Friday, September 16, 2011

Team Squads, Injury Latest And Fixtures For This Weekend’s Premier League Action



ARSENAL
Arsenal will welcome back Alex Song and Gervinho from three-match bans for tomorrow’s trip to Blackburn, but Aaron Ramsey (ankle) faces a fitness test.
Defender Carl Jenkinson is also available following a one-match suspension, but Tomas Rosicky (knee) and Ryo Miyaichi (calf) are doubts.
Midfielders Jack Wilshere and Abou Diaby (both ankle) are longer-term absentees.
Provisional Squad: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Benayoun, Walcott, Song, Arteta, Van Persie, Gervinho, Fabianski, Santos, Frimpong, Chamakh, Park, Djourou, Arshavin, Oxlade-Chamberlain, Jenkinson, Ramsey.

Aston Villa
TBA
Blackburn Rovers
Blackburn playmaker Junior Hoilett has recovered from concussion for tomorrow’s Premier League clash against Arsenal at Ewood Park.
Morten Gamst Pedersen (hamstring), David Dunn (calf) and Ryan Nelsen (knee) all face fitness tests.
Provisional squad: Robinson, Dann, Samba, Olsson, Salgado, Givet, Dunn, Petrovic, Nzonzi, Hoilett, Formica, Goodwillie, Rochina, Lowe, Roberts, Yakubu, Vukcevic, Hanley, Pedersen, Slew, Blackman, Bunn.
Bolton Wanderers
Bolton manager Owen Coyle is likely to freshen up his side for tomorrow’s visit of Norwich after last weekend’s 5-0 defeat to Manchester United.
New signings David Ngog and Tuncay Sanli both scored for the reserves in midweek while right-back Gretar Steinsson is pushing for a recall.
Midfielder Stuart Holden is close to a first-team return after six months out with a knee ligament injury but is likely to have to wait until next week’s Carling Cup tie.
Provisional squad: Jaaskelainen, Steinsson, Cahill, Knight, Robinson, Eagles, Muamba, Reo-Coker, Petrov, K Davies, Tuncay, Klasnic, Bogdan, Wheater, Boyata, M Davies, Klasnic, Pratley, Kakuta, Ngog, Blake.
Chelsea
TBA
Everton
TBA
Fulham
TBA

Liverpool
Right-back Glen Johnson will miss Sunday’s match at Tottenham after a recurrence of a hamstring injury last weekend.
But Martin Kelly (hamstring) and captain Steven Gerrard (groin) are both nearing returns to fitness but the skipper may not be risked at White Hart Lane.
Provisional squad: Reina, Skrtel, Carragher, Agger, Enrique, Adam, Lucas, Henderson, Kuyt, Downing, Suarez, Doni, Flanagan, Coates, Spearing, Shelvey, Rodriguez, Carroll, Bellamy, Kelly, Robinson.
Manchester City
Manchester City midfielder James Milner has been ruled out of Sunday’s Premier League trip to Fulham, after a clash of heads in last week’s defeat of Wigan.
Midfielder Nigel de Jong (foot) remains 10 days to two weeks away from fitness while full-back Aleksandar Kolarov is not hindered by a broken nose.
Provisional squad: Hart, Zabaleta, Kompany, Lescott, Kolarov, Richards, Clichy, K Toure, Savic, Nasri, Barry, Y Toure, Silva, Johnson, Dzeko, Balotelli, Tevez, Aguero, Razak, Pantilimon.
Manchester United
Sir Alex Ferguson has reported no fresh injury concerns ahead of Manchester United’s Premier League showdown with Chelsea at Old Trafford on Sunday.
Nemanja Vidic (calf), Tom Cleverley (foot) and Rafael (shoulder) remain sidelined, whilst Danny Welbeck (hamstring) is not expected to be available until next week.
Provisional squad: De Gea, Lindegaard; Evans, Evra, Fabio, Jones, Smalling, Ferdinand, Anderson, Carrick, Fletcher, Giggs, Nani, Park, Valencia, Young; Berbatov, Hernandez, Owen, Rooney.
Newcastle United
Newcastle full-back Davide Santon could be out for a month after suffering a cartilage injury which will require minor surgery, meaning Ryan Taylor will continue to deputise.
Hatem Ben Arfa is back in training after his ankle injury but is unlikely to be risked, while Haris Vuckic (broken hand), Mehdi Abeid and Mike Williamson (broken arm) remain on the casualty list.
Provisional squad: Krul, Harper, Simpson, R. Taylor, Ferguson, Coloccini, S. Taylor, Tiote, Cabaye, Gutierrez, Marveaux, Obertan, Gosling, Guthrie, Smith, Ba, Shola Ameobi, Lovenkrands, Best, Sammy Ameobi.
Norwich City
Norwich will have goalkeeper John Ruddy back from a one-match suspension for tomorrow’s Premier League match at Bolton.
Striker James Vaughan is available despite needing hospital treatment after being caught in the mouth by an elbow from West Brom defender Gabriel Tamas.
Winger Anthony Pilkington (back) should return to the squad, but centre-half Zak Whitbread (hamstring) and defenders Daniel Ayala and Elliot Ward (knee) remain out.
Provisional squad: Ruddy, Tierney, de Laet, Barnett, Naughton, Pilkington, Crofts, Johnson, Hoolahan, Morison, Holt, Rudd, C Martin, Bennett, R Martin, D Fox, S Jackson, Whitbread, Vaughan.
Queens Park Rangers
QPR manager Neil Warnock was expecting no fresh injury concerns ahead of tomorrow’s Barclays Premier League trip to Wolves.
Kieron Dyer (foot), Jamie Mackie (leg) and Rob Hulse (knee) remain sidelined.
Provisional squad: Kenny, Hill, Derry, Hall, Gabbidon, Taarabt, Campbell, Bothroyd, Faurlin, Traore, Buzsaky, Connolly, Barton, Young, Smith, Helguson, Murphy, Wright-Phillips, Ferdinand, Puncheon.
Stoke City
Peter Crouch, Matthew Etherington (back), Rory Delap (groin), Jonathan Woodgate and Marc Wilson (hamstring) will all be assessed ahead of the Sunderland game.
Goalkeeper Asmir Begovic – rested for the Dynamo Kiev game – is expected to return in place of Thomas Sorensen.
Provisional squad: Begovic, Wilson, Huth, Shawcross, Upson, Wilkinson, Whelan, Whitehead, Diao, Etherington, Walters, Jones, Sorensen, Shotton, Arismendi, Woodgate, Pennant, Delap, Crouch, Palacios, Jerome.
Sunderland
John O’Shea could return following a calf strain to bolster Sunderland’s defence against Stoke on Sunday.
Nicklas Bendtner is likely lead the attack and Connor Wickham could make his first start. Craig Gordon, Fraizer Campbell and David Meyler (all knee) remain sidelined.
Provisional squad: Mignolet, Westwood, Bardsley, Brown, O’Shea, Richardson, Turner, Bramble, Laing, Cattermole, Gardner, Vaughan, Colback, Elmohamady, Bendtner, Sessegnon, Wickham, Ji, Cook.
Swansea City
Captain Garry Monk is set for a first appearance of the season in Swansea’s clash with West Brom, after recovering from a foot problem.
Monk and Ashley Williams are the only fit centre-halves, with Alan Tate (broken leg) and Steven Caulker (knee) injured and deadline-day signings Darnel Situ and Rafik Halliche unable to join the club after FIFA denied them international clearance.
Midfielder Kemy Agustien (hamstring) and striker Craig Beattie (ankle) are also out.
Provisional squad: Vorm, Williams, Taylor, Bodde, Britton, Graham, Sinclair, Dyer, Dobbie, Routledge, Monk, Lita, Moore, Bessone, Moreira, Ranel, Allen, Tremmel, Gower, Richards.
Tottenham Hotspur
Rafael van der Vaart (hamstring), Aaron Lennon (groin) and William Gallas (calf) are making good progress in their recovery from injury and could play.
Steven Pienaar (groin), Tom Huddlestone (ankle) and Ledley King (knee) face fitness tests but Michael Dawson (Achilles) is out and Sandro (knee) is unlikely to be risked despite returning to light training.
Provisional squad: Gomes, Friedel, Cudicini, Bale, Kaboul, Bassong, Gallas, Corluka, Walker, King, Assou-Ekotto, Parker, Huddlestone, Lennon, Modric, Kranjcar, Livermore, Townsend, Lennon, Pienaar, Pavlyuchenko, Defoe, Dos Santos, Adebayor, Van der Vaart.
West Bromwich Albion
Zoltan Gera will miss West Brom’s Premier League trip to Swansea tomorrow after suffering a recurrence of his ankle injury.
Fellow midfielder Chris Brunt faces a late fitness test as he continues to recover from a knee injury picked up in training.
Provisional squad: Bednar, Brunt, Cox, Dorrans, Fortune, Foster, Fulop, Jara, B Jones, Long, McAuley, Morrison, Mulumbu, Odemwingie, J Olsson, Reid, Scharner, Shorey, Tamas, Thomas, Tchoyi, Daniels.
Wigan Athletic
Wigan defender Emmerson Boyce (hamstring) is rated only 50-50 for tomorrow’s trip to Everton, while defenders Steven Gohouri (calf) and Antolin Alcaraz (thigh) are getting closer to full fitness.
Shaun Maloney, David Jones and Patrick van Aanholt could make league debuts.
Provisional squad: Al Habsi, Caldwell, Figueroa, Lopez, Watson, Diame, Moses, Gomez, Rodallega, Di Santo, Jones, Stam, Van Aanholt, McArthur, McCarthy, Thomas, Sammon, Maloney, Crusat, McManaman, Kirkland.
Wolverhampton Wanderers
TBA
Fixtures:
Blackburn v Arsenal Live Streaming
Aston Villa v Newcastle United Live Streaming
Bolton v Norwich City Live Streaming
Everton v Wigan Live Streaming
Swansea v West Brom Live Streaming
Wolves v QPR Live Streaming
Tottenham v Liverpool Live Streaming
Fulham v Manchester City Live Streaming
Sunderland v Stoke Live Streaming
Manchester United v Chelsea Live Streaming

Bayern Munich Plot Bargain £7m Raid For Malouda


Florente Malouda

Bayern Munich are planning a £7million raid for Chelsea midfielder Florent Malouda in January.
The 31-year-old has only one-year remaining on his current deal and will be free to talk to other clubs in the new year.
The France international has seen his chances of playing regular first-team football hinderered by the Blues signing Juan Mata from Valencia.
Bayern are interested in the winger and hope Chelsea want to cash in on Malouda rather than let him go for free next summer, according to German magazine Kicker.
He was linked with a move away from Stamford Bridge during the previous transfer window with AC Milan and Juventus also keen on his signature.
Chelsea are believed to want to reduce the average age of the squad as well as the wage bill, and Malouda may be a casualty of the new regime.
Nicolas Anelka, Dider Drogba and Paulo Ferreira are all on the lookout for new clubs, but the Blues may decide to offer new deals or keep them until the summer.

YANGA YAANZA LIGI


MABINGWA watetezi, Yanga jana walipata ushindi wao wa kwanza kwenye Ligi Kuu baada ya kuichapa African Lyon kwa mabao 2-1 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Azam, Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.

Mashabiki wa Yanga waliokuwa na hamu ya kuona timu yao ikishinda mchezo huo walisubiri kwa dakika 35, mpaka mshambuliaji wa kimataifa wa zamani wa Zambia, Davies Mwape alipofunga bao la kuongoza, lakini Lyon walisawazisha bao hilo kupitia kwa Hamis Shengo kabla ya Rashid Gumbo wa Yanga aliyeingia akitokea benchi kufunga bao la ushindi katika dakika ya 63.

Kwa matokeo hayo Yanga imejinasua mkiani kwa kufikisha pointi sita katika michezo mitano na kurudisha faraja kwa mashabiki wao kabla ya mechi ya Jumapili dhidi ya Azam itakayofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

Pamoja na rekodi mbaya ya utovu wa nidhamu kwa timu za Ligi Kuu msimu huu jana mwamuzi Mathew Akrama wa Mwanza alichezesha mechi bila ya kuonyesha kadi kwa mchezaji yeyote.

Mchezo ulianza kwa kasi na katika dakika ya 4, Sino Agustino alifanikiwa kuunganisha vizuri krosi ya Seleman Kassim, lakini shuti lake liligonga mwamba na kurudi uwanjani.

Yanga ilijibu mapigo katika dakika ya 10 na 14 kupitia kwa Mwape aliyeshindwa kumalizia nafasi mbili baada ya kupigiwa pasi nzuri na Nurdin Bakari na Shamte.

Bao la kwanza la Yanga lilipatikana baada ya Pius Kisambale kupiga pasi ndefu kutoka katikati ya uwanja ambayo ilitua kwa Shamte Ally aliyemtengenezea nafasi Mwape ambaye aliusukuma mpira wavuni katika dakika ya 35 na kuamsha shangwe kwa wanajangwani.

Dakika tano baadaye, Kassim wa Lyon aliwatoka mabeki wa Yanga na kipa Berko na kupiga shuti golini, lakini Juma Seif alifanya kazi ya ziada kuwahi mpira huo na kuutoa nje.Ikiwa inaonekana timu hizo zitaenda mapumziko huku Yanga ikiongoza kwa bao moja, Hamis Shengo aliisawazishia Lyon kwa mpira wa adhabu alioupiga na kwenda moja kwa moja wavuni na kumwacha Berko asijue la kufanya.

Kabla ya kufungwa bao hilo katika dakika ya 42, beki wa Yanga, Bakari Mbegu alimchezea vibaya kiungo Kassim nje kidogo ya eneo la 18, faulo ambayo ilitoa nafasi kwa vijana wa Lyon kupata sare 1-1 hadi mapumziko.Kipindi cha pili Yanga ilianza kwa kasi na katika dakika ya 47, Pius Kisambale alikosa bao kwa shuti lake kupanguliwa na kipa Juma Abdul na kutoka nje.

Kocha Sam Timbe aliwapumzisha Shamte, Kigi Makasi na Juma Seif na kuwaingiza Kenneth Asamoah, Rashid Gumbo na Godfrey Bonny mabadiliko ambayo yaliisaidia Yanga.

Mabadiliko hayo yaliisaidia Yanga kwa sababu Gumbo aliyechukua nafasi ya Kigi aliipatia Yanga bao la pili katika dakika ya 63 kwa shuti la umbali wa mita 32, lililomshinda kipa wa Lyon, Abdul.Washambuliaji wa Lyon, Adam Kingwande na Agustino Sino watajilaumu wenyewe kwa kupoteza nafasi nyingi za kufunga katika mechi hiyo.

Katika mechi hiyo pia Gumbo alipiga shuti kali ambalo liligonga mwamba katika dakika ya 71 na kutoka vile vile Kenneth Asamoah alishindwa kumalizia pasi Kisambale akiwa ndani ya 18. Katika mechi hiyo kocha wa Lyon alifanya mabadiliko mapema, ambapo katika dakika ya 16 alimtoa Benedictor Jacob na kumwingiza Sammy Kessy pia baadaye alimtoa Kessy na kumwigiza Jacob Massawe.

Licha ya kuwapo ulinzi mkali kwenye uwanja wa Azam, wapo baadhi ya mashabiki waliruka ukuta ambao sio mrefu sana na kuingia uwanjani.Yanga: Yaw Berko, Shadrack Nsajigwa, Abuu Zuberi, Bakari Mbegu, Chacha Marwa, Juma Seif, Shamte Ally, Nurdin Bakari, Davis Mwape, Pius Kisambale na Kigi Makasi.
African Lyon: Juma Abdul, Aziz Sibo, Hamis Shengo, Shaban Aboma, Hamis Yusuph, Razaki Khalfan, Adam Kingwande, Seleman Kassim, Benedictor Jacob, Hood Mayanja na Agustino Sino.

Thursday, September 15, 2011

BEAUTIFUL AQUA TOWER OF CHICAGO

http://groups.yahoo.com/group/babes_in_blue/

http://groups.yahoo.com/group/babes_in_blue/

KWANINI VIONGOZI TANZANIA HAWAWAJIBIKI PINDI YANAPOTOKEA MAJANGA?

Nakwazika sana na matukio na shida zinazowakabili wananchi wa Tanzania bila ya viongozi wanaohusika kuwajibika ama kuwajibishwa..mfano hili swala la ajali ya meli kama ingekuwa limetokea nchi zenye viongozi wanaojua nini uongozi na wenye maadili katika utumishi wa umma lazima wahusika wangejiuzulu,

Tumeshaona mifano nchi nyingi viongozi wakijiuzulu pindi mambo yanapokwenda kombo katika idara ama vitengo vyao iwe wamesababisha wao ama wamesababisha watendaji wao likishatokea janga ni kujiuzulu tu hakuna mjadala..kwa masikitiko hali ni tofauti hapa Tanzania, madaraka yanatumiwa vibaya na waliopewa dhamana kwani wanajali zaidi maslahi yao kuliko Taifa lenye watu waliowachagua. Na hii inatokana na udhaifu wa kiongozi mkuu ambaye ni Raisi, yeye ndie mwenye kusimamia Taifa na viongozi wake lazima awe na msimamo katika kuhakikisha watendaji wake wanawajibika kwa mujibu wa kanuni na taratibu za nchi.

Sioni sababu ya Viongozi ambao wizara ama idara zao zina kashfa za mikataba mibovu,matumizi mabaya ya ofisi,maafa kutokana na uzembe wa watendaji wao,hali ya maisha kuwa ngumu kutokana na upandaji na ukosekanaji wa bidhaa muhimu katika taifa,wizi na ufujaji wa mali za umma na wengineo wengi kuendelea kubaki katika nyazifa zao.

Kwa staili hii ya viongozi wazembe kuendelea kuonekana kama miungu watu Daima taifa litaendelea kuwa masikini, kwani kutokana na ajali na vifo vya majanga ya kizembe vinapoteza watu ambao ni nguzo muhimu katika ujenzi wa Taifa, Kutokuwa na uwajibikaji katika idara nyeti zinadumaza huduma muhimu kwa wananchi na kufanya kuwa na maendeleo duni,hivyo kama wananchi hawana la kufanya taifa haliwezi kupata kipato.
Inauma na inakera sana kuona nchi inakosa mwelekeo kwasababu ya watu wachache, Jamani enyi viongozi hivi mliingia katika uongozi ili muwatumikie wananchi kweli?
Nilichogundua ni tofauti ya kuwa kiongozi hapa Tanzania na kuwa kiongozi nchi zingine, tofauti ni hii:
Nchi zilizoendelea mtu anagombea uongozi kwa hulka ya kuwa kiongozi ya kuwatumikia wananchi waliomchagua tofauti na viongozi wetu swala la kuwa kiongozi wameligeuza ajira, hapa ndio matatizo yalipo ndio maana kiongozi ukimwambia ajiuzulu ama awajibike inamuwia vigumu kwasababu hana mbele wala nyuma uongozi ndio kila kitu kwake.


Imefikia wakati sasa viongozi muone uongozi kuwa ni dhamana halisi ya kuwatumikia watu na sio ajira kama mlivyogeuza kwa hivi sasa, mkiwa na jinsi nyingine ya kuishi na mkauchukulia uongozi kuwa ni dhamana ya kuwatumikia wananchi lazima mtakuwa na maadili mema ya utumishi wa umma, pindi unapoonekana umeshindwa kuwajibika basi swala la kuachia ngazi halitokuwa gumu kwako kwani ilikuwa ni sehemu ya maisha yako na sio maisha yako.

Watanzania wenzangu kwa kulifahamu hili na mkagundua viongozi wetu wameufanya uongozi ndio njia yao ya kuishi hamtoshangaa kwanini wanafanyaufisadi na wamekuwa wagumu kuwajibika ama kuchukua maamuzi magumu. Uongozi sio ajira kama tunavyofikiria,mshahara unaopewa kiongozi ni malipo ya muda na busara zako unazozitumia katika kuwajibika kwa wanachi na Taifa kwa ujumla. Na sababu hizi za kuufanya uongozi kama ajira zinapelekea viongozi kutokuwajibika ipasavyo katika nyazifa zao kwakuwa muda mwingi wanapanga mipango ya kujipatia pesa ama kufanya kazi aile tu zenye kuwapatia pesa ama zenye 10% na kazi za mshahara huwa hazifanyiki kwa jinsi inavyotakiwa zifanyike.
Nitaendelea na mada hii........+255 684 887 525.

SIMBA IKO JUU KAMA "ROCKET" YAWACHEZESHA KWATA POLISI DODOMA


Ulimboka mwakingwe akijaribu kuska mpira bila mafanikio

MSHAMBULIAJI Gervais Kago aliisaidia timu yake ya Simba kuichapa Polisi Dodoma bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Azam, Chamazi.

Matokeo hayo yameifanya Simba kufikisha pointi 13 na kuendelea kubaki kileleni mwa ligi kuu wakifuatiwa na JKT Ruvu wenye pointi tisa, huku Yanga ikishikilia mkia ikiwa na pointi tatu.

Kocha wa Simba, Moses Basena alisema amefurahishwa na matokeo yaliyompa pointi tatu muhimu.

Mshambuliaji Kago alifunga bao lake la pili msimu huu kwa Simba katika dakika ya 25 akipokea pasi ya kifua kutoka kwa Felix Sunzu na kupiga shuti kali lililojaa wavuni.

Katika mechi hiyo Bryton Mponzi alipoteza nafasi ya kuisawazishia Polisi Dodoma baada ya kushindwa kuunganisha krosi ya Salmin Kiss Kiss huku kiungo wa Simba, Jerry Santo naye alijitahidi kufunga bao katika dakika ya 22 kwa kichwa, lakini beki wa Polisi alizuia mpira huo kwenye mstari wa goli.

Wakati Polisi Dodoma wakijitahidi kutafuta bao la kusawazisha Mponzi alipiga kichwa dhaifu kilichoishia mikononi mwa kipa Juma Kaseja, ambapo Simba walijibu mapigo katika dakika ya 43, baada ya Kago kujaribu kumtungua kipa wa Polisi Dodoma, Agathon Mkwandiko, lakini mpira huo ulitoka nje.


Uhuru Selemani wa Simba akichuana na beki wa Polisi Dodoma

Simba walirudi kipindi cha pili kwa kasi hasa katika dakika za 53, 56, ambapo Kago na Emmanuel Okwi walipoteza nafasi za kufunga wakiwa wao na kipa Mkwandiko kwa mashuti yao kutoka nje.

Mwamuzi Charles Mchau alitoa kadi za njano kwa Bantu admin wa Polisi Dodoma na Nassoro Said wa Simba kwa mchezo mbaya katika mechi hiyo.

Kocha wa Polisi Dodoma, John Kanakamfumu akizungumzia mechi hiyo alisema makosa ya mabeki wake katika kipindi cha kwanza ndiyo yaliyosababisha matokeo hayo.

"Nimegundua mapungufu kidogo, lakini tunakwenda kurekebisha kabla ya mchezo ujao," alisema Kanakamfumu.
Licha ya uwanja wa Azam kuwa na uwezo wa kuchukua mashabiki 5000, mashabiki walishindwa kuujaza uwanja huo na sababu mojawapo ikiwa ni ulanguzi mkubwa uliokuwa ukifanywa na wauza tiketi katika vituo mbalimbali.


Uhuru Selemani akikwepa daruga la mlinzi wa Polisi Dodoma

Hamasa kubwa ya mashabiki wa Simba waliotaka kuiangalia timu yao ikicheza kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Azam, Chamazi ilitumbukia nyongo kutokana walanguzi wa tiketi hizo.

Pamoja na TFF kutangaza tiketi ya kiwango cha chini kuwa shilingi 7,000 baadhi ya magari yalionekana yakiziuza tiketi hizo kati ya Sh 9,000 hadi 10,000.

Gari lililokuwa linauza tiketi Mbagala mwisho Toyota Hiace namba tunazo walitoa tiketi kwa watu waliokuwa wakiziuza eneo la Big Bon Mbagala kwa bei ya ulanguzi.

Huku gari hilo lilikuwa likizunguka mitaani na kusimama kwenye kituo cha mabasi yaendayo Mbande na Msongola na kuuza tiketi kwa bei kubwa kinyume na eneo walilotakiwa kusimama na kuuza tiketi.

Pia, nje ya eneo la TFF majira ya saa tano asubuhi watu wengi walikuwa wanauza tiketi za Sh 7000 kwa sh 10,000 wakati huo magari yalikuwa hayajaanza kuuza tiketi.


Brcelona,Arsenal,Man United zashindwa kutamba Chelsea,Real Madrid,Bayern zang'ara Ligi ya mabingwa Ulaya

Ligi ya mabingwa ulaya iliendelea tena wiki hii na kuona vigogo vikishindwa kutamba kwa kulazimishwa suluhu na timu pinzani. matokeo ya mechi hizo ni kama ifuatavyo.

13-9-2011

Barcelona        2-2     A.C Milan
F.C Porto         2-1    Shaktar Donetsk
B/ Dortmund   1-1    Arsenal
Olympiakos     0-1    Marseille
Chelsea           2-0    Leverkusen
Genk               0-0    Valencia
Opoel Nicosia 2-1    Zenit
 Plzen               1-1    Bate

14-9-2011

D/Zagret   0-1   R.Madrid
Ajax         0-0    Lyon
Benfica    1-1    Man United
Basel        2-1   Otelul Galat
Inter         0-1   Trabzosper
Lille         2-2   CSKA Moscow
Villareal  0-2   Bayern Munich
Man City 1-1   Napoli

                                              Matukio mechi Barcelona vs AC Milan



Matukio mechi ya Chelsea vs Leverkusen


Matukio mechi ya Borussia Dortmund vs Arsenal


Matukio mechi ya Man United vs Benfica


Matukio mechi ya D/Zagreb vs Real Madrid


Matukio mechi ya Villarel vs Bayern Munich


Matukio mechi ya Man City vs Napoli