Friday, January 20, 2012

Ucheshi wa Computer (computer humor)

SilentFun The Best Group Join It

SilentFun The Best Group Join It

SilentFun The Best Group Join It






SilentFun The Best Group Join It

Vifahamu viwanja na timu Kombe la mataifa ya Afrika Equatorial Guinea na Ratiba kamili


Ramani ikionesha viwanja vitakavyotumika kombe la mataifa ya Afrika


Uwanja wa Bata,Estadio de Bata


Uwanja wa Malabo,Malabo stadium

Group A
GUINEA EQ.
LIBYA
SENEGAL
ZAMBIA
 
Group B
COTE D’IVOIRE
SUDAN
BURKINA FASO
ANGOLA

Group C
GABON
NIGER
MOROCCO
TUNISIA

Group D
GHANA
BOTSWANA
MALI
GUINEA
                                     RATIBA KAMILI KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA
 
Group matches/Matches de groupe
No.
Match
Group(e)
Date
Time/Heure
Venue/Lieu
01.
GUINEA EQ. vs. LIBYA
A
21/01/2012
19H:30
Bata
02.
SENEGAL vs. ZAMBIA
A
21/01/2012
22H:00
Bata
03.
COTE D’IVOIRE vs. SUDAN
B
22/01/2012
17H:00
Malabo
04.
BURKINA FASO vs. ANGOLA
B
22/01/2012
20H:00
Malabo
05.
GABON vs. NIGER
C
23/01/2012
17H:00
Libreville
06.
MOROCCO vs. TUNISIA
C
23/01/2012
20H:00
Libreville
07.
GHANA vs. BOTSWANA
D
24/01/2012
17H:00
Franceville
08.
MALI vs. GUINEA
D
24/01/2012
20H:00
Franceville
09.
LIBYA vs. ZAMBIA
A
25/01/2012
17H:00
Bata
10.
GUINEA EQ. vs. SENEGAL
A
25/01/2012
20H:00
Bata
11.
SUDAN vs. ANGOLA
B
26/01/2012
17H:00
Malabo
12.
COTE D’IVOIRE vs. BURKINA FASO
B
26/01/2012
20H:00
Malabo
13.
NIGER vs. TUNISIA
C
27/01/2012
17H:00
Libreville
14.
GABON vs. MOROCCO
C
27/01/2012
20H:00
Libreville
15.
BOTSWANA vs. GUINEA
D
28/01/2012
17H:00
Franceville
16.
GHANA vs. MALI
D
28/01/2012
20H:00
Franceville
17.
GUINEA EQ. vs. ZAMBIA
A
29/01/2012
19H:00
Malabo
18.
LIBYA vs. SENEGAL
A
29/01/2012
19H:00
Bata
19.
SUDAN vs. BURKINA FASO
B
30/01/2012
19H:00
Bata
20.
COTE D’IVOIRE vs. ANGOLA
B
30/01/2012
19H:00
Malabo
21.
GABON vs. TUNISIA
C
31/01/2012
19H:00
Franceville
22.
NIGER vs. MOROCCO
C
31/01/2012
19H:00
Libreville
23.
BOTSWANA vs. MALI
D
01/02/2012
19H:00
Libreville
24.
GHANA vs. GUINEA
D
01/02/2012
19H:00
Franceville

Quarter Finals – ¼ de finale
25.
1st A vs. 2nd B
04/02/2012
17H:00
Bata
26.
1st B vs. 2nd A
04/02/2012
20H:00
Malabo
27.
1st C vs. 2nd D
05/02/2012
17H:00
Libreville
28.
1st D vs. 2nd C
05/02/2012
20H:00
Franceville
Semi-Finals - ½ Finale
29.
Win. 25 vs. Win. 28
08/02/2012
17H:00
Bata
30.
Win. 27 vs. Win. 26
08/02/2012
20H:00
Libreville

3rd Place
match – Match de classement
31.
Loser 29 vs. loser 30
11/02/2012
20H:00
Malabo

Final/Finale
32.
Win. 29 v Win. 30
12/02/2012
20H:00
Libreville

Messi na Cristian Ronaldo nani zaidi ? tazama video hii ya maujuzi yao

Video ya magoli na matukio Barcelona ilipodhihirisha ubabe wake kwa Real Madrid

Pazia la Kombe la Mataifa ya Afrika kufunguliwa Kesho 21 jan 2012

Equatorial Guinea na Libya mechi ya ufunguzi.
Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika yanaanza wikendi hii, mechi ya ufunguzi ikichezewa Bata kati ya waandalizi Equatorial Guinea (wakishirikiana na Gabon) dhidi ya Libya.                    
Bila shaka Libya itajaribu kuonyesha picha mpya, kufuatia mabadiliko ya kisiasa.

Uwanja wa Bata ambapo mechi ya ufunguzi kati ya Equatorial Guinea na Libya itachezwa.

Libya iliwashangaza wengi ilipofuzu kuingia katika mashindano hayo, baada ya kutofungana mabao (0-0) ilipocheza na Zambia.
Hii nafasi kwa timu ya Libya kuanza upya, na baada ya kuitupa bendera yake iliyokuwa na msitari wa kijani kibichi, na kuanza kutumia iliyo na rengi nyekundu na nyeupe, na kuipatia timu jina jipya la Mediterranean Knights.
Hakuna anayeweza kusema kwamba maandalizi ya michuano hii ni kazi rahisi.
Ingawa Equatorial Guinea na Gabon ni mataifa jirani, kiutamaduni na kisiasa yana tofauti kubwa.
Equatorial Guinea ni taifa ambalo limeongozwa na Teodoro Obiang, ambaye ni kati ya marais wa Afrika ambao wamekuwa madarakani kwa muda mrefu sana barani Afrika.
Kifedha, ni taifa ambalo linanawiri kutokana na utajiri wake mkubwa kwa kutoa mafuta.
Hata hivyo, nchi hiyo inalaumiwa na wengi kwa kukosa uhuru wa kujielezea, na kwa kutozingatia haki mbalimbali za binadamu.
Nchini Gabon, rais Ali Bongo ndio tu ameweza kuwa imara zaidi, baada ya kupata kuungwa mkono na wengi katika bunge la nchi hiyo, kufuatia uchaguzi wa mwezi Desemba, ambao baadhi ya viongozi wa upinzani walitaka ususiwe.
Lugha ya taifa nchini Gabon ni kifaransa, lakini kihispania kunazungumzwa Equatorial Guinea.
Miji itakayochezewa mechi iko mbalimbali, na baya zaidi, mji mkuu wa Equatorial Guinea, Malaba, upo katika kisiwa cha Bioko, karibu na Cameroon.
Mashirika mapya ya vyombo vya habari yamechukizwa na ukiritimba na ugumu katika kupata vibali vya kuingia nchini humo na kutangaza moja kwa moja mechi zitakazochezwa katika mataifa hayo.
Vile vile kuna wasiwasi hali ya usalama itakuwa vipi, katika kuwapokea mamia ya waandishi wa habari, na vikundi mbalimbali vya wafanyikazi wa mashirika ya redio na televisheni.
Mashabiki wa soka barani Afrika wanauhusudu sana kandanda.
Lakini ni wangapi watasafiri, kwa mfano, kutoka Zambia hadi Bata?
Hata hivyo, licha ya matatizo ya usafiri, kuna matumaini kwamba michuano itakuwa ya kuvutia, na mataifa kama Niger na Botswana, yaliyofuzu kushiriki kwa mara ya kwanza, yataonyesha mchezo wa kusisimua.
Wengi wataitazama Niger, hasa kwa kuwa majirani Nigeria walishindwa kufuzu; lakini watapambana na ushindani mkali kutoka kwa Gabon, Tunisia na vile vile Morocco.
Muhimu pia katika mashindano haya ni suala la ni nani hayupo.
Sio tu Nigeria, lakini miamba mingine ya soka, Afrika Kusini, Cameroon na wachezaji hodari wa Misri, wote walishindwa kufuzu.
Je, kukosekana kwao kutakuwa na athari gani katika ubora wa mechi zitakazochezwa?
Ama labda mashabiki wengi watayageuzi mashindano kisogo kwa kukosekana miamba hiyo?
Lakini pasipo majina hayo makubwa, hii ni nafasi kwa wageni pia kuondoka na kombe.
Ivory Coast wanatazamiwa na wengi kuondoka na ushindi, lakini mataifa ya Ghana na Senegal pia yana nafasi nzuri.
Kutokuwepo kwa Misri ni matumaini kwa mabingwa hapo zamani, Morocco au Tunisia, kutazamiwa na mashabiki wa Afrika ya Kaskazini kulifikisha kombe huko.