
Wachezaji wa Chile wakishangilia ubingwa wa Copa America

Alexis Sanchez "SANchenga" akishangilia baada ya kutupia penati ya mwisho na ya ubingwa.


Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa wachezaji wa Argentina wakati Sanchez akipiga penati wa mwisho

Ushindi mtaaaaaamu hawa ni mashabiki wa Chile

Woyooooooooooooooooooooo Vidal akishangilia ushindi

Wachezaji wa Argentina wakiongozwa na Messi kuvaa medali za ushindi wa pili huku wakilitazama kombe kwa "ugwadu"
Cheki mtanange huo hapa