Monday, July 6, 2015

CHILE BINGWA COPA AMERICA

Chile yanyakua kombe la Copa America baada ya kuichabanga Argentina kwenye mikwaju ya penati baada ya kushindwa kufungana ndani ya dakika 120. Chile ilipata penati 4 na Argentina moja tuuuu.

Wachezaji wa Chile wakishangilia ubingwa wa Copa America
null
Alexis Sanchez "SANchenga" akishangilia baada ya kutupia penati ya mwisho na ya ubingwa.

null
null
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa wachezaji wa Argentina wakati Sanchez akipiga penati wa mwisho
null
Ushindi mtaaaaaamu hawa ni mashabiki wa Chile

null
Woyooooooooooooooooooooo    Vidal akishangilia ushindi

null
Wachezaji wa Argentina wakiongozwa na Messi kuvaa medali za ushindi wa pili huku wakilitazama kombe kwa "ugwadu"

 
Cheki mtanange huo hapa