Friday, November 18, 2011

WAMAREKANI WAANDAMANA KUPINGA TOFAUTI KUBWA KATI YA TAJIRI NA MASIKINI

Waandamanaji wanaopinga tabaka la masikini na matajiri wakiwa katika mtaa mdogo wa Manhattan karibu na soko kuu la hisa "New York stock exchange" katika siku waliyoiita siku ya vitendo wakiwa wameandamana kutoka New york mpaka New York stock exchange

Maelfu ya waandamanaji katika mji wa New York wameendelea na harakati zao wakielekea kuvuka daraja la Brooklyn, kuonyesha ghadhabu zao dhidi ya kuendelea kuwepo matabaka nchini humo.


Waandamanaji wanaadhimisha kuanza kwa kampeni ya kupinga mfumo wa kiuchumi unaosababisha matabaka nchini Marekani ambapo walipiga kambi katika mtaa wa Wall Street kuliko na soko kuu la hisa na taasisi kubwa za kifedha Marekani. Mwezi uliopita, polisi waliwakamata mamia ya waandamaji .

Taswira nje ya soko kuu la fedha la Marekani ni raia wenye ghathabu kubwa wakiendelea kukaribia jumba la soko hilo na kulizingira kabisa.Polisi wamekuwa na wakati mgumu kuwazuia kwa kuweka vizuizi nje ya jumba hilo. Baadhi ya waandamanaji wamekamatwa huku kukiwa na makabiliano na ujibizanaji wa maneno makali.


Waandamanaji wakiwa wamebeba bango

Hamasa ya waandamanaji hao ni kufuatia hatua ya polisi kuwafurusha katika eneo walikokita kambi katika bustani ya Zuccotti. Hii imewafanya kushindwa kukesha huko. umati wa watu ambao walikuwa wamekusanyika nje ya Wall Street wameondoka.

Backed for the first time in large numbers by US trade unions, ‘Occupy Wall Street’ protesters pour into New York’s financial district. REUTERS photo

Hata hivyo wamepanga kukusanyika tena katika kituo cha treni na jioni watafanya jaribio jingine la kuvuka daraja kuu ya Brooklyne.
Waandamanji hao wanasisitiza kwamba ni haki yao kuandamana.

Thursday, November 17, 2011

Onesho la sanaa ya matikiti maji yafana(Water melon art Festival)

Wengi tunayafahamu matikiti maji ama kwa lugha ya kigeni WATERMELON.
Huko nchini Italia kuna maonesho yanayojulikana kama Watermelon art Festival, ambapo wasanii kutoka sehemu mbalimbali za Italia hukutana huku kila mmoja akiwa na matikiti kadhaa ambayo ametumia usanii wake kuyatia nakshinakshi za aina mbalimbali na kuleta maumbo tofauti yenye kuvutia.Zifuatazo ni baadhi ya picha za maonesho hayo huko Italia.





















Syria "kimenuka" Jumuiya ya nchi za Kiarabu yaipa siku3 kumaliza Mzozo

Raia waendelea kujeruhiwa
Mmoja wa majeruhi akipata huduma ya kwanza

Waziri wa Mambo ya nje wa Ufaransa Alain Juppe anatarajiwa kufanya ziara maalum nchini Uturuki, kujadili hatua dhidi ya mzozo unaoendelea nchini Syria.

Jumuiya ya nchi za kiarabu imeipa Syria siku tatu kumaliza tatizo hilo la sivyo itawekewa vikwazo vya kiuchumi.

Mmoja kati ya waandamanaji nchini Syria akiwa amebeba bango"Bashar acha mauaji"
Habari zinasema majeshi yaliyoasi yameendelea kulenga kambi za jeshi linalotii serikali.
Ni miezi minane ambapo waandamanaji wasiokuwa na silaha wamekuwa wakilengwa na wanajeshi watiifu kwa Rais Bashar Assad. Hali imebadilika na majeshi asi yameanza kukabiliana na mahasimu wao.


Rais wa Syria Bashar Al-asaad

Duru kwamba majeshi yaliyoasi na chini ya mwavuli Jeshi Huru La Syria yameshambulia vituo kadhaa vya kijeshi mjini Damascus na kuwaua wanajeshi kadhaa wa serikali ya Syria bado hazijathibitishwa. Lakini ikiwa madai haya yana ukweli wowote, basi ni ishara kwamba huenda mzozo wa Syria umechukua mkondo hatari.

Jumuiya ya nchi za kiarabu imeonya kuiwekea Syria vikwazo vya kiuchumi ikiwa serikali ya Rais Assad haitakoma kutumia nguvu dhidi ya waandamanaji na imetaka dhuluma hizo kukomeshwa siku tatu.


Maandamano nchini Syria kupinga utawala wa Bashar


Umati wa waandamanaji nchini Syria

Ututruki pia inatathmini kuiwekea Syria vikwazo. Tayari Marekani na jumuiya ya Ulaya zimeweka vikwazo, japo haijabainika athari za viwazo hivi ni ipi.

Jumuiya ya nchi za Magharibi na mataifa ya magharibi yameanza kutafakari mustakabali wa Syria bila uwongozi wa Bashar Al Asaad.



Waandamanaji nchini Syria

Hata hivyo pande zote ziko maakini kuzuia vita vya wenyewe kwa wenyewe katika nchi hiyo. Hata hivyo ni vigumu kuafikia lengo hilo bila kuwepo ung'anganizi wa madaraka usipokuwa kwa mtutu wa bunduki.

Wednesday, November 16, 2011

Diamond-Buy it all

Picha za mwanga wa Radi zilizowahi kushangaza zaidi duniani

1
Mpiga picha Mike Tan alipiga picha hii karibu na Polson Pier. katika mahojioano Mike alisema"Kwa muda huo ilikuwa inatisha zaidi kuona radi inapiga karibu na sio zaidi ya kilomita tano,lakini nikasahau hatari ili mradi nipate picha"

1

Thunderstorm Rolls Through Las Vegas

A lightning bolt strikes near the Dubuque County Fair Wednesday night, July 27, 2011 during a storm in Dubuque, Iowa. Dubuque County was under a tornado warning Wednesday night. (AP Photo/The Telegrap

Lightning strikes over the Puyehue volcano, over 500 miles south of Santiago, Chile, Monday June 6, 2011.  Authorities have evacuated about 3,500 people in the nearby area. The volcano was calm on Mon

1

1

NASA has set October 28 for its planned launch of a satellite to help weather forecasters predict extreme storms

1

1

1

Lightning spreads across the sky over the Russian Orthodox Church of Three Saints in Garfield, N.J., during a storm on Thursday, Aug. 18, 2011. (AP Photo/Julio Cortez)

1

1

1

1

Lightning strikes over a church tower during a thunderstorm in Zurich

Lightning strikes over Palmdale, Calif., early Tuesday Oct. 19, 2010 as a low pressure system brings unsettled wet weather to Southern California. (AP Photo/Mike Meadows)

Lightning strikes behind the Mandalay Bay and Luxor hotel casinos as a thunderstorm passes through Las Vegas
Hizi ndio picha za mwanga wa radi za kushangaza zaidi kwa mwaka wa 2011