Thursday, January 23, 2014

HIVI NDIVYO MAN UNITED ILIVYOCHAPWA NA SUNDERLAND

 
Mikwaju ya Penalti

PAPA AFUNGUKA INTERNET NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema kuwa Internet ni zawadi kwa dunia nzima kutoka kwa Mungu lakini akaonya kuwa matamanio ya kutaka kuwasiliana zaidi kutumia Internet kunawatenga watu kutoka kwa familia na marafiki zao.

Amewataka waumini wa kikatoliki kujiunga na mfumo wa dijitali. "Internet... inatoa nafasi ya mafanikio mengi. Hiki ni kitu kizuri bila shaka ni zawadi kutoka kwa Mungu,'' alisema Papa.

 

 

Katika ujumbe wake kwa dunia nzima ambao hutolewa kila mwaka, Papa amesema kuwa mfumo wa dijitali, unapaswa kuwa mtandao wa watu wala sio nyaya tupu.

Papa mwenyewe ana akaunti kwenye Twitter ambayo ina wafuasi zaidi ya milioni kumi.

Amehimiza kuwa mawasiliano yanapaswa kuhusisha hisia na mawazo, watu kukutana na kujuliana hali.

Kadhalika amewataka waumini wa kikatoliki kutodhani kuwa ni mawazo yao na imani zao pekee ambazo ni muhimu wakati wakiwasiliana na watu wa dini nyinginezo.

JUSTIN BIEBER AKAMATWA NA POLISI JIJINI MIAMI

justin bieber arrested dui
Justin Bieber

Bieber leo asubuhi amekamatwa jijini Miami na Polisi wa jiji hilo kwa kuendesha gari wakati akiwa "bwax".
Justin Bieber alikamwatwa akiendesha Lamborgini ya njano katika mitaa ya Miami huku amelewa yaani bwaaaaxxx!! Soma zaidi juu ya msala huu wa Bieber  

 
Justin Bieber

ASHA MUHAJI APEWA SHAVU SIMBA SPORTS CLUB EZEKIEL KAMWAGA KATIBU MKUU MPYA

clip_image002Ezekiel Kamwaga katibu mkuu mpya Simba Sports Club


Asha Muhaji Afisa habari mpya Simba Sports Club

Ezekiel Kamwaga amepandishwa cheo na kuwa katibu mkuu mpya wa Simba Sports Club kuchukua nafasi ya Evodius Mtawala ambaye amepata shavu TFF na hivi sasa ni mkurugenzi wa wanachama na sheria.

Wakati Ezekiel akipata shavu hilo nafasi yake imechukuliwa na Asha Muhaji.

JUAN MATA ATUA MANCHESTER UNITED

Chelsea have accepted a £37million bid for Juan Mata and immediately released the Spanish international to join Manchester United 

 Juan Mata -  

Juan Mata

Chelsea have accepted a £37million bid for Juan Mata and immediately released the Spanish international to join Manchester United to complete the most dramatic deal of the transfer window.

Mata will undergo a medical on Thursday at United before completing the move that will see him more than double his £70,000-a-week Chelsea salary at Old Trafford.

Chelsea have been braced for a bid since Monday for Mata and finally received the offer triggering their acceptance and the release of the player. 

 

The Premier League club are not expecting the 25-year-old to return to them and have already made plans for his replacements. A medical has been booked in for Thursday for Mata and personal terms accepted.

United chose a slightly unusual route to lodge their bid, using intermediaries, but Chelsea have accepted the offer as an official one and manager Jose Mourinho has sanctioned the move. 

 

Monday, January 20, 2014

CHELSEA YAICHARANGA MANCHESTER UNITED, ET'OO NI NOMAAAAAAAA

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amefunguka kwa kusema kuwa matumaini ya mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Premier, Manchester United ya kulihifadhi kombe hilo msimu huu yametumbukia nyongo, baada ya klabu yake kuishinda United kwa kamba tatu kwa moja.
Nyota wa Cameroon, Samuel Phill's Eto'o alitupia kambani mabao yote matatu na kuandikisha historia yake ya kutupia kambani matatu katika mechi moja (Hat-trik) ya ligi kuu ya Premier.
Chelsea hata hivyo imesalia nafasi ya tatu alama mbili nyuma ya Arsenal na moja nyuma ya Manchester City. 


Et'oo akitupia kambani goli la kwanza kwa kichwa..

Mourinho amesema itakuwa rahisi kwa ngamia kuingia tundu la sindano kuliko Manchester United kushinda taji la ligi kuu msimu huu.

'' Ni vigumu sana. Wao wana alama kumi na nne nyuma ya Arsenal, kumi na tatu nyuma ya Manchester City na kumi na mbili nyuma yetu'' Alisema Mourinho.

''Pengine timu moja isambaratike, lakini kwa timu tatu kusambaratika kwa pamoja, itakuwa vigumu sana. Nadhani kilichosalia ni wao kupigania kumaliza katika nafasi za kwanza nne'' Aliongeza Mourinho.



Nimeuaaaaaaaa
 
Nahodha wa United Nemanja Vidic alipewa kadi nyekudu muda mfupi kabla ya mechi hiyo kumalizika, baada ya kumfanyia madhambi Eden Hazard, naye Rafael da Silve akaonyeshwa kadi ya njano kwa kumjeruhi Gary Cahili dakika moja baadaye.
 
Hata hivyo kocha wa Manchester United, Moyes, alihisa kuwa refa wa mechi hiyo alichukua uamuzi mkali zaidi kwa kuumpa Vidic kadi nyekundu moja kwa moja, huku akikiri kuwa Rafael alikuwa na bahati sana pale refa alimpa kadi ya njano badala ya kadi nyekundu.
Naye Mourinho alimsifu Eto'o mwenye umri wa miaka thelathini na mbili, licha ya kuwa aliwahi kumshutumu kuhusiana na matokeo yake hasa baada ya kuwasili kutoka klabu ya Anzhi Makhachkala mapema msimu huu.

 
Pisha wewe kamba hiyoooooooooooo


Piga hao hata nne alaaaah


Pisha wewe tufanye yetu ebooo


Yeleewiiiiiii

 
This is Et'oo

Friday, January 17, 2014

THANKS FOR BIRTHDAY WISHES

 

 

Yesterday was my birthday, and on Facebook, and in email and via other sites I am associated with, I am getting bombarded with good wishes, including some very tempting offers...I'm trying to be a good boy, I really am.

Even though I am getting older it still makes me feel special to see all the love you are sending my way, thanks for making my day special!

Thank you to all of you for the birthday wishes! I had a great day with my cute little family. I am still stuffy from the wonderful wings and much more that they made for dinner.