Tazama walivyopokelewa katika uwanja wa ndege wa Mwl Julius Kambarage Nyerere.

P-Square wakiwasili katika uwanja wa Mwl J.K Nyerere.

Mahojiano na kituo cha East Africa Radio ambao ndio wenyeji wa wanamuziki hao.

Umati wa mashabiki wa muziki waliofika kuwalaki

Wakielekea Hotelini kupumzika tayari kwa show siku ya Jumamosi katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment