Friday, December 6, 2013

NELSON MANDELA AFARIKI DUNIA JOHANNESBURG

Rais wa kwanza mwafrika kuingoza Afrika ya kusini na mpinga ubaguzi Nelson Mandela amefariki akiwa na umri wa miaka 95.
Mandela aliiongoza Afrika ya kusini kutoka katika utawala wa watu weupe na kuwa chini ya utawala wa waafrika katika miaka ya 90 baada ya kutumikia kifungo cha miaka 27 jela kwasababu za kisiasa.
Alikuwa akipata matibabu ya uangaizi wa hali ya juu nyumbani baada ya kukaa hospitali kwa muda wa miezi 3.
Akitangaza kupitia luninga ya Taifa Rais Jaco Zuma alisema Mandela yuko katika amani. 'Our nation has lost its greatest son'' Alisema Zuma.
"Although we knew that this day would come, nothing can diminish our sense of a profound and enduring loss." Aliongeza rais Zuma.


Mandela anaejulikana kama Madiba kwa jina la ukoo wake alifariki jijini Johannesburg.




Marehemu Nelson Mandela aliekuwa Rais wa kwanza mweusi kuingoza Afrika ya kusini akiwa ameshikilia kombe la dunia wakati mashindano ya mpira ya kombe la dunia yalipofanyika kwa mara ya kwanza katika bara la Afrika mwaka 2010.

Nelson Mandela
1918 Born in the Eastern Cape
1943 Joined African National Congress
1956 Charged with high treason, but charges dropped after a four-year trial
1962 Arrested, convicted of incitement and leaving country without a passport, sentenced to five years in prison
1964 Charged with sabotage, sentenced to life
1990 Freed from prison
1993 Wins Nobel Peace Prize
1994 Elected first black president
1999 Steps down as leader
2001 Diagnosed with prostate cancer
2004 Retires from public life
2005 Announces his son has died of an HIV/Aids-related illness

 
Mandela enzi za ujana wake.

 Woman outside Mandela's home in Johannesburg (5 Dec 2013)
Bibi akiomboleza kwa machozi nje ya nyumba ya Mandela jijini Johannesburg ambapo melfu ya waombolezaji walijaa nje ya nyumba.

Lungi Morrison, granddaughter of Archbishop Desmond Tutu, at a memorial in London (6 Dec 2013)
Jijini London Uingereza muombolezaji akiweka shada la maua nje ya ubalozi wa Afrika ya kusini.

UN Security Council
Baraza la usalama la umoja wa mataifa limesimama kwa dakika moja jijini New York kuomboleza kifo cha Nelson Mandela.


Muombolezaji akiwasha moto kwenye karatasi la kupaa katika mgahawa uliopewa jina la Madiba katika kumuenzi Nelon Mandela aliefariki dunia 5/Dec/2013 huko Brooklyn borough of New York,


 
Wananchi wakiomboleza Nje ya nyumba ya zamani ya Mandela jijini Soweto ambapo sasa ni jumba la makumbusho.


Muombolezaji akiimba nje ya nyumba ya Mandela jijini Johannesburg.



Victoria Johnson na binti yake Dawn Stephens wakiomboleza nyumbani kwa Mandela


Muombolezaji akiwasha mshumaa nje ya ubalozi wa Afrika Ya Kusini uliopo jijini London.


Keaton Anderson akipigwa picha na baba yake kwenye sanamu ya Mandela nje ya ubalozi wa Afrika Ya Kusini jijini Washington,kama kumbukumbu ya kifo cha Mandela


Msanii wa uchoraji ajulikanae kwa jina la ''Franco the Great'' akiwa ameweka pozi mbele ya picha ya Mandela aliyoichora mwaka 1995 na baadae akaongezea ya Rais wa Marekani Barrack Obama katika mtaa wa 125th Harlem street uliopo karibu na New York.




Marc Easton akimsalimia Denis Du Preez mzaliwa wa Arika ya kusini na meneja wa mgahawa wa kiafrika ya kusini wa Madiba uliopo Brooklyn New York.


Michille Andrews kutoka Cape Town afrika ya kusini akimkumbatia rafiki nje ya mgahawa wa Madiba jijini New York Huku akisema haya "You don't expect it to affect you like that," akizungumzia kifo cha Mandela Nelson Mandela. "What stood out for me is that he forgave the prison guards and moved forward."

 
Waombolezaji jijini New York katika ukumbi wa starehe wa Apollo.


Watu wakiangalia mchoro wa Msanii wa Brazil Muralist Eduardo Kobra ukionesha sura ya Mandela huko jijini Los Angeles,wilaya ya Hollywood maeneo ya Highland Avenue.


Thursday, December 5, 2013

MSIMAMO WA LIGI KUU YA UINGEREZA BAADA YA MECHI ZA JANA USIKU




 
Position Team Played Goal Difference Points
1 Arsenal 14 19 34
2 Chelsea 14 14 30
3 Man City 14 26 28
4 Liverpool 14 13 27
5 Everton 14 9 27
6 Tottenham 14 -2 24
7 Newcastle 14 -2 23
8 Southampton 14 5 22
9 Man Utd 14 4 22
10 Aston Villa 14 0 19
11 Swansea 14 1 18
12 Hull 14 -6 17
13 West Brom 14 -2 15
14 Stoke 14 -6 14
15 Cardiff 14 -9 14
16 Norwich 14 -16 14
17 West Ham 14 -3 13
18 Fulham 14 -14 10
19 Crystal Palace 14 -14 10
20 Sunderland 14 -17 8

ARSENAL MOTO CHINI, LIVERPOOL,MAN CITY KICHEKO, MAN UTD CHALIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

Arsenal imeendeleza wimbi la ushindi na kukomaa kileleni mwa ligi kuu ya Uingereza kwa kuichabanga Hull City kwa bakora 2 kwa uchungu katika dimba la Emirates jana usiku.
Dakika ya pili ya mchezo Mchezaji wa Denmark Nichlas Bendtner alitoa gundu la kutokufunga magoli kwa kichwa safi akiunganisha krosi iliyopigwa na Jenkinson.


Nicklas Bendtner akishangilia baada ya kufunga goli la kwanza

Mpaka timu zinaenda mapumziko Arsenal ilikuwa ikiongoza kwa bao 1-0. Kipindi cha pili kiliendelea kuwaumiza Hull City wakati vijana wa Wenger wenye morali ya hali ya juu mwaka huu na matumaini ya kunyakua ndoo ya ligi kuu ya Uingereza, ilikuwa dakika ya 47 ya mchezo pale mchezaji ghali kuliko wote Arsena Metsut Ozil alipotupia mpira kambani baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Aaron Ramsey.
 
Ozil akitupia kambani goli la pili dk 47

 
Ozil kazini



 
ARSENAL 2-0 HULL CITY

Katika mchezo mwingine wa ligi kuu Uingereza ilishuhudiwa Liverpool wakifanya mauaji kwa kuiadhibu Norwich City kwa bakora 5-1 katika dimba la Anfield. Luis Suarez hakuridhika na Hat-Trick na badala yake akatupia kambani mabao manne huku moja likitupiwa kambani na kijana mdogo Raheem Sterling na lile la kufutia machozi la Norwich lilitupiwa kambani na Bradley Johnson.


Luis Suarez akishangilia goli.


Suarez akitupia kambani goli la nne


Suarez na Gerrald katika furaha ya ushindi.
 
LIVERPOOL 5-1 NORWICH CITY



Katika mchezo mwingine ilishuhudiwa Man United wakiangukia pua kwa kuchabangwa bao 1-0 na Everton, goli pekee la mchezo huo likitupiwa kambani na Brian Oviedo dk 85.

Brian akitupia kambani bao pekee huku kipa wa Man Utd David De Gea akiwa hana ujanja.


Wachezaji wa Everton wakishangilia ushindi dhidi ya Man Utd hapo jana usiku.

 
MAN UTD 0-1 EVERTON


MATOKEO YA MECHI ZA JANA
Jumatano 4 Des 2013 - LIGI KUU UINGEREZA

Tuesday, December 3, 2013

SNURA-NIMEVURUGWA


YAYA TOURE MWANASOKA BORA WA BBC AFRIKA 2013


Yaya Toure katika uzi wa Man City
Yaya Toure ambaye ni raia wa Ivory Coast, na pia ni kiungo wa klabu ya Manchester City ya Uingereza, Toure alisugua benchi katika tuzo hizo kwa miaka minne mfululizo kwa kutokuwepo  katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo za mwanasoka bora wa mwaka wa BBC upande wa Afrika, Yaya Toure  aliwashinda Pierre-Emerick Aubameyang, Victor Moses, John Mikel Obi na Jonathan Pitroipa, na  kuibuka mshindi.
Toure kwasasa ana umri wa miaka 30.
Orodha fupi ya waliowania tuzo hiyo ilitayarishwa na wataalamu 44 wa soka kutoka kote barani Afrika, na wakizingatia hasa maarifa ya mchezaji, kiufundi, ushirikiano na wenzake katika timu, na kwa kucheza mchezo safi na wa uhakika kwa nidhamu ya hali ya juu. 

 
Yaya Toure katika uzi wa timu yake ya Taifa,Ivory Coast
 
Tazama udambwidambwi wa Yaya Toure

Friday, November 22, 2013

P-SQUARE WATINGA JIJINI JANA USIKU TAYARI KUFANYA MAKAMUZI KESHO

Wale wakali wa muziki toka nchini Nigeria mapacha wawili wanaounda kundi la P-Suare wamewasili jana usiku nchini Tanzania tayari kwa kupiga show la nguvu jijini Dar es salaam. 
Tazama walivyopokelewa katika uwanja wa ndege wa Mwl Julius Kambarage Nyerere.


P-Square wakiwasili katika uwanja wa Mwl J.K Nyerere.


Mahojiano na kituo cha East Africa Radio ambao ndio wenyeji wa wanamuziki hao.


Umati wa mashabiki wa muziki waliofika kuwalaki


Wakielekea Hotelini kupumzika tayari kwa show siku ya Jumamosi katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam.

SAMSUNG KUILIPA APPLE FAINI YA DOLA BIL 1 ZIKIWA COINS KWENYE MALORI 30 NI UZUSHI,SOMA HAPA

 
 Hii ndio picha iliyotumika katika mitandao ya kijamii ikieleza kwamba, "Asubuhi ya leo zaidi ya malori 30 yakiwa yamejaa coins yametia timu katika makao makuu ya ofisi za AppleMjini California" Uvumi huo unaelezea kwamba Kampuni ya Samsung wamekubali kulipa faini ya dola bilioni 1 za kimarekani kwa njia hii ikiwa ni kutokana na mchezo mchafu wa kudai fidia uliofanywa na Kampuni ya Apple, Habari hii imesisitizwa kuwa ni uzushi soma habari ya ukweli kama ifuatavyo: mliokimbia umande samahaninini kwa hili.


A Rumor that has been circulating today that the fine of $1 billion, which Samsung Electronics Co., Ltd.owes Apple Inc. for patent infringement has been paid in quite a humorous way. The rumor which states that  Samsung Electronics Co., Ltd. sent “more than 30 trucks to Apple’s headquarters loaded with nickels [5-cent pieces],”

 Samsung Apple Coins
Picha ambayo ni ya uzushi inayotumika katika mitandao ya kijamii

Such rumors could never be true (may be later, when the damages are actually due and Samsung resorts to such acts), as the fine awarded by jury is not yet payable. The final decision, which could including tripling of the fine, is due at a later date. As of now we only have verdict. Also, as per the US laws, Apple Inc. could legally deny the payment in coins. The following statement from US treasury, highlights the fact:
“Q: I thought that United States currency was legal tender for all debts. Some businesses or governmental agencies say that they will only accept checks, money orders or credit cards as payment, and others will only accept currency notes in denominations of $20 or smaller. Isn’t this illegal?
A: The pertinent portion of law that applies to your question is the Coinage Act of 1965, specifically Section 31 U.S.C. 5103, entitled “Legal tender,” which states: “United States coins and currency (including Federal reserve notes and circulating notes of Federal reserve banks and national banks) are legal tender for all debts, public charges, taxes, and dues.”
According to this laws, all US money are legal tender and should be accepted and paid freely. However, there is no Federal statute mandating the same for a private business, a person or an organization. Private organizations are free to frame their own payment methods. Also, it’s going to take way more than 30 trucks to carry $1 billion in cents, unless the payment is in instalments. The sell side analysts have not yet calculated the amount of trucks needed for $1 billion of nickels.

The rumor all started with the news that more than 30 trucks carrying coins of 5 cents reached Apple’s headquarters in California.  Initially the security at the gate assumed it came to a wrong place until Tim Cook, Apple Inc NASDAQ:AAPL) CEO, received a call from his Samsung counterpart explaining that they will be paying the $1 billion fine in this fashion. The news also cited a statement from Samsung Electronics chairman that they are not going to be perturbed by a group of “geeks with style” and that if Apple Inc (NASDAQ:AAPL) want to play dirty; they also know how to do it. The news went viral in part because the signed legal document does not specify any payment method.
What if the rumors had been true? the iPhone maker will then have to devise a method for counting all the money  plus find a secure place to store them until they are deposited in the bank, and that to only if the bank is willing to accept $1 billion in coins.
This hilarious story originated from “humour” site 9gag, which has been described as “a place normally reserved for z-list memes and screenshots of Facebook statuses.”  Whatever it is, the news will surely prompt US regulators to plug the loophole regarding the payment method for a private organization and could also force the jury to specify the payment method for the $1 billion damages.