Magoli ya Bayern yalifungwa na Kroos dk 6 kabla Thomas Muller kuongeza la pili dk 20 mpaka mapumziko magbao yalikuwa 2-0. Kipindi cha pili kama Arsenal waliamka vile lakini waaap pamoja na kupata bao la kufutia machozi katika dk 54 lililotupiwa na Podolski kwa kichwa baada ya kipa wa Bayern kufanya makosa katika kudaka mpira wa kona, na dk 76 Mandzukic alipeleka kilio London kwa kutupia kamba ya tatu.

Kroos akifunga goli la kwanza

Muller akitupia la pili

Mandzukic akitupia la tatu

Wilshere na Shwerzteinger

Twendeni tumeshapigwa

Pole mzee wenger unayataka mwenyewe nyoooooo!
ARSENAL 1-3 BAYERN MUNICH