Wapenda soka ulimwenguni hususani wanaopenda kuangalia ligi kuu ya Uhispania wale mashabiki wa Barcelona na Real Madrid bila kusahau wazee wa mikeka wataimiss ligi hiyo baada ya kusimamishwa,Hatua hii inafuatia mtafaruku baina ya shirikisho la ligi kuu la
Uhispania na serikali ya taifa kuhusiana na ugavi wa mapato ya haki
miliki ya kupeperusha mechi. Pande zote zimeshindwa kukubaliana kuhusu ugavi wa mapato ya matangazo ya mechi za ligi hiyo maarufu duniani.
Agizo hilo liitaanza kutekelezwa kuanzia tarehe 16 mei. Maamuzi hayo yataathiri zaidi ya wachezaji laki sita (600,000) na mechi elfu thelathini (30,000). Kufikia
hizi sasa Barcelona inaongoza jedwali la La Liga,wakiwa na alama mbili
pekee zaidi ya wapinzani wao wakuu Real Madrid huku zikiwa zimesalia
mechi tatu tu msimu ukamilike. Serikali kuu imepitisha mswada mpya
ambao utasimamia ugavi wa fedha zinazotokana na hati miliki ya
matangazo ya mechi hizo za la Liga.
Mswada huo unaungwa mkono na muungano wa wachezaji wa kulipwa LFP. Mkataba
uliopa sasa inaziruhusu vilabu viwili vikuu nchini humo yaani ,
Barcelona na Real Madrid kukubaliana kivyao kuhusu nani atapeperusha
mechi zao. Kuna madai kuwa timu hizo mbili zinatia kibindoni nusu ya mapato yanayotokana na mechi zao. Shirikisho lenyewe limesema kuwa linafahamu hasara itakayotokea lakini halijafunga mlango wa majadiliano.
Juventus 2-1 Real Madrid: Tevez penalty gives Bianconeri first-leg advantage
The Argentine fired home a second-half spot-kick,
which he had earned himself, after Cristiano Ronaldo had cancelled out
Alvaro Morata's early opener in Turin
Carlos Tevez's penalty handed Juventus a crucial lead as they beat Real Madrid 2-1 in Tuesday's Champions League semi-final first leg.
Juve, crowned Serie A champions for a fourth year in a row on
Saturday, were rewarded for a bright start when former Real striker
Alvaro Morata opened the scoring from close range in Turin.
Massimiliano Allegri's side were soon pegged back, though, as
Cristiano Ronaldo - who scored three times against Juve in last season's
group stages - headed home a close-range equaliser from James
Rodriguez's sublime cross.
Holders Real wasted a great chance shortly before the break when
Rodriguez somehow headed against the crossbar from three yards with the
goal unguarded.
That miss ultimately proved costly as Juve were awarded a penalty
just before the hour when Dani Carvajal felled Tevez, and the Argentina
forward emphatically dispatched his spot-kick.
Juve therefore hold a narrow advantage ahead of next week's return
leg in Madrid, although Ronaldo's away goal - his 76th in the Champions
League, one more than his great rival Lionel Messi - could prove
crucial.
The hosts took the game to Real from the off, and a poor clearance from Iker Casillas almost led to a chance for Arturo Vidal.
Casillas was then equal to Morata's audacious lob, but the ex-Real man did get on the scoresheet in the eighth minute.
Tevez's low shot across the face of goal was only parried by Casillas and Morata tapped in the rebound, the striker recognising the goal against his former club with muted celebrations.
Real gained a foothold in the game after the opener, as Toni Kroos'
low 25-yard drive drew a fine stop from Gianluigi Buffon before Ronaldo
raced clear and dragged a left-foot shot wide.
And the holders' pressure told in the 27th minute. An extended period
of possession led to Rodriguez looping an exquisite half-volleyed cross
from the right of the penalty area that Ronaldo nodded home from a yard out.
The visitors should have had the lead heading into the break as
another flowing attack ended with Rodriguez heading Isco's delivery
against the crossbar when it appeared easier to score.
After a cautious opening to the second half, the tie took a twist in the 57th minute.
Tevez led a lightning Juve counter-attack from his own half and
Carjaval sent the former Manchester City man tumbling when he tried to
nick the ball, leaving referee Martin Atkinson with no choice but to
award a penalty
And there was no mistake from Tevez, who drilled his shot straight down the middle to register his 29th goal of another prolific season.
Real threw numbers forward in an attempt to find the leveller, and
Ronaldo let Juve off the hook when he failed to guide Rodriguez's
left-wing cross on target.
Juve could have had a third in injury time when substitute Fernando
Llorente headed Andrea Pirlo's teasing free-kick straight at Casillas,
but Allegri is sure to be satisfied with a one-goal lead
Mtu tajiri barani Afrika Aliko
Dangote amesema kuwa bado anataka kuinunua kilabu ya Arsenal licha ya
kushindwa kufanya hivyo mwaka 2010 alipotaka kununua hisa za kilabu
hiyo.
Bilionea huyo kutoka Nigeria ni tajiri mara nane ya
alivyokuwa wakati alipojaribu kununua hisa za klabu hiyo na kwamba
shabiki huyo wa Arsenal bado hajatupilia mbali ndoto yake ya kutaka
kuinunua kilabu hiyo ya Landon Kazkazini. ''Bado nina matumaini
kwamba siku moja nitainunua timu hiyo',' alisema Dangote mwenye umri wa
miaka 58.''Naweza kuinunua bei ambayo wamiliki wake itakua vigumu
kukataa'', huku akiongezea kuwa ''najua mpango wangu''.
La kushangaza ni kwamba Dangote ametaja hadharani kwamba Arsene
Wenger anafaa kubadilisha mbinu yake akisema kuwa timu hiyo inahitaji
mwelekeo mpya. Dangote ambaye ana thamani ya dola bilioni 15 ni
tajiri zaidi ya Stan Kroenke ambaye anamiliki hisa nyingi katika kilabu
hiyo na Bilionea raia wa Uzbek Alisher Usmanov ambao wamekuwa
wakipigania udhibiti wa kilabu hiyo katika miaka ya hivi karibuni. Sehemu ya nje ya uwanja wa Emirates unaomilikiwa na Arsenal