Wednesday, February 29, 2012

Shilole ft Q-Chief - LAWAMA

BREKING NEWS:Ajali ya basi yaua 9 Mwanza

AJALI YAUA 9 MWANZA
Ajali ya barabarani imetokea majira ya saa 5 za asubuhi hii pale basi la abiria la kampuni ya Zakaria likitokea Mwanza kuelekea Musoma lilipogongana uso kwa uso na gari dogo la abiria aina ya Toyota Noah (old model).
Katika ajali hiyo watu tisa(9) wamepoteza maisha papo hapo. Habari zaidi hapahapa.

NIMPENDE NANI By Diamond

KNOW SYMPTOMS OF STRESS, HOW 2 HANDLE STRESS AND PHYSICAL EFFECTS OF STRESS


THE OFFICAL LIST OF SYMPTOMS OF STRESSThere are numerous symptoms of stress from each of the four groups, as illustrated by the following list of dozens of common signs of stress as listed by the American Institute of Stress.

Frequent headaches, jaw clenching or pain

  • Gritting, grinding teeth



  • Difficulty concentrating, racing thoughts


  • Stuttering or stammering


  • Trouble learning new information


  • Tremors, trembling of lips, hands


  • Forgetfulness, disorganization, confusion


  • Neck ache, back pain, muscle spasms


  • Difficulty in making decisions.


  • Light headedness, faintness, dizziness


  • Feeling overloaded or overwhelmed.


  • Ringing, buzzing or "popping" sounds


  • Frequent crying spells or suicidal thoughts


  • Frequent blushing, sweating


  • Feelings of loneliness or worthlessness


  • Cold or sweaty hands, feet


  • Little interest in appearance, punctuality


  • Dry mouth, problems swallowing


  • Nervous habits, fidgeting, feet tapping


  • Frequent colds, infections, herpes sores


  • Increased frustration, irritability, edginess


  • Rashes, itching, hives, "goose bumps"


  • Overreaction to petty annoyances


  • Unexplained or frequent "allergy" attacks


  • Increased number of minor accidents


  • Heartburn, stomach pain, nausea


  • Obsessive or compulsive behavior


  • Excess belching, flatulence


  • Reduced work efficiency or productivity


  • Constipation, diarrhea


  • Lies or excuses to cover up poor work


  • Difficulty breathing, sighing


  • Rapid or mumbled speech


  • Sudden attacks of panic


  • Excessive defensiveness or suspiciousness


  • Chest pain, palpitations


  • Problems in communication, sharing


  • Frequent urination


  • Social withdrawal and isolation


  • Poor sexual desire or performance


  • Constant tiredness, weakness, fatigue


  • Excess anxiety, worry, guilt, nervousness


  • Frequent use of over-the-counter drugs


  • Increased anger, frustration, hostility


  • Weight gain or loss without diet


  • Depression, frequent or wild mood swings


  • Increased or decreased appetite


  • Insomnia, nightmares, disturbing dreams


  • Feeling Tired all the Time


  • Increased smoking, alcohol or drug use


  • Excessive gambling or impulse buying



  • As demonstrated in the above list, symptoms of stress can show up in a mind bogglingly wide range, and have huge impact and effects on our sense of self, our emotions, moods and behaviors.
    HOW STRESSED AM I?
    You may see a number of symptoms that describe you, and yet have trouble grasping that stress is their cause. It may be hard to think of stress as their direct cause, when often the symptom is in itself a cause of stress, and perpetually locked into a vicious cause-effect cycle.
    Another reason it is hard to tell if you are "really that stressed", is because mental disorders, even full blown mental, mood and emotional dysfunctions, that were rare have now become the norm and worrisomely we have come to accept them as normal.
    How would we know what freedom from stress is like it we have never experienced any other kind of existence?
    We may also have trouble grasping the seriousness of stress because, well, stress is a brain killer. It impairs our judgement, memory, and much more. Neuroscientists are warning us about disregarding the fragility of our brains with regard to stress.
    And our brain is only one of the systems that we can be unaware of, or worse oblivious to, being heavily affected by stress overload.
    STRESS EFFECTS ON BODILY SYSTEMS
    Equally important but often less appreciated are the physical effects of stress on various body systems, organs and tissues all over the body.
    But we do not stay unaware for long. Sooner, rather than later, we have a serious physical, mental or emotional breakdown.


    Taifa Stars Vs Msumbiji

















    Kikosi cha stars mazoezini juzi

    KOCHA Taifa Stars, Jan Poulsen na kiungo Nizar Khalfan wamewataka Watanzania kuondoa wasiwasi kwa kuahidi kufanya vizuri kwenye mchezo wa leo dhidi ya Msumbiji.
    Kauli hizo za Poulsen na Khalfan zinatokana na baadhi ya mashabiki wa Stars kukata tamaa na timu hiyo kwa kutokuwa na matokeo mazuri kwenye michezo yake ya kimataifa hivi karibuni pamoja na kutofurahishwa na uteuzi wa wachezaji wa kikosi hicho.
    Wakizungumza na Mwananchi jana mara baada ya mazoezi ya timu hiyo, Poulsen alisema ana imani wachezaji wake watapata matokeo mazuri kesho kama wataungwa mkono na mashabiki wote.
    "Watanzania wote kwa sasa wanapaswa kuwa kitu kimoja na kuendelea kutuunga mkono ili kuhakikisha tunaibuka na ushindi katika mchezo huo muhimu.
    "Siwezi kuwalazimisha kuondoa hofu, lakini ningependa kuwaambia kuwa nina matuini makubwa vijana wangu kufanya vizuri kwenye mechi hiyo. Wachezaji wameonyesha uchungu na timu ya taifa," alisema Poulsen.
    Alisema maneno mengi yanayosemwa na baadhi ya mashabiki kutokana na kutomwita Mbwana Samataa katika kikosi cha Stars, hayajengi isipokuwa jambo la msingi ni kuijitokeza kwa wingi na kuishangilia timu kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
    Akiunga mkono kauli za kocha wake kiungo Khalfan alisisitiza kuwa Taifa Stars ina nafasi kubwa ya kuifunga Msumbuji.
    Nizar aliyetemwa dakika za mwisho na klabu yake ya Philadephia Union ya Marekani alisema: "Nafikiri tuna kila sababu ya kushinda mchezo wa kesho, kila atakayepata nafasi yakucheza ajitume na kujitoa kwa ajili ya Taifa lake."
    Alisema timu ya Zambia haikuwa na wachezaji wakutisha sana kwenye fainali ya Kombe la Mataifa Afrika zilizomalizika Gabon na Equatorial Guinea isipokuwa nyota wake walikuwa na moyo wakujitoa na kujituma zaidi.
    "Naamini tukiweza kufuata hayo kutoka kwa ndugu zetu Zambia tutashinda mchezo huo tena kwa kishindo," alisisitiza.

    Alisema tangu alipotua nchini Jumapili jioni amefurahishwa na morali aliyowakuta na wachezaji wa kikosi hicho na kusema ni dalili nzuri ya ushindi kwa Stars.
    "Ni dalili nzuri kwetu kumwona kila mmoja wetu morali yake ikiwa juu, tunaomba mashabiki watupe sapoti ya kutosha ili tuweze kufanya yale ambayo yamekusudiwa na wengi," aliongeza.
    Alisema anaamini kama watashinda mechi hiyo ya kwanza ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa Afrika 2013 watajiweka katika mazingira mazuri yakusonga mbele.
    Katika hatua nyingine, alisema hafahamu sababu za Poulsen kumwacha Samatta.
    "Sababu atakuwa nazo mwenyewe, siwezi kuingilia maamuzi yake, naamini Samata bado ana nafasi kubwa kwenye timu ya taifa," alisema Nizar.

    Hii ni mara ya tano kwa Tanzania na Msumbiji kucheza kati ya hizo Mambaz imeshinda mechi mbili na kutoka sare mbili.
    Watanzania wengi wanakumbukumbu ya bao la Tiko Tiko lililowanyima kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2008 nchini Ghana.

    Monday, February 27, 2012

    Liverpool mabingwa Carling Cup baada ya ukame wa miaka 6

    Cup of joy: Gerrard lifts lifts the Carling Cup trophy as Liverpool celebrate
    Liverpool wakishangilia ubingwa wa Carling

    Ilikuwa fainali ya kukata na shoka iliyochezwa kwa muda wa dakika 120 baada ya kukosa mbabe ndani ya dakika 90 na hatimaye mshindi alipatikana kutokana na mikwaju ya penati.

    Bright start: Cardiff's Joe Mason casually rolled his side into the lead in the first half
    Joe Mason akitia "kambani" goli la kuongoza dhidi ya Liverpool

    Comeback: After plenty of near misses, Liverpool hit back through Martin Skrtel
    Martin Skrtel akiisawazishia Liverpool dakika ya 60

    Ni miaka sita tangu kuwe na ukame wa vikombe kwa Liverpool na sasa wamekinyaka cha Carling. Mpambano ulianza kwa kasi na Cardiff ndio walikuwa wa kwanza kutikisa nyavu za Liverpool goli likifungwa na Joe Mason, lakini Liverpool walijibu mapigo na kujipatia goli la kusawazisha kwa bao lililofungwa na Skrtel dakika ya 60.

    Liverpool vs Cardiff

    Hadi dakika 90 za kawaida zinamalizika timu hizo zilitoshana nguvu na mwamuzi wa mpambano huo  kulazimika kuongeza dakika nyingine 30.

    Super sub: Kuyt scored within five minutes of coming on
    Dirk Kuyt muuaji wa goli la pili

    Katika kipindi cha pili cha dakika za nyongeza Mshambuliaji wa Liverpool Dirk Kuyt, alieingia kuchukua nafasi Andy Carrol alitia kambani na kuipatia Liverpool goli la pili katika dakika ya 108.
    Vijana wa Cardiff hawakukata tamaa na zilipotimia dakika 118 mchezaji Ben Turner wa Cardiff alizima ndoto za Liverpool kuibuka mabingwa ndani ya dakika 120 baada ya kutupia kambani baada ya kizaazaa kutokana na kona iliyoelekezwa langoni mwa Liverpool.
    Dramatic scenes: Ben Turner took the game to penalties
    Ben Turner akitia kambani baada ya kizaazaa kutokea langoni mwa Liverpool kutokana na Kona
    Atmospheric: Liverpool fans held a protest inside the ground against the launch of the Sun on Sunday
    Mashabiki wa Liverpool

    Baada ya dakika 120 kukamilika ndipo changamoto ya mikwaju ya penati ilipofikia ambapo Liverpool walifanikiwa kufunga penati 3 zilizotiwa nyavuni na Dirk Kuyt, Glen Johnson na Downing. Waliokosa ni Steven Gerrard na Charli Adam.

    Timu ya Cardiff walifanikiwa kutia nyavuni penati mbili zilizopigwa na Don Cowie na Wittingham, na wachezaji waliokosa penati ni Kenny Miller, Rudy Gestede na Anthony Gerrard.
    Magic moment: Liverpool's players rush to celebrate their win
    Wachezaji wa Liverpool wakishangilia ubingwa baada ya binamu yake Steven Gerrald,Anthony Gerrald kukosa penati ya mwisho ya Cardiff.

    Arsenal nomaaaa,yaibanjua Spurs 5-2


    Thomas Rosicky akishangilia "kamba" ya tatu dhidi ya Spurs

    Matokeo ya mwisho katika mechi kati ya Arsenal na Tottenham Hotspurs yalisomeka 5-2, Magoli ya Arsena yakifungwa na Sagna, Van Persie, Rosicky, Walcott*2. huku Saha na Adebayor wakiipatia Spurs mawili ya kufutia machozi. Mechi hiyo ilipigwa katika dimba la Emirates ambapo mashabiki wa Arsenal walishuhudia timu yao ikitoka nyuma kwa magoli mawili na kupata ushindi wa kishindo dhidi ya Spurs.

    Robin Van Persie,Walcott na Chamberlain wakishangilia goli la nne