Monday, October 6, 2014

CHELSEA YAWAADABISHA WATOTO WA WENGER, MOURINHO NA WENGER WAKUNJANA

 
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho
 
 
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger

Katika ligi kuu ya England jana mamilioni ya wapenda soka duniani waliokuwa wakishuhudia mtanange kati ya Chelsea na Arsenal walishuhudia Chelsea wakiibuka kidedea kwa jumla ya mabao 2-0 yakifungwa na Eden Hazard katika dakika ya 27 kwa njia ya penalti na dakika ya 78 likifungwa na Diego Costa mwenye magoli tisa katika mechi saba alizocheza katika ligi kuu hiyo ya primier.
Pamoja na mchuano uwanjani hapo lakini nao makocha wa timu hizo Jose Mourinho wa Chelsea na Arsene Wenger wa Arsenal walitifuana baada ya Wenger kulalamikia mchezo mbaya wa Cahil dhidi ya Sanchez.
Chelsea imejiimarisha kileleni kwa pointi tano juu ya Mancity inayofuatia ikiwa na pointi 14, huku Southampton akishikilia nafasi ya tatu baada ya timu zote za ligi kuu ya England kucheza mechi saba kila moja.
Kipigo cha jana cha Arsenal ni cha 12 kutoka kwa Chelsea ikiwa chini ya Mourinho dhidi ya Arsene Wenger. Mechi nyingine zilikuwa kati ya Manchester United dhidi ya Everton, ambapo Man-U imejipatia ushindi wa magoli 2-1. Tottenham imeicharaza Southampton kwa goli 1-0. Nayo Manchester City imetakata kwa kuichapa Aston Villa mabao 2-0. Msimamo wa ligi hiyo katika michezo saba, Chelsea inaongoza ikiwa na pointi 19, ikifuatiwa na Manchester City yenye pointi 14, Southmpton ni ya tatu na pointi 13, Manchester United nafasi ya 4 sawa na Swansea zikitofautiana idadi ya magoli ya kufunga. QPR, Burnely na Newcastle ndizo tatu za mwisho zikiwa na pointi 4 kila moja.
 

Diego Costa akishangilia baada ya kuidungua Arsenal

Welbeck Vs Fabregas


Diego Costa akitupia kambani goli la pili
 
Ozil Vs Fabregas





Wenger na Moueinho nusura wazichape kavukavuu
 
Tazama magoli yote hapa

WENGER AFUNGUKA DIEGO COSTA NI SHEEEEEDAAA!


DIEGO COSTA 

ARSENE WENGER

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa Diego Costa ni mshambuliaji hatari na kwamba mshambuliaji huyo wa Chelsea ni tishio kubwa kwa kikosi chake katika mechi ya Leo itakayochezwa katika uga wa stamford Bridge.
Kilabu zote mbili hazijafungwa tangu msimu huu wa ligi uanze,lakini Chelsea iko juu ya Arsenal kwa pointi sita.
Costa aliyenunuliwa kwa kitita cha pauni millioni 32 kutoka kilabu ya Uhispania ya Atletico Madrid,amefunga mabao 8 katika mechi 6 za ligi ya Uingereza alizoshiriki.

 ''Costa ana kila kitu cha mshambuliaji,anajitolea na yuko tayari kufunga bao'',alisema Wenger.
Wenger anahisi matumaini kwamba huenda Arsenal ikaishangaza Chelsea ilio katika kilele cha jedwali la ligi ya Uingereza ikiwa na pointi 16 kati ya 18.
Msimu uliopita Arsenal ilipata kichapo cha mabao 6 kwa 0 katika mechi iliochezwa katika uga wa Stanford Bridge huku Wenger akiweka rekodi ya kuisimamia kilabu hiyo kwa mechi yake ya1000.
Kwa upande wake Mourinho anatarajia ushindani mkali kutoka kwa Arsenal na amejitayarisha vilivyo.

Monday, September 22, 2014

BALLOTELLI APONZWA NA KEJELI ZAKE DHIDI YA MAN UTD MASHABIKI "WAMPA MAKAVU LIVE"

 
Mario Balloteli

Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambuliaji wa Liverpool kutoka Italia Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man Utd...LOL'' na ujumbe wake ukasambazwa zaidi ya mara 150,000 na mashabiki wake.

Hata hivyo miongoni mwa mwa wale waliouona ujumbe huo walimfokea kwa kuicheka United na wakamtusi kwa misingi ya rangi yake.
Japo ni raiya wa Italia Balotelli mwenye umri wa miaka 24 ana asili ya kiafrika.
Polisi tayari wamefunga kurasa kadha zilizotuma jumbe hizo huku wakianza uchunguzi waliozimiliki ni kina nani na wanaishi wapi iliwakamatwe na kujibu mashataka ya ubaguzi wa rangi.
Kundi linalopigania kumaliza ubaguzi wa rangi katika michezo Kick It Out lilisema kuwa baada ya kuarifiwa kuwepo kwa matusi yenye kumdhalilisha Balotelli, kundi hilo lilianzisha uchunguzi kwa ushirikiano na polisi wa mitandao ya kijamii.
Sio mara ya kwanza kwa Mshambulizi huyo kudhulumiwa kwa misingi ya rangi yake .
Balotelli ambaye alikuwa uwanjani Liverpool ilipolazwa 3-1 na West Ham jumamosi amewahi kudhulumiwa kwa misingi ya rangi yake timu ya Italia ilipokuwa ikijifua kwa kombe la dunia mwezi mei mwaka huu .
Awali pia aliwahi kutukanwa akiwa Inter Milan na pia akihudumu AC milan.

Thursday, July 24, 2014

FRANK LAMPARD ATUA NEW YORK CITY F.C

Chelsea v Norwich City - Premier League : News Photo
FRANK lAMPARD

Frank Lampard ameamua kutimkia Marekani na kujiunga na New York City F.C akiwa mchezaji huru.

LONDON, ENGLAND - MAY 04: Frank Lampard of Chelsea acknowledges the crowd following the Barclays Premier League match between Chelsea and Norwich City at Stamford Bridge on May 4, 2014 in London, England.

JEFFERSON MONTERO WA ECUADOR ATUA SWANSEA CITY

Ecuador's Jefferson Montero in action against Australia during an international friendly match on March 5, 2014
Jefferson Montero

Swansea City have confirmed the signing of Ecuador World Cup winger Jefferson Montero on a four-year deal on Thursday afternoon.
The Welsh side have not disclosed the fee to bring in the 24-year-old, who joins the club from Mexican top-flight side Morelia.
"Swansea City have completed their fifth summer signing with the arrival of Ecuador winger Jefferson Montero," the club said in a statement on their website.
"The 24-year-old, renowned for his pace, has penned a four-year deal at the Liberty following his move from Mexican top-flight club Morelia for an undisclosed fee."
Montero has been capped 43 times by Ecuador.

ATLETICO MADRID KUMSAJILI KIUNGO WA ARSENAL SANTI CARZOLA

Atletico Confident Of Signing Arsenal Midfielder
Saint Carzola


Diego Simeone is a big fan of the Spanish international and he has been a long-term target for the Spanish champions.

And according to the Daily Mail, he believes this could be the year he finally lands him now he faces stiff competition in the attacking midfield area at Arsenal.

The Gunners already have the likes of Mesut Ozil, Lukas Podolski, Theo Walcott and Alex Oxlade-Chamberlain in their ranks, and have now added £30million signing Alexis Sanchez to that already impressive list.

Reports suggest Arsenal would demand at least £15million if they were to sell up, as he recently signed a new 12 month deal.

At 29, Simeone may feel that is a little pricey but will have money to invest in the squad after selling Diego Costa and Felipe Luis to Chelsea.

LIVERPOOL WAIPIKU ARSENAL WAMSAJILI REMY KULAMBA PAUNDI 80,000 KWA WIKI

Liverpool, Arsenal, Remy, Loic Remy, Remy 
Loic Remy

The Gunners were interested in Remy but baulked at his wage demands.

But Liverpool have moved quickly to seal a deal for the French international.

Remy is believed to have agreed an £80,000-a-week four-year contract with the Reds after passing a medical last night.




 
REMY ndani ya uzi wa Newcastle