Thursday, November 3, 2011
Man U, Man C, Real, Bayern, Ajax, Zafanya kweli ligi ya mabingwa ulaya

Yaya Toure akishangilia goli.
Wakati Man United wakisumbuliwa na na Otelul Galati, mahasimu wao Man City walikuwa wakiwafunza mpira Villareal nyumbani kwaoUhispania.
Yaya Toure aliipatia Manchester City magoli mawili na kuiongezea matumaini ya kusonga mbele katika michuano hiyo ya klabu bingwa bara Ulaya.
Ingawa Man City walikuwa wanacheza kama watu walio uwanjani kwao wakifanya mazoezi ,lakini walitoka uwanjani wakiwa na hofu baada ya mchezaji wao matata David Silva kuondoka uwanjani akiwa na maumivu mgongoni.
Olympique Lyon 0-2 Real Madrid
Cristiano Ronaldo alifunga mabao mawili na kuipatia Real Madrid ushindi wa mabao mawili na wenyeji wao Olympique Lyon ya Ufaransa sufuri.Ajax Amsterdam 4-0 Dynamo Zagreb.
Nayo Ajax Amsterdam iliwachapa wageni wao Dynamo Zagreb 4-0 .Hivyo Real Madrid wanaongoza kundi D na pointi 12 wakifuatwa na Ajax Amsterdam na alama 7.
Bayern Munich 3-2 Napoli.
Bayern Munich waliwafunga wageni wao Napoli ya Italy 3-2.Kwa ushindi huo Bayern iko kileleni mwa kundi A na pointi 10 wakifuatwa na Manchester City na pointi 7. Villarreal ni ya mwisho.
Manchester United waliwafunga Otelul Galati mbili sufuri lakini walitolewa jasho na timu hiyo ya Rumania.
Antonio Valencia aifungia Man U bao la kwanza
Baada ya bao lao la kwanza, vijana Sir Alex Ferguson ambao walikuwa wanacheza nyumbani Old Traford hawakuwa na mchezo wa kuvutia.
Ni baadae sana katika dakika ya 87 ambapo Wayne Rooney aliifungia Manchester United bao la pili.
Hii ilikuwa ni mara yakwanza kwa Man U kucheza katika uwanja wao wa nyumbani tangu walipopigwa 6-1 na jirani zao Man City.
Tangu kipigo hicho Manchester United hawaja weza kutulia na kuonyesha mchezo wa kuvutia. Hata hivyo la muhimu nikuwa Jumatano usiku waliifunga Otelul Galati, 2-0 na kuzoa pointi tatu.
Baada ya matokeo ya mechi hizo Manchester sasa wanaongoza kundi C na point nane sawa na Benfica ya Ureno lakini kwa wingi wa magoli.
Wednesday, November 2, 2011
JUDGE Vs CHILD (Kichekesho)
Judge to child: Do you want to live with your mother?
Child: No
Judge: Why?
Child: She beats me.
Judge: Okay, so you want to live with dad?
Child: No
Judge: Why not?
Child: He beats me too.
Judge: So who do you want to live with?
Child: TAIFA STARS.
Judge: WHY??
Child: They never beat anyone!
JINSI AMBAVYO NYOKA ANAANDALIWA TAYARI KWA KULIWA


Dried gallbladder of snakes are used like immunomodulator, the medicine reinforcing immune system; encapsulated snake oil is a natural product containing collagen - good for CVD prevention; powder made of snake genitals is a secret of men's sexual drive.
There is one more thing - you may try to drink fresh snake blood and eat its still warm heart. It's believed that drinking blood of a creature with perfect immune system makes your own immune system much stronger - that's the reason why people drink blood of crocodiles and snakes. Heart is eaten to obtain the power of the animal that was killed.
First of all Siamese cobra must be chosen.

It is let our from the cage and it crawls right at your feet, it seems the cobra needs just a second to get to you and make a deadly bite, but it's known that snakes don't attack first.

Kwanza nyoka hukamatwa na kuminywa shingoni.


Then its body is cleaned.

Shallow notch and the snake's heart is taken out



Blood is drained into a glass

When the heart is extracted it still beats for some time...



Blood is diluted with whiskey and tossed off.

The heart is cut for two persons. It's eaten and washed down with alcohol


The cooked meat of the cobra looks like this.

Snake liver tastes like beef liver, there is no much meat but it tastes rather well.

TUZO ZA MWANANDINGA BORA WA DUNIA BARCELONA YATOA 8
Wayne Rooney ni mchezaji pekee wa Uingereza aliyeingia katika mchujo wa wachezaji watakaowania tuzo ya Fifa ya mwanakandanda bora wa mwaka ijulikanayo Ballon d'Or.

Eric Abidal (Ufaransa),

Sergio Aguero (Argentina),

Karim Benzema (Ufaransa),

Iker Casillas (Hispania),

Cristiano Ronaldo (Ureno),

Dani Alves (Brazil),

Samuel Eto'o (Cameroon),

Cesc Fabregas (Hispania),

Diego Forlan (Uruguay),

Andres Iniesta (Hispania),

Lionel Messi (Argentina),
Thomas Muller (Ujerumani), 
Nani (Ureno),

Neymar (Brazil),

Mesut Ozil (Ujerumani),

Gerard Pique (Hispania),

Wayne Rooney (England),

Bastian Schweinsteiger (Ujerumani),
Wesley Sneijder (Uholanzi),

Luis Suarez (Uruguay),

David Villa (Hispania),

Xabi Alonso (Hispania),

Xavi (Hispania).
Vicente Del Bosque (Hispania na timu ya taifa ya Hispania), Sir Alex Ferguson (Scotland/Manchester United), Rudi Garcia (Ufaransa/Lille), Pep Guardiola (Hispania/Barcelona), Jurgen Klopp (Ujerumani/Borussia Dortmund), Joachim Loew (Ujerumani na timu ya taifa ya Ujerumani), Jose Mourinho (Ureno/Real Madrid), Oscar Tabarez (Uruguay/Na timu ya taifa ya Ujerumani), Andre Villas-Boas (Ureno/Porto, Chelsea), Arsene Wenger (Ufaransa/Arsenal).
Barcelona yaua 4 Arsenal Yalazimishwa suluhu na Marseille
Licha ya kucheza nyumbani, timu ya Arsenal wameshindwa kuifunga timu ya Olympic Marseille ya Ufaransa ilikujihakikishia tiketi katika hatua ya 16 bora ya ligi ya mabingwa.
Hatua ya Mkufunzi Arsene Wenger kumuacha njee ya kikosi chake nahodha Robin van Persie kulionekana kuwapunguzia miamba ya Arsenal motisha.
Badala yake ni Olympic Marseille ndio waliokuwa mwiba katika ngome ya Arsenal huku Jordan na Andre Ayew wakikosa nafasi kadhaa za kuiadhibu Arsenal nyumbani kwao Emirates.
Licha ya sare hiyo Arsenal bado inaongoza kundi F wakiwa na alama nane . Olympic Marseille ni ya pili na alama saba.
Kwengineko mabingwa watetezi Barcelona ya Uhispania waliwatwanga Viktoria Plzen ya Jamhuri ya Ucheki kwa magoli 4-0.
Mchezaji bora duniani Lionel Messi aliwaonyesha kivumbi wenyeji wao kwa kufunga mabao matatu. Cesc Farbregas aliipatia Barca bao la tatu katika dakika ya 72.
Hii ni mara ya 14 kwa Lionel Messi kufunga mabao matatu katika mechi moja tangu aanze kuichezee Barcelona .
Kwa ushindi huo Barcelona inakuwa timu ya kwanza kujikatia tiketi ya kuingia katika hatua ya 16 bora ambayo ni mechi za muondoano.
Hatua ya Mkufunzi Arsene Wenger kumuacha njee ya kikosi chake nahodha Robin van Persie kulionekana kuwapunguzia miamba ya Arsenal motisha.
Washambulizi wa Arsenal hawakuonekana kwamba ni tishio katika ngome ya wageni wao Marseille katika mechi hiyo.
Badala yake ni Olympic Marseille ndio waliokuwa mwiba katika ngome ya Arsenal huku Jordan na Andre Ayew wakikosa nafasi kadhaa za kuiadhibu Arsenal nyumbani kwao Emirates.
Licha ya sare hiyo Arsenal bado inaongoza kundi F wakiwa na alama nane . Olympic Marseille ni ya pili na alama saba.
Barcelona 4 - 0 Viktoria Plzen
Kwengineko mabingwa watetezi Barcelona ya Uhispania waliwatwanga Viktoria Plzen ya Jamhuri ya Ucheki kwa magoli 4-0.
Mchezaji bora duniani Lionel Messi aliwaonyesha kivumbi wenyeji wao kwa kufunga mabao matatu. Cesc Farbregas aliipatia Barca bao la tatu katika dakika ya 72.
Hii ni mara ya 14 kwa Lionel Messi kufunga mabao matatu katika mechi moja tangu aanze kuichezee Barcelona .
Kwa ushindi huo Barcelona inakuwa timu ya kwanza kujikatia tiketi ya kuingia katika hatua ya 16 bora ambayo ni mechi za muondoano.
Subscribe to:
Posts (Atom)



