Dakika ya 54 ilikuwa ni Mwinyi Kazimoto"Iniesta" aliepiga shuti kali lililomshinda kipa wa Rwanda na bila kupepesa njumu, bila kupepesa bukta John Bocco "Adebayor" akauwahi mpira na kuutupia kambani na kufanya mabao kuwa ni 2-0.
Wakati Tanzania inatinga nusu fainali ndugu zao Zanzibar muda huu wapo uwanjani wakipepetana na Burundi katika robo fainali ya pili katika dimba hilohilo la Lupogo jijini Kampala,Uganda.

Wachezaji wa Tanzania wakishangilia goli lililofungwa na John Bocco(14)
No comments:
Post a Comment