Friday, May 8, 2015

TASWIRA YA JIJI LA DAR NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA












Maeneo ya Jangwani jijini Dar



Gari limetumbukia kwenye daraja lililobomoka maeneo ya Mbezi Makondeni kwa Mahita








Mmoja ya wakazi walioathirika na mafuriko







Mtaa wa Azikiwe jijini Dar









Lori la kokoto likiwa limezama Mto Msimbazi jijini Dar


Thursday, May 7, 2015

LIGI KUU SPAIN YAPIGWA "STOP"



Wapenda soka ulimwenguni hususani wanaopenda kuangalia ligi kuu ya Uhispania wale mashabiki wa Barcelona na Real Madrid bila kusahau wazee wa mikeka wataimiss ligi hiyo baada ya kusimamishwa,Hatua hii inafuatia mtafaruku baina ya shirikisho la ligi kuu la Uhispania na serikali ya taifa kuhusiana na ugavi wa mapato ya haki miliki ya kupeperusha mechi.
Pande zote zimeshindwa kukubaliana kuhusu ugavi wa mapato ya matangazo ya mechi za ligi hiyo maarufu duniani.

Agizo hilo liitaanza kutekelezwa kuanzia tarehe 16 mei.
Maamuzi  hayo yataathiri zaidi ya wachezaji laki sita (600,000) na mechi elfu thelathini (30,000).
Kufikia hizi sasa Barcelona inaongoza jedwali la La Liga,wakiwa na alama mbili pekee zaidi ya wapinzani wao wakuu Real Madrid huku zikiwa zimesalia mechi tatu tu msimu ukamilike.
Serikali kuu imepitisha mswada mpya ambao utasimamia ugavi wa fedha zinazotokana na hati miliki ya matangazo ya mechi hizo za la Liga.

Mswada huo unaungwa mkono na muungano wa wachezaji wa kulipwa LFP.
Mkataba uliopa sasa inaziruhusu vilabu viwili vikuu nchini humo yaani , Barcelona na Real Madrid kukubaliana kivyao kuhusu nani atapeperusha mechi zao.
Kuna madai kuwa timu hizo mbili zinatia kibindoni nusu ya mapato yanayotokana na mechi zao.
Shirikisho lenyewe limesema kuwa linafahamu hasara itakayotokea lakini halijafunga mlango wa majadiliano.

Wednesday, May 6, 2015

watch live BAYERN MUNICH Vs BARCELONA


21:45 - 23:45
Spain
The UEFA Champions LeagueFC Barcelona vs Bayern Munchen

NUSU FAINALI UEFA: JUVENTUS YAITISHIA NYAU REAL MADRID NYUMBANI

Juventus 2-1 Real Madrid: Tevez penalty gives Bianconeri first-leg advantage

Juventus 2-1 Real Madrid: Tevez penalty gives Bianconeri first-leg advantage

The Argentine fired home a second-half spot-kick, which he had earned himself, after Cristiano Ronaldo had cancelled out Alvaro Morata's early opener in Turin
Carlos Tevez's penalty handed Juventus a crucial lead as they beat Real Madrid 2-1 in Tuesday's Champions League semi-final first leg.
Juve, crowned Serie A champions for a fourth year in a row on Saturday, were rewarded for a bright start when former Real striker Alvaro Morata opened the scoring from close range in Turin.
Massimiliano Allegri's side were soon pegged back, though, as Cristiano Ronaldo - who scored three times against Juve in last season's group stages - headed home a close-range equaliser from James Rodriguez's sublime cross.
Holders Real wasted a great chance shortly before the break when Rodriguez somehow headed against the crossbar from three yards with the goal unguarded.
That miss ultimately proved costly as Juve were awarded a penalty just before the hour when Dani Carvajal felled Tevez, and the Argentina forward emphatically dispatched his spot-kick.
Juve therefore hold a narrow advantage ahead of next week's return leg in Madrid, although Ronaldo's away goal - his 76th in the Champions League, one more than his great rival Lionel Messi - could prove crucial.
 
The hosts took the game to Real from the off, and a poor clearance from Iker Casillas almost led to a chance for Arturo Vidal.
Casillas was then equal to Morata's audacious lob, but the ex-Real man did get on the scoresheet in the eighth minute.
Tevez's low shot across the face of goal was only parried by Casillas and Morata tapped in the rebound, the striker recognising the goal against his former club with muted celebrations.
Real gained a foothold in the game after the opener, as Toni Kroos' low 25-yard drive drew a fine stop from Gianluigi Buffon before Ronaldo raced clear and dragged a left-foot shot wide.
And the holders' pressure told in the 27th minute. An extended period of possession led to Rodriguez looping an exquisite half-volleyed cross from the right of the penalty area that Ronaldo nodded home from a yard out.
The visitors should have had the lead heading into the break as another flowing attack ended with Rodriguez heading Isco's delivery against the crossbar when it appeared easier to score.
After a cautious opening to the second half, the tie took a twist in the 57th minute.
Tevez led a lightning Juve counter-attack from his own half and Carjaval sent the former Manchester City man tumbling when he tried to nick the ball, leaving referee Martin Atkinson with no choice but to award a penalty
And there was no mistake from Tevez, who drilled his shot straight down the middle to register his 29th goal of another prolific season.
Real threw numbers forward in an attempt to find the leveller, and Ronaldo let Juve off the hook when he failed to guide Rodriguez's left-wing cross on target.
Juve could have had a third in injury time when substitute Fernando Llorente headed Andrea Pirlo's teasing free-kick straight at Casillas, but Allegri is sure to be satisfied with a one-goal lead
 

BURUDANI YA LEO: Beach Party-Nyange star


Tuesday, May 5, 2015


21:45 - 23:45
Italy
The UEFA Champions LeagueJuventus vs Real Madrid

ARSENAL KUMILIKIWA NA TAJIRI WA AFRIKA


Aliko Dangote tajiri namba moja Afrika
Mtu tajiri barani Afrika Aliko Dangote amesema kuwa bado anataka kuinunua kilabu ya Arsenal licha ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 2010 alipotaka kununua hisa za kilabu hiyo.
Bilionea huyo kutoka Nigeria ni tajiri mara nane ya alivyokuwa wakati alipojaribu kununua hisa za klabu hiyo na kwamba shabiki huyo wa Arsenal bado hajatupilia mbali ndoto yake ya kutaka kuinunua kilabu hiyo ya Landon Kazkazini.
''Bado nina matumaini kwamba siku moja nitainunua timu hiyo',' alisema Dangote mwenye umri wa miaka 58.''Naweza kuinunua bei ambayo wamiliki wake itakua vigumu kukataa'', huku akiongezea kuwa ''najua mpango wangu''.

La kushangaza ni kwamba Dangote ametaja hadharani kwamba Arsene Wenger anafaa kubadilisha mbinu yake akisema kuwa timu hiyo inahitaji mwelekeo mpya.
Dangote ambaye ana thamani ya dola bilioni 15 ni tajiri zaidi ya Stan Kroenke ambaye anamiliki hisa nyingi katika kilabu hiyo na Bilionea raia wa Uzbek Alisher Usmanov ambao wamekuwa wakipigania udhibiti wa kilabu hiyo katika miaka ya hivi karibuni.
 
Sehemu ya nje ya uwanja wa Emirates unaomilikiwa na Arsenal