Wednesday, October 9, 2013

HILI NDILO GARI LA MTOTO WA BAKHRESSA LENYE THAMANI YA Tshs 805 MILIONI

Hapana chezea jeuri ya pesa, kama huna sema sina pesa sio useme hela hakuna. Katika hali ya kustaajabisha kwa wale wenzangu na mimi tusiokuwa na hata baiskeli, Mtoto wa Bilionea wa Tanzania Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhressa ajulikanae kwa jina la Yussuf Bakhressa ameingiza nchini gari aina ya Brabus kwa oda maalum sawa sawa na lile linalomilikiwa na mmiliki wa timu kubwa ya soka ya Manchester City ya Uingereza. Gari hilo lililoonekana mjini linasemekana limemgharimu dola la kimarekani 500,000 ambazo ni sawa na Shilingi za kitanzania milioni 805. Cheki kwa uzuri ''ndinga'' hilo.

Gari aina ya Brabus 








Monday, September 23, 2013

BREAKING NEWZ!!!!!!!! WESTGATE NCHINI KENYA KIMENUKA JENGO LALIPULIWA

Huu ni muhtasari uliotolewa na BBC Yaliyojiri Huko Westagate
15:20 Polisi waonekana wakikimbia huku na kule katika harakati zao hizo dhidi ya Al Shabaab

14:56 Mkuu wa majeshi Meja Jenerali Julius Karangi amesema magaidi hao wanaweza kujisalimisha ikiwa wanataka kwa sababu jeshi litakabiliana nao vilivyo. Pia amesema kuwa Kenya inakabiliana na magaidi wa kimataifa

14:35 Ole Lenku anasema kuwa hali ingali tete lakini vikosi vya usalama vya Kenya vinakaribia kuwazingira magaidi hao...Hadi kufika sasa watu 62 wamefariki na wengine zaidi ya 175 kujeruhiwa. Pia ameongeza kuwa magaiodi wote ni wanaume, kutokana na taarifa za awali kuwa magaidi hao walikuwa wanaongozwa na mwanamke

14:30 Ole Lenku anasema kuwa wanajeshi kumi wamejeruhiwa na wanapokea matibabu. Pia mateka karibu wote wameweza kuokolewa. Ole Lenku pia amesema kuwa wameweza kuwaua magaidi wawili

14:28 Waziri wa usalama Joseph Ole Lenku anasema kuwa moshi ulitokana na moto uliosababishwa na magaidi wlaioko ndani ya jengo hilo kujaribu kusambaratisha juhudi za wanajeshi wa Kenya dhidi yao

14:03 Mkuu wa polisi David Kimaiyo asema kuwa vikosi vya usalama vinakaribia kudhibiti jengo hilo lote na vimeingia ndani kabisa ya jengo hilo kiasi cha kuwaokoa baadhi ya mateka
14:00 PM: Milipuko zaidi yasikika katika jengo hilo

13:54: Mwandishi wa BBCIdriss Situmaaliye katika eneo la Westgate anasema duru zinaarifu kuwa vikosi vya usalama vya Kenya vinasema kuwa ndivyo vimelipua sehemu ya jengo kujaribu kuingia ndani kabisa ya jengo hilo
13:52 PM Magari ya Ambulance yaobnekana yakienda katika eneo la shambulizi pamoja na magari ya zima moto. Vikosi vya usalama vinawataka watu kuondoka karibu na eneo la operesheni hiyo ili kuwawezesha kufanya kazi yao

13:49 pm: Moshi mkubwa mweusi waonekana ukitoka juu ka juu katika jengo hilo haijulikani nini kilichosababisha
13:19 pm Moshi mkubwa unaonekana ukitoka katika jengo la Westgate ambako wapiganaji wa Al Shabaab wanawazuilia mateka wakenya ambao idadi yao haijulikani

13:12 PM Viongozi wa kidini watoa taarifa kulaana kitendo cha Al Shabaab
12:30 PM: Milipuko zaidi na milio ya risasi imesikika katika jengo la Westgate huku vikosi vya usalama vikifanya jitahada za misho kuwa
 Heavy smoke rises from the Westgate Mall in Nairobi, Kenya
Westgate ikiwaka moto
 
Wanausalama wakikabiliana na Magaidi

Mwamanchi akijaribu kujinusuru

Polisi wakiwanusuru wananchi

Wanausalama wakiokoa wananchi


Maiti Westage






 
 
Majeruhi wakisaidiwa





Masikini mtoto wa watu katika taharuki
















ARSENAL HAKUNAGA...MOTO CHINI

Vijana wa Arsene Wenger wameendeleza wimbi la ushindi kwa kuicharaza Stoke City kwa goli 3-1 katika dimba la Emirates. Sio mwingine aliefanikisha ushindi huo 100% bali ni Metsut Ozil alienunuliwa kwa gharama kubwa toka Real Madrid. Magoli yalitupiwa kambani na Aaron Ramsey,Martesacker na Sagna.Wakati la kufutia machozi likifungwa na Cameron

On the run: Mesut Ozil drives forward for Arsenal against Stoke
Ozil akiongoza mashambulizi


Top of the league: Aaron Ramsey celebrates his goal that helped send Arsenal top
In the goals: Aaron Ramsey celebrates with teammates after scoring against Stoke
Wachezaji wa Arsenal wakimpongeza Ramsey baada ya kufunga goli

In a good run of form: Ramsey celebrates his good goalscoring start to the season
Back in it: Charlie Adam celebrates on the shoulders of goalscorer Geoff Cameron after Stoke make it 1-1
Mfungaji wa goli pekee la Stoke City
Heads up: Per Mertesacker jumps to head in a goal against Stoke to re-gain the lead for Arsenal
Metesacker akipiga kichwa kufunga goli la pili
Back in front: Mertesacker is celebrates with Olivier Giroud and Laurent Koscielny after his goal
Metersacker oyeeeeeeeeeeeeeeeee
Beating his man: Olivier Giroud runs past a tackle Robert Huth
Giroud akichanja mbuga


Off target: Giroud has his shot on goal rebound off Stoke City's Ryan Shawcross
Falling down: Jack Wilshere goes between Jonathan Walters and Geoff Cameron
Wilshere chini ya ulinzi

Good feeling: Bacary Sagna celebrates with Giroud as he scores Arsenal's third goal
Sagna