Mnara utakapokamilika muonekano uwapo mnarani utakuwa wa ajabu sana, ambapo ni zaidi ya 2/3 ya maili moja, utakuwa na maeneo ya biashara,maduka na sehemu za starehe.
Zifuatazo ni picha zitakazotokana na mnara huo pindi utakapokamilika.
Manjonjo ya mnara huo sehemu ya juu na jinsi utakavyoonekan kwa mbele ukiwa Bahari ya Hindi.
Taswira halisi ya mnara huo itakavyokuwa.
Mandhari ya Kingdom Tower yatakavyokuwa sehemu ya chini.
No comments:
Post a Comment