|
Wednesday, December 5, 2012
SOMA BARUA YA WENGER ALIYOWAANDIKIA MASHABIKI WA ARSENAL
KEEP FIGURE DO EXERCISE


Wanawake wengi wanapenda kuwa na miili "shape" kama hizi lakini wao hukimbilia kufanya diet ya vyakula bila kuzingatia mazoezi yanayojenga mwili.
Unatakiwa ufanye Diet ukiwa katika mazoezi maalum ya kujenga mwili, Ni hatari kufanya diet ya vyakula kwa kujinyima na mwisho wa siku unausababishia mwili maradhi yatokanayo na ukosefu wa aina fulani ya virutubisho vinavyopatikana katika vyakula.
FANYA MAZOEZI+DIET(MLO SAHIHI)= GOOD FIGURE(SHAPE)



Tuesday, December 4, 2012
Monday, December 3, 2012
TANZANIA STARS YATINGA NUSU FAINALI YAIBANJUA RWANDA
Robo fainali ya kwanza ya michuano ya Tusker kati ya Tanzania Stars na Rwanda umemalizika jijini Kampala katika dimba la Lupogo,na timu ya Tanzania Stars ikitinga nusu fainali kwa kuichapa Amavubi mabao mawili kwa bila. Shujaa wa leo ni Mwinyi Kazimoto alietengeneza pande la maana kipindi cha kwanza katika dakika ya 33 na Amri Kiemba kumalizia kwa kumchambua kipa wa Rwanda na kutupia kambani bao la kwanza.
Dakika ya 54 ilikuwa ni Mwinyi Kazimoto"Iniesta" aliepiga shuti kali lililomshinda kipa wa Rwanda na bila kupepesa njumu, bila kupepesa bukta John Bocco "Adebayor" akauwahi mpira na kuutupia kambani na kufanya mabao kuwa ni 2-0.
Wakati Tanzania inatinga nusu fainali ndugu zao Zanzibar muda huu wapo uwanjani wakipepetana na Burundi katika robo fainali ya pili katika dimba hilohilo la Lupogo jijini Kampala,Uganda.

Wachezaji wa Tanzania wakishangilia goli lililofungwa na John Bocco(14)
Dakika ya 54 ilikuwa ni Mwinyi Kazimoto"Iniesta" aliepiga shuti kali lililomshinda kipa wa Rwanda na bila kupepesa njumu, bila kupepesa bukta John Bocco "Adebayor" akauwahi mpira na kuutupia kambani na kufanya mabao kuwa ni 2-0.
Wakati Tanzania inatinga nusu fainali ndugu zao Zanzibar muda huu wapo uwanjani wakipepetana na Burundi katika robo fainali ya pili katika dimba hilohilo la Lupogo jijini Kampala,Uganda.

Wachezaji wa Tanzania wakishangilia goli lililofungwa na John Bocco(14)
ROBO FAINALI TUSKER TANZANIA,ZANZIBAR KUPENYA?
ROBO
FAINALI YA MICHUANO YA TUSKER CHALLENGE CUP 2012 INAYOENDELEA UGANDA
Desemba 3,
2012
Tanzania Vs
Rwanda Saa 8:00 mchana Lugogo
Zanzibar Vs
Burundi Saa 10:00 jioni Lugogo
Desemba 4,
2012
Kenya Vs
Malawi Saa 10:00 jioni Namboole
Uganda Vs
Ethiopia Saa 1:00 usiku Namboole
Friday, November 30, 2012
MAZISHI YA SHARO MILIONEA
MAREHEMU HUSSEIN RAMADHANI MKIETI "SHARO MILIONEA"
Zifuatazo ni picha za matukio katika mazishi ya msanii mchekeshaji na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a SHARO MILIONEA yaliyofanyika nyumbani kwao Muheza,Tanga siku ya Jumatano 28/11/2012.
Sajuki na Mlela wakiwa msibani
Umati wa waombolezaji wakiwa msibani
Baadhi ya wasanii waliohudhuria msibani Belle 9,Shetta,Timbulo na Tundaman
Mama mzazi wa Sharo Milionea akilia kwa uchungu katika msiba wa mwanawe.
Mjomba wa Sharo Milionea akimwaga chozi
Wema Sepetu akiwa msibani
Miss Kinondoni 2 Husna akimwaga Chozi
WALIOTOA NASAHA
Steve Nyerere
Nape Nnauye
Mzee Majuto
Mwana FA akitoa salamu kwa niaba ya wasanii wa Bongo flava
Mwili wa marehemu Sharo Milionea ukianza safari kuelekea makaburini
Kila mtu alijitahidi kufanya awezavyo ili mradi ashuhudie mazishi
Nnauye akiwa eneo la makaburini
WALIOZIMIA


MAKABURINI

Mzee Majuto


GARI ALILOPATA NALO AJALI
Tuesday, November 27, 2012
R.I.P HUSSEIN RAMADHAN MKIETE "SHARO MILIONEA"
Msanii wa vichekesho na muziki wa kizazi kipya Hussein Ramadhan Mkiete a.k.a Sharo Milionea amefariki katika ajali ya gari iliyotokea kijiji cha Lusanga,Muheza mkoani Tanga Siku ya jumatatu ya tarehe 26/11/2012 majira ya saa mbili usiku.
Habari zilizothibitishwa na kamanda wa polisi wa mkoa wa Tanga Constatine Massawe. kifo cha Sharo Milionea kimesababishwa na ajali aliyoipata wakati gari yake aina ya Toyota Harrier ilipopasuka tairi na kugonga mti eneo la Maguzoni.
Mwili wa marehemu Sharo umehifadhiwa katika hospitali Teule Tanga kwa kusubiria taratibu za mazishi zitakazofanywa na ndugu wa marehemu, Mungu ailaze roho ya marehemu Hussein Ramadhan Mkiete a.k.a SHARO MILIONEA Mahala pema peponi,AMIN!


Marehemu Hussein Ramadhan Mkiete "SHARO MILIONEA" enzi za uhai wake.

Sharo Milionea akifanya shopping mwezi huu kabla ya kupata ajali iliyoondoa uhai wake.
VIDEO ZA NYIMBO ZA SHARO MILIONEA
Habari zilizothibitishwa na kamanda wa polisi wa mkoa wa Tanga Constatine Massawe. kifo cha Sharo Milionea kimesababishwa na ajali aliyoipata wakati gari yake aina ya Toyota Harrier ilipopasuka tairi na kugonga mti eneo la Maguzoni.
Mwili wa marehemu Sharo umehifadhiwa katika hospitali Teule Tanga kwa kusubiria taratibu za mazishi zitakazofanywa na ndugu wa marehemu, Mungu ailaze roho ya marehemu Hussein Ramadhan Mkiete a.k.a SHARO MILIONEA Mahala pema peponi,AMIN!

Marehemu Hussein Ramadhan Mkiete "SHARO MILIONEA" enzi za uhai wake.
Sharo Milionea akifanya shopping mwezi huu kabla ya kupata ajali iliyoondoa uhai wake.
Subscribe to:
Posts (Atom)