
MAREHEMU HUSSEIN RAMADHANI MKIETI "SHARO MILIONEA"
Zifuatazo ni picha za matukio katika mazishi ya msanii mchekeshaji na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a SHARO MILIONEA yaliyofanyika nyumbani kwao Muheza,Tanga siku ya Jumatano 28/11/2012.
Sajuki na Mlela wakiwa msibani

Umati wa waombolezaji wakiwa msibani

Baadhi ya wasanii waliohudhuria msibani Belle 9,Shetta,Timbulo na Tundaman
Mama mzazi wa Sharo Milionea akilia kwa uchungu katika msiba wa mwanawe.
Mjomba wa Sharo Milionea akimwaga chozi
Wema Sepetu akiwa msibani

Miss Kinondoni 2 Husna akimwaga Chozi
WALIOTOA NASAHA
Steve Nyerere

Nape Nnauye
Mzee Majuto

Mwana FA akitoa salamu kwa niaba ya wasanii wa Bongo flava
Mwili wa marehemu Sharo Milionea ukianza safari kuelekea makaburini

Kila mtu alijitahidi kufanya awezavyo ili mradi ashuhudie mazishi
Nnauye akiwa eneo la makaburini
WALIOZIMIA




MAKABURINI

Mzee Majuto


GARI ALILOPATA NALO AJALI
