Tuesday, December 3, 2013

SNURA-NIMEVURUGWA


YAYA TOURE MWANASOKA BORA WA BBC AFRIKA 2013


Yaya Toure katika uzi wa Man City
Yaya Toure ambaye ni raia wa Ivory Coast, na pia ni kiungo wa klabu ya Manchester City ya Uingereza, Toure alisugua benchi katika tuzo hizo kwa miaka minne mfululizo kwa kutokuwepo  katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo za mwanasoka bora wa mwaka wa BBC upande wa Afrika, Yaya Toure  aliwashinda Pierre-Emerick Aubameyang, Victor Moses, John Mikel Obi na Jonathan Pitroipa, na  kuibuka mshindi.
Toure kwasasa ana umri wa miaka 30.
Orodha fupi ya waliowania tuzo hiyo ilitayarishwa na wataalamu 44 wa soka kutoka kote barani Afrika, na wakizingatia hasa maarifa ya mchezaji, kiufundi, ushirikiano na wenzake katika timu, na kwa kucheza mchezo safi na wa uhakika kwa nidhamu ya hali ya juu. 

 
Yaya Toure katika uzi wa timu yake ya Taifa,Ivory Coast
 
Tazama udambwidambwi wa Yaya Toure

Friday, November 22, 2013

P-SQUARE WATINGA JIJINI JANA USIKU TAYARI KUFANYA MAKAMUZI KESHO

Wale wakali wa muziki toka nchini Nigeria mapacha wawili wanaounda kundi la P-Suare wamewasili jana usiku nchini Tanzania tayari kwa kupiga show la nguvu jijini Dar es salaam. 
Tazama walivyopokelewa katika uwanja wa ndege wa Mwl Julius Kambarage Nyerere.


P-Square wakiwasili katika uwanja wa Mwl J.K Nyerere.


Mahojiano na kituo cha East Africa Radio ambao ndio wenyeji wa wanamuziki hao.


Umati wa mashabiki wa muziki waliofika kuwalaki


Wakielekea Hotelini kupumzika tayari kwa show siku ya Jumamosi katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam.

SAMSUNG KUILIPA APPLE FAINI YA DOLA BIL 1 ZIKIWA COINS KWENYE MALORI 30 NI UZUSHI,SOMA HAPA

 
 Hii ndio picha iliyotumika katika mitandao ya kijamii ikieleza kwamba, "Asubuhi ya leo zaidi ya malori 30 yakiwa yamejaa coins yametia timu katika makao makuu ya ofisi za AppleMjini California" Uvumi huo unaelezea kwamba Kampuni ya Samsung wamekubali kulipa faini ya dola bilioni 1 za kimarekani kwa njia hii ikiwa ni kutokana na mchezo mchafu wa kudai fidia uliofanywa na Kampuni ya Apple, Habari hii imesisitizwa kuwa ni uzushi soma habari ya ukweli kama ifuatavyo: mliokimbia umande samahaninini kwa hili.


A Rumor that has been circulating today that the fine of $1 billion, which Samsung Electronics Co., Ltd.owes Apple Inc. for patent infringement has been paid in quite a humorous way. The rumor which states that  Samsung Electronics Co., Ltd. sent “more than 30 trucks to Apple’s headquarters loaded with nickels [5-cent pieces],”

 Samsung Apple Coins
Picha ambayo ni ya uzushi inayotumika katika mitandao ya kijamii

Such rumors could never be true (may be later, when the damages are actually due and Samsung resorts to such acts), as the fine awarded by jury is not yet payable. The final decision, which could including tripling of the fine, is due at a later date. As of now we only have verdict. Also, as per the US laws, Apple Inc. could legally deny the payment in coins. The following statement from US treasury, highlights the fact:
“Q: I thought that United States currency was legal tender for all debts. Some businesses or governmental agencies say that they will only accept checks, money orders or credit cards as payment, and others will only accept currency notes in denominations of $20 or smaller. Isn’t this illegal?
A: The pertinent portion of law that applies to your question is the Coinage Act of 1965, specifically Section 31 U.S.C. 5103, entitled “Legal tender,” which states: “United States coins and currency (including Federal reserve notes and circulating notes of Federal reserve banks and national banks) are legal tender for all debts, public charges, taxes, and dues.”
According to this laws, all US money are legal tender and should be accepted and paid freely. However, there is no Federal statute mandating the same for a private business, a person or an organization. Private organizations are free to frame their own payment methods. Also, it’s going to take way more than 30 trucks to carry $1 billion in cents, unless the payment is in instalments. The sell side analysts have not yet calculated the amount of trucks needed for $1 billion of nickels.

The rumor all started with the news that more than 30 trucks carrying coins of 5 cents reached Apple’s headquarters in California.  Initially the security at the gate assumed it came to a wrong place until Tim Cook, Apple Inc NASDAQ:AAPL) CEO, received a call from his Samsung counterpart explaining that they will be paying the $1 billion fine in this fashion. The news also cited a statement from Samsung Electronics chairman that they are not going to be perturbed by a group of “geeks with style” and that if Apple Inc (NASDAQ:AAPL) want to play dirty; they also know how to do it. The news went viral in part because the signed legal document does not specify any payment method.
What if the rumors had been true? the iPhone maker will then have to devise a method for counting all the money  plus find a secure place to store them until they are deposited in the bank, and that to only if the bank is willing to accept $1 billion in coins.
This hilarious story originated from “humour” site 9gag, which has been described as “a place normally reserved for z-list memes and screenshots of Facebook statuses.”  Whatever it is, the news will surely prompt US regulators to plug the loophole regarding the payment method for a private organization and could also force the jury to specify the payment method for the $1 billion damages.

Thursday, November 21, 2013

MATAIFA 32 YATAKAYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2014 BRAZIL

 

AFRIKA 

Algeria

 

Cameroon
 
Ghana



Ivory Coast



Nigeria
 



 
ASIA 
 Australia, Iran, Japan na Korea Kusini

ULAYA 

Ubelgiji, Bosnia-Hercegovina, Croatia, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Ugiriki, Italia, Uholanzi, Ureno, Urusi, Switzerland na Hispania.

AMERIKA KASKAZINI, KATI NA CARIBBEAN 

Costa Rica, Honduras, Mexico na Marekani

AMERIKA KUSINI


Brazil (ambao ni wenyeji), Argentina, Colombia, Ecuador, Chile na Uruguay.

MJENGO WA LIL WAYNE UNA THAMANI YA 22.5 BILIONI..UTAZAME


Dwayne Michael Carter,Jr a.k.a Lil Wayne. mmiliki halali wa mjengo wa kufa mtu wenye thamani ya Shilingi Bilioni 22.5, Mjengo huu upo ufukweni kabisa wa bahari maeneo ya Miami nchini Marekani.













Burudani kama kawa, Keyboard kwa mbaaaaaaaaali







Jikoni




Pakulala si mchezo








Eneo la kukorofishia misosi









Mjengo unavyoonekana upande wa baharini




Hivi ndivyo ambavyo eneo lililopo mjongo huo kwa mbaaaaaaali

HIZI NDIO TWEETS ZA WACHEZAJI WA ARSENAL KATIKA MTANDAO WA TWITTER

21st November 2013

@JackWilshere
@MirrorFootball good lie today on how I am worried about my fitness before the World Cup! Please let me know when actually said that?
26m
@m8arteta
RT @LoBer99: Exquisite dinner at 1 Michelin Star @ametsaarzak in London/Exquisita cena en el Estrella Michelin Ametsa en Londres http://t.c…
12h

20th November 2013

@AaronRamsey
Think you've got what it takes to beat me at FIFA 14? Come & try at the PS4 Lounge tomorrow from 16.30! #4ThePlayers http://t.co/dYXlCm6iX6
14h
@m8arteta
Que rica cena en el Restaurante Ametsa de Londres. Gracias a todo el equipo de @AmetsaArzak por cuidarnos tan bien. http://t.co/lAwUv728Tj
15h
@m8arteta
Great dinner at Ametsa restaurant. Thanks to all the staff @AmetsaArzak for looking after us so well. http://t.co/DHBupyRw9z
15h
@Alex_OxChambo
@OleChamberlain @GeorgeThorne15 Not wrong! Don't bail on us this time!
15h
@JackWilshere
I'm slowly turning into my old man! #GodHelpMe http://t.co/tjM6nRtKja
18h
@bendtnerb52
Fangeleg med spiderman #purpledragon #iamtotallfortheplayground http://t.co/Y4eud49e6J
19h
@_OlivierGiroud_
Job done!!! ❤️🇫🇷❤️ #Lesbleus #mat #pat #me #qualify #Brazil #worldcup2014 #amazing #game #3-0… http://t.co/EgGz9BCAXB
21h
@bendtnerb52
So good to have Robert back in Arsenal. My mums favourite player #hero #Inspiration #Legend http://t.co/jmuDNreVDz
21h
@MesutOzil1088
Great evening for #afc and all my friends in the #wcq 2014. Per and cristiano you are totally awesome! M1Ö
1 d

19th November 2013

@abouVDIABY
Bumped into the artists @ZainBhikha and Naeem Muhammad of @NativeDeen. Nice guys. http://t.co/3ptZsefYaB
1 d
@Alex_OxChambo
RT @NikeUK: #England and @WayneRooney qualified in style. Their next challenge: Take it to Brazil. http://t.co/qAbrQufbl2
2 d
@abouVDIABY
With top man @Nathanellington @TheAMF for a TV interview today in London. http://t.co/5p17Ab5StY
2 d
@AaronRamsey
Nobody would have guessed that! #joeyVmatt again..I think well have to get used to them two battling it out
2 d
@AaronRamsey
Can't believe he's got nothing for eating all of that... #imaceleb
2 d
@19SCazorla
RT @Oviedochic: Fiesta de Nochevieja del HOTEL SILVOTA cena + fiesta (80€) solo fiesta (45€) barra libre y Bus precios hasta el 01/12 http:…
2 d

18th November 2013

@KieranGibbs
RT @NikeUK: #England and @WayneRooney qualified in style. Their next challenge: Take it to Brazil. http://t.co/qAbrQufbl2
2 d
@AaronRamsey
Thanks to the guys at @PlayStation for helping me get my hands on a #PS4. Can't wait to get playing #4ThePlayers http://t.co/IF2YiJgfId
2 d
@19SCazorla
Here we are!! Aqui estamos! http://t.co/50VYSal3vH
2 d