Thursday, June 11, 2015
MTOTO WA PELE ATUA SWANSEA
NDREW AYEW
Mshambuliaji wa Ghana Andre Ayew
amejiunga na kilabu ya Swansea kwa uhamisho wa bure na kuandikisha
mtakataba wa miaka minne na kilabu hiyo.
Ayew mwenye umri wa miaka
25,amekuwa katika kilabu ya Marseille tangu mwaka 2006 lakini mkataba
wake na kilabu hiyo ya Ligue 1 ulikamilika mwezi uliopita.Mchezaji huyo aliyetajwa kuwa mchezaji bora na BBC mwaka huu alifunga mabao 52 katika mechi 181 katika kilabu hiyo na amelichezea taifa lake mara 62.
''Nilihisi kwamba huu ndio wakati mwafaka kwangu'',alisema Ayew. Nilihisi hamu ya kucheza katika ligi ya Uingereza na kutaka kukuwa kama mchezaji na kwamba Swansea ndio suluhu kwangu kwa njia yoyote''.
"Uaminifu na hamu ya klabu hiyo ulinifanya kujihisi kwamba ni kweli wananitaka.Wameonyesha hilo kwa kila njia''.
Wednesday, June 10, 2015
RATIBA COPA AMERICA...KIMENUKAA KAZI KWENU WAZEE WA MIKEKAA
| Date | Time (local) | Home | vs. | Away | Stage |
| June 11 | 8:30 p.m. | Chile | vs. | Ecuador | Group Match |
| June 12 | 8:30 p.m. | Mexico | vs. | Bolivia | Group Match |
| June 13 | 4 p.m. | Uruguay | vs. | Jamaica | Group Match |
| June 13 | 6:30 p.m. | Argentina | vs. | Paraguay | Group Match |
| June 14 | 4 p.m. | Colombia | vs. | Venezuela | Group Match |
| June 14 | 6:30 p.m. | Brazil | vs. | Peru | Group Match |
| June 15 | 6 p.m. | Ecuador | vs. | Bolivia | Group Match |
| June 15 | 8:30 p.m. | Chile | vs. | Mexico | Group Match |
| June 16 | 6 p.m. | Paraguay | vs. | Jamaica | Group Match |
| June 16 | 8:30 p.m. | Argentina | vs. | Uruguay | Group Match |
| June 17 | 8:30 p.m. | Brazil | vs. | Colombia | Group Match |
| June 18 | 8:30 p.m. | Peru | vs. | Venezuela | Group Match |
| June 19 | 6 p.m. | Mexico | vs. | Ecuador | Group Match |
| June 19 | 8:30 p.m. | Chile | vs. | Bolivia | Group Match |
| June 20 | 4 p.m. | Uruguay | vs. | Paraguay | Group Match |
| June 20 | 6:30 p.m. | Argentina | vs. | Jamaica | Group Match |
| June 21 | 4 p.m. | Colombia | vs. | Peru | Group Match |
| June 21 | 6:30 p.m. | Brazil | vs. | Venezuela | Group Match |
| June 24 | 8:30 p.m. | TBD | vs. | TBD | Quarter-Final |
| June 25 | 8:30 p.m. | TBD | vs. | TBD | Quarter-Final |
| June 26 | 8:30 p.m. | TBD | vs. | TBD | Quarter-Final |
| June 27 | 6:30 p.m. | TBD | vs. | TBD | Quarter-Final |
| June 29 | 8:30 p.m. | TBD | vs. | TBD | Semi-Final |
| June 30 | 8:30 p.m. | TBD | vs. | TBD | Semi-Final |
| July 3 | 8:30 p.m. | TBD | vs. | TBD | 3rd Place |
| July 4 | 7 p.m. | TBD | vs. | TBD | Final |
Friday, May 15, 2015
WALIOTAKA KUMPINDUA NKURUNZUNZA WAKWAMA
Mnamo 13 mwezi May jenerali mmoja wa jeshi alitangaza katika
redio ya taifa kwamba rais wa Burundi amepinduliwa na kwamba serikali ya
mpito itabuniwa.Lakini msemaji wa rais alikana habari hizo akidai kuwa
kulikuwa na usaidizi mdogo katika jeshi kwa mapinduzi kutendeka.Rais
Nkurunziza alidaiwa kurudi nchini Burundi kutoka Tanzania ,lakini
imethibitishwa kuwa leo, alishindwa kufanya hivyo na kwamba yungali
nchini Tanzania.
Kiongozi wa kundi la kiraia linalopinga hatua ya rais Nkurunziza kuwania muhula wa tatu amewataka raia nchini humo kuendelea na maandamano kulingana na shirika la habari la AFP.
Vital Nshimiriman amesema kuwa licha ya kundi hilo kupinga jaribio hilo la mapinduzi,vile raia walivyowashangilia wanajeshi wa jaribio hilo kulionyesha kwamba kuna hamu kubwa ya mabadiliko.
Nukuu muhimu kutoka kwa Gervais Abayeho,msemaji wa rais Pierre Nkurunziza akizungumza na kipindi cha BBC cha Newsday.''Mapinduzi hushirikisha watu wengi Kuna wanajeshi wa nyadhfa za chini ambao wamesalimu amri na ambao wanawasaidia maafisa wa poisi na uchunguzi wao,lakini ninaamini watu waliopanga mapinduzi hayo ,wale viongozi hilo ni swala jingine ni lazima washtakiwe.hakuna mgawanyiko katika jeshi.Iwapo unaweza kuwaangalia wale waliokuwa wakipanga kutekeleza mapinduzi ni wachache ...kundi dogo la jeshi'',alisema..
Majenerali wawili waliotekeleza jaribio la mapinduzi nchini Burundi dhidi ya rais Pierre Nkurunziza wamekamatwa.
Hatahivyo kiongozi wa mapinduzi hayo jenerali Godefroid Niyombare ametoroka na anasakwa kulingana na msemaji wa rais.
Awali Jenerali Niyombare alikiambia chombo cha habari cha AFP kwamba yeye na wafuasi wake watajisalimisha akiongezea kuwa ''natumai hawatatuua''.
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amesema kuwa amerudi nchini Burund na kwamba anatarajiwa kulihutubia taifa.
Kiongozi wa kundi la kiraia linalopinga hatua ya rais Nkurunziza kuwania muhula wa tatu amewataka raia nchini humo kuendelea na maandamano kulingana na shirika la habari la AFP.
Vital Nshimiriman amesema kuwa licha ya kundi hilo kupinga jaribio hilo la mapinduzi,vile raia walivyowashangilia wanajeshi wa jaribio hilo kulionyesha kwamba kuna hamu kubwa ya mabadiliko.
Nukuu muhimu kutoka kwa Gervais Abayeho,msemaji wa rais Pierre Nkurunziza akizungumza na kipindi cha BBC cha Newsday.''Mapinduzi hushirikisha watu wengi Kuna wanajeshi wa nyadhfa za chini ambao wamesalimu amri na ambao wanawasaidia maafisa wa poisi na uchunguzi wao,lakini ninaamini watu waliopanga mapinduzi hayo ,wale viongozi hilo ni swala jingine ni lazima washtakiwe.hakuna mgawanyiko katika jeshi.Iwapo unaweza kuwaangalia wale waliokuwa wakipanga kutekeleza mapinduzi ni wachache ...kundi dogo la jeshi'',alisema..
Majenerali wawili waliotekeleza jaribio la mapinduzi nchini Burundi dhidi ya rais Pierre Nkurunziza wamekamatwa.
Hatahivyo kiongozi wa mapinduzi hayo jenerali Godefroid Niyombare ametoroka na anasakwa kulingana na msemaji wa rais.
Awali Jenerali Niyombare alikiambia chombo cha habari cha AFP kwamba yeye na wafuasi wake watajisalimisha akiongezea kuwa ''natumai hawatatuua''.
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amesema kuwa amerudi nchini Burund na kwamba anatarajiwa kulihutubia taifa.
Thursday, May 14, 2015
WAZIRI AUWAWA KWA KUSINZIA MKUTANONI MBELE YA RAIS
Taarifa hiyo iliyotolewa bungeni imesema Hyon Yong-Chol alipigwa na kombora la kuangusha ndege mbele ya mamia ya maafisa wakuu serikalini
Idara ya ujasusi ya Korea Kusini
imesema kuwa waziri wa ulinzi wa Korea Kaskazini ameuawa kwa kutokuwa
muaminifu kwa kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong-un.
Taarifa hiyo
iliyotolewa bungeni imesema Hyon Yong-Chol alikutana na mauti yake baada
ya kupigwa kwa kombora la kuangusha ndege mbele ya mamia ya maafisa
wakuu serikalini mwishoni mwa mwezi Aprili.Bwana Hyon anasemekana kuwa alisinzia katika hafla iliyokuwa ikihutubiwa na rais Kim jambo lililomuudhi sana kiongozi huyo wa kiimla.
Hata hivyo ukweli wa ripoti hiyo haujabainika kutokana na usiri wa serikali ya Korea Kaskazini.
Waziri Hyon Yong Cho enzi za uhai wake
Bwana Hyon alipandishwa cheo na kuwa Generali mwaka wa 2010 na kuuawa kwake kunatia shaka udhabiti wa uongozi wa rai Kim Jong -un.
Hyon alipandishwa cheo na kutangazwa kuwa waziri wa usalama wa taifa mwaka uliopita.
Mwandishi wa BBC aliyeko huko Seoul anasema mauaji hayo ya kikatili mbele ya umma ikiwa yatathibitishwa, yanaonyesha athari za uasi dhidi ya Kim Jong-un.
Mapema idara hiyo ya ujasusi ilisema viongozi wakuu katika serikali ya Korea Kaskazini wamekuwa wakiuawa kila mmoja kwa wiki.
Waziri Hyong Chol akikamatwa na kutolewa mkutanoni baada ya kudakwa akisinzia kwenye mkutano huo
Mara ya mwisho kwa kiongozi huyo wa korea kaskazini kuamrisha kuuawa kwa kiongozi mkuu serikalini ilikuwa ni mwaka wa 2013 alipoamrisha ami wake
Chang Song-thaek - kukamatwa na kutiwa kitanzi.
Chang alikamatwa katika mkutano wa hadhara na kupelekwa katika eneo la hadhara alikouawa mbele ya umma.
BURUNDI "KIMENUKA"
Makundi hasimu ya askari
yanakabiliana katikati mwa mji mkuu wa Burundi- Bunjumbura, mahala
ambapo tangazo lilitolewa jana Jumatano kuwa Rais Pierre Nkurunziza,
amepinduliwa.
Makabiliano ya risasi yanaendelea kwa sasa, huku milipuko kadhaa ikisikika.Radio na runinga ya taifa inang'ang'aniwa kwa sasa huku wanajeshi waaminifu kwa rais Nkurunziza ndio wanaoidhibiti.
Wednesday, May 13, 2015
WATCH LIIVEEEE REAL MADRID Vs JUVENTUS
| 21:45 - 23:45 |
Spain
| The UEFA Champions League | Real Madrid vs Juventus |
Subscribe to:
Posts (Atom)