On Saturday evening, Mena Suvari put a sexy spin on the little black dress when she showed up at the Motion Picture & Television Fund gala in a barely-there Maria Lucia Hohan cocktail frock
| 25 |
Czech Republic |
v |
Portugal |
|
|
|
|
| 26 |
Germany |
v |
Greece |
Arena Gdansk |
|
|
|
| 27 |
Spain |
v |
France |
Donbass Arena |
|
|
|
| 28 |
England |
v |
Italy |
NSC Olimpiyskiy |
|
|
|
| 29 |
Winner Q/F 1 |
v |
Winner Q/F 3 |
Donbass Arena |
|
|
|
| 30 |
Winner Q/F 2 |
v |
Winner Q/F 4 |
Warsaw National Stadium |
|
|
|
| 31 |
Winner SF1 |
v |
Winner SF2 |
Olympic Stadium |
|
|
Group A
| 1 |
Czech Republic |
3 |
2 |
0 |
1 |
4 |
5 |
-1 |
6 |
| 2 |
Greece |
3 |
1 |
1 |
1 |
3 |
3 |
0 |
4 |
| 3 |
Russia |
3 |
1 |
1 |
1 |
5 |
3 |
2 |
4 |
| 4 |
Poland |
3 |
0 |
2 |
1 |
2 |
3 |
-1 |
2 |
Group B
| 1 |
Germany |
3 |
3 |
0 |
0 |
5 |
2 |
3 |
9 |
| 2 |
Portugal |
3 |
2 |
0 |
1 |
5 |
4 |
1 |
6 |
| 3 |
Denmark |
3 |
1 |
0 |
2 |
4 |
5 |
-1 |
3 |
| 4 |
Netherlands |
3 |
0 |
0 |
3 |
2 |
5 |
-3 |
0 |
Group C
| 1 |
Spain |
3 |
2 |
1 |
0 |
6 |
1 |
5 |
7 |
| 2 |
Italy |
3 |
1 |
2 |
0 |
4 |
2 |
2 |
5 |
| 3 |
Croatia |
3 |
1 |
1 |
1 |
4 |
3 |
1 |
4 |
| 4 |
Ireland |
3 |
0 |
0 |
3 |
1 |
9 |
-8 |
0 |
Group D
| 1 |
England |
3 |
2 |
1 |
0 |
5 |
3 |
2 |
7 |
| 2 |
France |
3 |
1 |
1 |
1 |
3 |
3 |
0 |
4 |
| 3 |
Ukraine |
3 |
1 |
0 |
2 |
2 |
4 |
-2 |
3 |
| 4 |
Sweden |
3 |
1 |
0 |
2 |
5 |
5 |
0 |
3 |
Mashabiki wa soka wa Uingereza wakilipuka kwa mayowe ya ushindi
Chama cha soka cha England, FA, kimelimwa faini ya Euro 5,000
(sawa na pauni 4000), kutokana na utovu wa nidhamu wa mashabiki wake ambao
Ijumaa iliyopita walijaribu kuuvamia uwanja baada ya England kuichabanga Sweden.
Faini hiyo ni kufuatia mashabiki kujaribu kuingia uwanjani baada ya England
kuiangushia kipigo Sweden cha 3-2 katika mechi ya kundi D mjini Kiev.
Chama cha FA kimeamua hakitakata rufaa kuhusiana na faini hiyo, na kwa kuwa
UEFA haijaitoza FA pesa nyingi, inaashiria kwamba shirikisho hilo la soka ya
Ulaya linalichukua tukio hilo kama jambo dogo.
"Tunakubali hatua iliyochukuliwa, na tunalifikiria tukio hili kama jambo
ambalo limetatuliwa," taarifa ya FA ilielezea.
Baada ya magoli ya England yaliyotiwa wavuni na Theo Walcott na Danny
Welbeck, mashabiki kati ya 20 hadi 30 walivikaribia vizuizi uwanjani, na kutaka
kuingia ndani ya uwanja wa Olympic, lakini walifanikiwa kuifikia sehemu ya
riadha tu.
Chama cha FA, kikijitetea, kiliweza kutoa ushahidi thabiti wa video mbele ya
UEFA na kuonyesha kwamba “uvamizi” huo ulikuwa ni jambo ambalo lilitokea
ghafula, na wala mashabiki hao hawakuwa wamepanga kutekeleza kitendo hicho.
Tukio hilo lilichukuliwa kama jambo dogo, na hata afisa wa UEFA katika mechi
hiyo hakulitaja katika ripoti yake kuhusiana na mechi.
Chama cha FA pia kimethibitisha kwamba hakuna mashabiki wa England
waliokamatwa aidha nchini Poland au Ukraine katika mashindano ya mwaka huu.