Friday, May 18, 2012

JEZI NAMBA 30 KUTOTUMIKA TENA SIMBA KATIKA KUMUENZI MAREHEMU PATRICK MUTESA MAFISANGO


Patrick Mutesa Mafisango akiwa na jezi namba 30

Habari za kuthibitika kutoka ndani ya klabu ya Simba ya Dar es salaam ambao ni mabingwa wa soka Tanzania bara 2012-2013 zinasema jezi namba 30 iliyokuwa ikitumiwa na kiungo mkabaji marehemu Patrick Mutes Mafisango imepigwa "STOP" kutumika au kuvaliwa na mchezaji mwingine katika hali ya kumuenzi mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Rwanda.


Wachezaji wa Simba Uhuru Selemani na Yondani wakiwa katika majonzi hospitali ya muhimbili

Uhuru Suleiman ameshindwa kujizuia akimwaga chozi katika hospitali ya Taifa Muhimbili

Patrick Mutesa Mafisango alifariki siku ya alhamisi alfajiri saa 10:25 akitokea Muziki kuelekea nyumbani kwake keko. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Tazara jijini Dar es salaam kwa kile kilichosemekana marehemu alikuwa katika jitihada za kuokoa maisha ya muendesha pikipiki ndipo alipojaribu kumkwepa kwa kuwa gari ilikuwa katika mwendo kasi iliacha njia na kuingia mtaroni na kupinduka na kusababisha kifo cha mchezaji huyo papo hapo na wenzake aliokuwa nao kwenye gari kujeruhiwa.


Mashabiki wa Simba na wapenzi wa Mafisango wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili

Hii ndiyo gari aliyopata nayo ajali Patrick Mutesa Mafisango

Kifo cha Mafisango kimeacha majonzi sio tu kwa Mashabiki na wachezaji wa Simba bali watanzania wote wapenda michezo na Wanyarwanda wote ambapo walikuwa wakimtegemea kwenda kujiunga na timu yao ya Taifa kupeperusha bendera ya Rwanda katika mashindano ya kutafuta nafasi ya kucheza kombe la dunia.


Boniface Pawasa mchezaji wa zamani wa Simba ameshindwa kabisa kujizuia akitokwa na machozi mbele yake ni Uhuru Suleiman

Wasanii wa kundi la Wanaume kushoto Chege na wenzake wakiwa msibani nyumbani kwa Mafisango

Haruna Moshi "Boban" akiwa katika lindi la majonzi akimlilia Mafisango

Kitu cha kusikitisha na kuhuzunisha zaidi ni kwamba Patrick Mutesa Mafisango baada ya kuitwa kujiunga na kikosi cha timu ya soka ya Taifa ya Rwanda na kocha Micho, aliomba asogezewe siku kwani alikuwa ndio ametoka kushiriki mashindano ya kombe la shirikisho akiwa na timu yake ya Simba ya Dar es salaam. Alipokubaliwa Patrick Mutesa Mafisango alikuwa amepanga kuondoka Tanzania leo 18/5/2012 kwenda kujiunga na timu yake ya Taifa ya Amavubi lakini kwa masikitiko siku hiyohiyo aliyoipanga kwenda Rwanda kujiunga na Timu yake sasa anakwenda akiwa hana uhai tena...inasikitisha sana!! MUNGU AILAZE ROHO YA PATRICK MUTESA MAFISANGO MAHALA PEMA PEPONO..AMIN!

Thursday, May 17, 2012

DEDICATION TO ALL PATRICK MAFISANGO,RWANDESE & SIMBA SPORTS CLUB SUPPORTERS-CANDLE IN THE WIND (ELTON JOHN)

LIVERPOOL WAMTIMUA KENNY DAGLISH

Kocha aliyetimuliwa Liverpool Kenny Daglish

Kocha Mkuu wa Liverpool Kenny Dalglish ametimuliwa kuifundisha klabu hiyo.

Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo inasema uamuzi huo umefikiwa baada ya tathmini ya kina iliyofanywa.

"Baada ya kutathmini kwa makini klabu imefikia uamuzi na kuona mabadiliko ni ya muhimu" Imesema taarifa hiyo

"Matokeo ya ligi kuu ya Premia yametusikitisha na katika kulinda maendeleo yaliyopatikana ni lazima kufanya mabadiliko"


Dalglish kuondoka kwake kwenye klabu ''kumefanywa kwa utu na heshima kubwa''.

Kocha Mkuu wa Wigan Roberto Martinez na Kocha wa zamani wa Liverpool Rafael Benitez wanatajwa kuwa huenda wakachukua nafasi ya Dalglish.

Dalglish anaelezwa kutokuwa na matokeo mazuri katika ligi kuu ya England.

Kuondoka kwake kumekuja baada ya mazungumzo na wamiliki wa Klabu hiyo John Henry na Tom Werner mjini Boston,Marekani siku ya Jumatatu.

Zaidi ya Liverpool kufika fainali ya FA na kuchukua Kombe la Carling, timu hiyo imemaliza ligi kuu ya England ikiwa nafasi ya nane huku ikipoteza michezo mingi.


BREAKING NEWS...PATRICK "MUTESA" MAFISANGO AFARIKI DUNIA


Kiungo wa zamani wa Simba s.c Marehemu Patrick Mafisango"Mutesa"


Kiungo mashuhuri wa Simba sports club Patrick Mafisango amefariki ghafla katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Tazara amabapo ni kituo cha gari moshi linalounganisha nchi ya Tanzania na Zambia,wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam.

Chanzo cha ajali hiyo ni kitendo cha Marehemu Mafisango akiwa katika gari yake na mdogo wake alipojaribu kumkwepa muendesha pikipiki na katika harakati za kuokoa maisha ya muendesha pikipiki huyo hatimae gari la Mafisango liliacha njia na kuingia kwenye mtaro na kupinduka na kusababisha kifo cha mchezaji huyo wa Simba, katika ajali hiyo pia mdogo wake Mafisango alijeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitalini.

"Kifo cha Patrick mafisango kimetusikitisha sana hasa kipindi hiki ambachio alikuwa katika kiwango cha juu sana ametuachia pengo wanasimba" Alisema mwenyekiti wa Simba Ismail Aden Rage alipohojiwa na kituo kimoja cha radiop nchini Tanzania.

Patrick Mafisango enzi za uhai wake akilisakata kabumbu

Mafisango akiwa amebebwa juujuu na wachezaji wenzake wakishangilia ushindi enzi za uhai wake

Mafisango kulia enzi za uhai wake akishangilia goli pamoja na mwenzake Emmanuel Okwi

Mafisango wa tatu kushoto waliosimama akiwa na kikosi cha Simba enzi za uhai wake

Mafisango akiwa amejipumzisha baada ya mazoezi na timu yake ya Simba

Mafisango katika swaga za kitaa enzi za uhai wake

Wednesday, May 16, 2012

ADIDAS WORLD FOOTBALL FIRST XI

WAREMBO WA LEO

5 BEST SCORERS IN THE EPL

Frank Lampard


136563180_display_image
At 33, Lampard still has his goal-scoring ability.
He has been one of Chelsea’s and the EPL’s most consistent midfielders.
Before last season, he had scored at least 20 goals in all competitions for five straight seasons.
That number dropped to 13 last year as he struggled with injuries and an inconsistent role as the club played around with formations after signing Fernando Torres.
This season, Lampard has scored 10 league goals in 22 matches. His role has shrunk under first-year Portuguese manager Andre Villas-Boas.
Unfortunately, because of his new role, Lampard’s future with Chelsea is up in the air. The club has struggled under AVB.
There is a strong possibility Lampard will leave Stamford Bridge this summer with a year remaining on his contract.

Luis Suarez


126281797_display_image
Playing in the Dutch league, Suarez scored 111 goals in 159 appearances for his club, Ajax.
In the 2009-2010 season alone, he scored 49 goals in 48 matches in all competitions.
Suarez moved to Anfield in January 2011.
The club was struggling when they brought Suarez on board, and he helped them to revive their season under manager Kenny Dalglish.
Suarez is only 25 and is a very clever and technical player. He is versatile and can be evasive due to his quickness.
In his first full season with Liverpool, Suarez has scored only six goals in 20 league matches. He did, however, serve an eight-match suspension for a racial incident involving Manchester United and French International defender Patrice Evra.

Clint Dempsey


136532456_display_image
In 2010-2011, Dempsey set the record for goals by an American in the EPL with 12 in all league matches.
Dempsey has twice netted a hat trick this season: once in the Football Association Cup against Charlton and once in Premier League action against Newcastle United.
The latter hat trick was scored in an impressive span of 20 minutes.
Dempsey has scored a career-best 16 goals in all competitions this season, surpassing his total of 13 last year.
In 26 EPL matches this season, Dempsey has scored 10 times, two short of the record for an American in the league he set last season.
He has scored 52 goals during his time with the club and has led Fulham to become a mid-table team in the Premier League.
Unfortunately for the Cottagers, it does not appear as if Dempsey will be at the club much longer. He has repeatedly stated his desire to regularly play in the Champions League, something that will not happen with Fulham.

Wayne Rooney

Last season, Rooney scored only 16 goals in 40 appearances he made in all competitions for Manchester United.
He scored the best goal of the 2010-2011 season.
Nani sent in a cross, which Rooney bicycle-kicked past a stunned Joe Hart.
His tally of only 16 goals can be attributed to the role he played with the club last year. With Javier Hernandez, “Chicharito”, playing the role of striker, Rooney played more of an offset forward, midfield distributor position.
This season, Rooney has scored the second-most goals in the Premier League. He has found the back of the net 17 times in 22 league appearances.
Rooney has taken on more of the offensive load this season for the Red Devils, as Chicharito has struggled with injuries.

Robin Van Persie

During an injury-plagued 2010-2011 season, Van Persie scored 18 goals in 25 games.
During that span, he set a record when he scored in nine consecutive away league matches.
This year, RVP has put the club on his back and has almost single-handedly kept the Gunners in the race for a chance to qualify for the Champions League.
Van Persie has netted 22 goals in 25 league appearances thus far this season.
The Dutch International scored one of the finest goals of this Premier League season in December when he volleyed an Alex Song ball past American goalkeeper Tim Howard.