Wednesday, December 12, 2012

TYSON SASA NI MWANAMKE ASEMA TOKEA ZAMANI ALITAMANI KUWA MWANAMKE

BINGWA maarufu wa zamani katika masumbwi wa uzito wa juu duniani, Mike "IRON" Tyson, anasemekana yuko katika hali nzuri baada ya kujibadili na kuwa mwanamke katika operesheni aliyofanyiwa huko Beverly Hills, Marekani, hivi karibuni ambapo amebadili jina na anajiita Michelle.
Kuna wakati Tyson alikuwa anajulikana kama “Mtu mwenye sura mbaya zaidi duniani”!sasa ni Dem inakuwaje?


MIKE TYSON sasa anaitwa MICHELLE

“Watu wanaona ni ajabu mie kuwa mwanamke hivi sasa,” alisema Tyson ambaye aliwahi kufungwa kwa kubaka, na ambaye amefanyiwa mabadilko kadhaa ya uso, pua na viungo vingine kwa masaa 16. Aliongeza kwamba: “Hata nilipokuwa bondia nilikuwa natamani sana kuwa na matiti na nyeti za mwanamke.”
Iron Mike au Iron Maiden kama anavyojulikana sasa aliyasema hayo akiwa ametulia huku amevaa wigi la kike, suruali ya ‘jeans’ ya bluu na T-shirt yenye picha ya Vanessa Bruno ambapo alidokeza kwamba mara sehemu zote nyeti za kike zitakapojitokeza atawadhihirishia Wamarekani kwamba yeye si “mvulana mbaya” tena.
Amesema ameutunza uume wake ulioondolewa katika chupa ili kuwakumbusha wabaya wake waliokuwa wakimfanyia vitendo vya kuchukiza yeye na “wavulana wazuri” wengine huko gerezani.
Japokuwa wachambuzi wa masuala ya ndondi mwanzoni walishangazwa na maneno hayo ya Tyson, wengi wamekiri kwamba alama za yeye kupenda hivyo zilikuwepo.

Mtu Mmoja amesema kwamba: “Huko nyuma, alikuwa anapenda sana kuvaa sana glovu za kike, viatu virefu vya ngozi vya kike na magauni ya hariri, na pia alikuwa ni mtu mwenye kupenda sana heleni.” 


TYSON(MICHELLE) ENZI ZAKE ULINGONI

TYSON (KUSHOTO) AKIKABILIANA NA BRUNO (KUSHOTO)

SIKU TYSON ALIPOMNG'ATA SIKIO EVANDER

Tuesday, December 11, 2012

TAIFA QUEENS BINGWA WA MABARA WAICHAKAZA MALAYSIA KATIKA FAINALI

wachezaji wa timu ya taifa ya Netiboli, wakiwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere, wakitokea Singapore walikokuwa wakishiriki mashindano ya mabara na kuibuka mabingwa. Hakika wanastahili pongezi
Taifa Queens ilipowasili nchini

Timu ya netiboli ya Tanzania (TAIFA QUEENS) imeibuka kidedea na kushinda mchezo wa fainali dhidi ya Malaysia kwa kuibanjua mabao 45-38. Kwa matokeo hayo Taifa Queens imetawazwa kuwa bingwa wa mabara kwa mwaka huu wa 2012 (IFNA Inter-Continental netball title). 
Mashindano hayo yaliyofanyika Nchini Singapore  ambayo bingwa mtetezi alikuwa Australia yameshuhudia Taifa Queens ikimaliza mashindano bila kupoteza mchezo hata mmoja. Mwenyekiti wa Chaneta Anna Bayi amesema mpaka timu zinaenda mapumziko tayari Taifa Queens walikuwa mbele kwa mabao 25-16, Waliporudi kipindi cha pili ilikuwa kumalizia kazi nzuri waliyoianza.

Timu hiyo imewasili nchini jana na kombe la mabara na medali za dhahabu na kuleta heshima mpya kwa Tanzania katika anga ya michezo, Ikumbukwe Taifa Queens ilitembeza bakuli balaa mpaka kufikia kuelekea Singapore huku wadau wenye kuweza kudhamini michezo wameng'ng'ania kupanda mbegu zisizoota kwenye mpira wa miguu, Wakati umefika wadau kuigeukia michezo mingine na huenda mungu akatujaalia kama jinsi nyota inavyoanza kuonekana katika sekta ya michezo nchini.

Hongereni sana Taifa Queens kwani mmetutoa kimasomaso na sasa Tanzania itaanza kutamkwa bila kung'atang'ata maneno katika anga za michezo duniani.

Taifa Queens wakifanya vitu vyao..wacha weeee..kalieni soka tu halafu tuone tutafika wapi!!

Weyee, Chezea Taifa Queens weweeee!!!

Sisi ndio sisi bhanaaaaa mtausaka kwa tochi hamuupati ngodo!

HAKUNA KAMA LEONEL MESSI

LIONEL Messi amevunja rekodi ya miaka 40, iliyowekwa na gwiji wa Ujerumani, Gerd Mueller baada ya kufunga mabao 86 ndani ya mwaka mmoja kwa klabu na timu ya taifa.
Mshambuliaji huyo wa Argentina alifunga mabao mawili na kuiongoza Barcelona kushinda 2-1 dhidi ya Real Betis Jumapili kwenye mchezo wa Ligi ya Hispania.






Bao lake la kwanza ni juhudi binafsi, alilifunga katika dakika 16 na kumfikia Mueller aliyeweka rekodi ya kufunga mabao 85 mwaka 1972, zikiwa zimebaki dakika tisa, Messi alifunga bao lake 86 mwaka huu.


"Kama ninavyosema wakati wote, ni vizuri kuweka rekodi hii, lakini jambo muhimu zaidi ni kuisaidia timu kushinda," alisema Messi. "Kila wakati nasema kazi yangu ni kuona timu inatwaa ubingwa wa Ligi Kuu, Ligi ya Mabingwa na Kombe la Copa del Rey."


Messi amefunga mabao 74 kwa Barcelona na 12 kwa timu yake ya taifa ya Argentina mwaka huu. Amebakiza michezo mitatu kabla ya kufunga mwaka huu na huenda akatengeneza rekodi mpya. Mueller alifunga mabao 85 akiwa na Bayern Munich na Ujerumani Magharibi.
Messi mwenye miaka 25 alivunja rekodi ya gwiji wa Brazil, Pele aliyeifungia Brazil na Santos mwaka 1958 mabao 75, lakini nyota huyo wa Argentina, Novemba 11 alivunja rekodi hiyo kwa kufunga bao la 75 na 76 na kuanza kuisaka rekodi ya Mueller.


Baada ya kuweka rekodi ya kufunga mabao 50, msimu uliopita, Messi ameiongoza Barcelona kuanza msimu huu kwa kishindo wakishinda mechi 14 na kutoka sare moja kati ya 15. Pia ameshafunga mabao 30 kwenye michuano yote aliyoichezea timu mpaka sasa.


"Hakuna mchezaji mwingine kama Messi," alisema kocha Barcelona, Tito Vilanova. "Siyo kwa sababu ya uwezo wake wa kufunga, lakini ni pamoja na ujuzi wake wa kutoa pasi, kuwatoka mabeki, na kuelewa mchezo kwa haraka."


Messi, ambaye Novemba 2 alikuwa baba wa mtoto wa kiume aitwaye Thiago, pia ametajwa kwenye wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka wa FIFA akiwa pamoja na Andres Iniesta na mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo.
Messi ametwaa tuzo wa Ballon d'Or mara tatu mfululizo na kuisaidia Barcelona kutwaa ubingwa wa La Liga mara tatu, Ligi ya Mabingwa mara mbili na mataji mengi 10.


Pia, anategemewa kuwa mchezaji wa kwanza kuchukua tuzo ya mwanasoka bora wa dunia kwa mara ya nne. Mshindi atatangazwa Januari 7.

Monday, December 10, 2012

MAN CITY YAANGUKIA PUA MBELE YA MAN U


Rooney akishangilia goli la kwanza



Robin Van Persie
Mpambano mkali kati ya Man City waliowakaribisha Man U katika dimba la Ettihad ulimalizika kwa Man U kuwatambia Man City nyumbani kwao kwa kuwatatika bakora 3 kwa 2. Man City walifanya juhudi za makusudi kutaka kushinda lakini bahati haikuwa yao baada ya kuwa nyuma kwa magoli mawili mpaka dakika ya 59 pale Yaya Toure akiipatia Man City goli la kwanza kufuatia mawili ya Man United yaliyowekwa kimiani na Rooney katika dakika ya 15 na 28.
Alikuwa ni PJ Zabaleta alieisawzishia Man City katika dakika ya 85 kabla ya Robin Van Persie kupigilia msumari wa moto katika dakika ya 90 akipiga faulo maridadi iliyoelekea moja kwa moja kambani. Mpaka mwisho wa mtanange huo Wageni waliibuka kidedea kwa mabao 3 kwa 2 za wenyeji.

Yafuatayo ni matokeo ya mechi zilizopigwa weekend hii

Barclays Premier League | RESULTS


09 December
West Ham2 - 3  Liverpool
M Noble (pen 35)
S Gerrard (og 42)
G Johnson (10)
J Cole (75)
J Collins (og 78)
Upton Park Attendance (35005)
09 December
Everton2 - 1   Tottenham
S Pienaar (89)
N Jelavic (90)
CD Dempsey (75)
Goodison Park Attendance (36494)
09 December
Man City2 - 3Man Utd
Y Toure (59)
PJ Zabaleta (85)
W Rooney (15)
W Rooney (28)
R van Persie (90)
Etihad Stadium
08 December
Swansea3 - 4  Norwich
MPC Michu (50)
J de Guzman (58)
MPC Michu (90)
S Whittaker (15)
S Bassong (39)
G Holt (43)
R Snodgrass (76)
Liberty Stadium Attendance (20294)
08 December
Arsenal2 - 0   West Brom
M Arteta (pen 25)
M Arteta (pen 63)
Emirates Stadium Attendance (60083)
08 December
Wigan2 - 2   QPR
J McCarthy (18)
J McCarthy (73)
R Nelsen (25)
D Cisse (70)
The DW Stadium Attendance (17163)
08 December
Southampton  1 - 0  Reading
J Puncheon (60)
St. Mary's Stadium Attendance (29331)
08 December
Aston Villa0 - 0  Stoke
Villa Park Attendance (30110)
08 December
Sunderland1 - 3  Chelsea
A Johnson (65) FJS Torres (10)
FJS Torres (pen 45)
JMG Mata (48)
Stadium of Light Attendance (39273)

Man City 2-3 Man United

Arsenal 2-0 West Brom

West Ham 2-3 Liverpool

Swansea 3-4 Norwich

Friday, December 7, 2012

Africa’s 10 Richest Billionaires

10. Mohamed Mansour
$2,2 billion

Egypt’s Mohamed Mansour runs the transportation empire Mansour Group, which is spread over numerous countries and carries brands such as General Motors and Caterpillar. It represents nine of the top 500 companies in Egypt and employs over 40,000 people. Mansour has also been Egypt’s minister of transportation, and his group handles the area distribution for several major technology brands. Mansour himself sits on many corporate boards and is the chairman of Credit Agricole bank.

09. Naguib Sawiris
$2,5 billion
 Egypt (© Wikimedia Commons)
Naguib Sawiris has been less involved with business since the revolution that changed his country, Egypt. Instead the billionaire, who made his fortune in telecoms, formed the Free Egyptian Party and is a staunch critic and opponent to the ruling Muslim Brotherhood. But Sawiris has not hung up his corporate suit yet - it appears as if he is aggressively moving back into the European telecoms market by trying to buy a stake in Telecom Italia.

08. Patrice Motsepe
$2,65 billion
 Egypt (© Wikimedia Commons)
As one of South Africa’s richest people, Patrice Motsepe shares a similar source of wealth with many of the country’s elites: mining. A self-made billionaire, he began his career as a lawyer, but soon found a lucrative business buying underperforming gold shafts and making them turn a profit. Motsepe started young, helping his father in their liquor business. After he became a lawyer, he soon was made partner in a large law firm. But Motsepe had bigger goals and today he is chairman of the African Rainbow Minerals mining conglomerate.


07. Othman Benjelloun
$2,75 billion
 Egypt (© Wikimedia Commons)
The Moroccan banking and insurance tycoon Othman Benjelloun could be said to have had a good start in life: his father held shares in a small insurance company, which Benjelloun later took over. But the billionaire grew the company into a giant and used it to enter the banking world. Today his company BMCE owns a large share of African Bank and Benjelloun is also chairman of the Moroccan Banking Association. His banking group has a presence in over 20 African countries, as well as states abroad.


06. Christo Wiese
$3,7 billion
 Egypt (© Wikimedia Commons)
The main shareholder of retail chain Shoprite, Christo Wiese recently landed in hot water with South Africa’s tax authorities, which claim he owes around $220 million (R2 billion). But that amount will not send Wiese into the poor house. Other than Shoprite he also owns a large stake in the Pepkor Group, which includes retailers such as Pep and Ackermans. Wiese has investments in numerous companies, pushing his value up even more.

05. Mike Adenuga
$4,6 billion
 Egypt (© Wikimedia Commons)
The first of Nigeria’s billionaires to appear on this list, Mike Adenuga hit success at a young age: in his twenties netting a government contract to build army barracks. Said to have worked as a security guard and cab driver while studying in the U.S., he was already a millionaire by age 26. But his real fortune would appear after he founded Globacom, a leading telecoms firms in West Africa. Adenuga also established Conoil Producing, one of the largest independent oil producers in Nigeria.


04. Nassef Sawiris
$5,5 billion
 Egypt (© Wikimedia Commons)
All three of the Sawiris brothers appear on Forbes’ longer list, but the richest of them all is Nassef Sawiris, a construction tycoon and head of Egypt’s most valuable publicly-traded company, Orascom Construction Industries. Cement is a large part of his business, but Sawiris is also expanding into the fertilizer business. He is the largest stakeholder of technology firm Texas Instruments and can lay claim to being Egypt’s richest man.



03. Johann Rupert & family
$5,7 billion
 Egypt (© Wikimedia Commons)
An avid sportsman - particularly golf - South Africa’s Johann Rupert’s father started his empire by manufacturing cigarettes in his garage. Today Anton Rupert’s son heads the Remgro and Richemont groups, the latter owning luxury brands such as Cartier and Dunhill. He also founded Rand Merchant Bank and has expanded successfully into the wine industry.


02. Nicky Oppenheimer & family
$6,4 billion
 Egypt (© Wikimedia Commons)
If you had to name South Africa’s equivalent of the Rockefellers, the Oppenheimer family is the obvious choice. But unlike the U.S. dynasty, which made its fortune in oil, the Oppenheimers and particularly Nicky Oppenheimer found wealth in diamonds. Until recently the family owned De Beers, which Nicky ran, but its stake had been sold to Anglo American. Still, to show the reach and wealth of this family in South Africa, consider that Anglo was founded by Nicky’s grandfather, Ernest Oppenheimer



01. Aliko Dangote
$12 billion
 Egypt (© Wikimedia Commons)
Before 2008 Nigeria had no billionaires on this list. Then arrived Aliko Dangote, a man with a value nearly doubled that of Africa’s second-richest man. His cement company alone apparently makes up a third of the Nigerian stock market’s value. Dangote hails from a prosperous family - his grandfather was said to be the richest man in West Africa half a century ago. But he has taken it much further, trading in commodities such as flour and sugar.

Visit MSN Africa for more