russia is like a big mountain with debts @ only at 6.30% GDP.
There are only 5 countries with no debt, and are all comparatively small:
Brunei, Liechtenstein , Palau , Nieu, and Macau ( China )\