Wednesday, May 25, 2011

MAN UNITED WAMSAJILI KIPA WA ATLETICO.

Kocha wa Man united ya Uingereza Sir Alex Furgeson amefunguka na kusema kuwa tayari klabu yake imeshanyaka saini ya golikipa wa Atletico Madrid ya Hispania David De Gea, De Gea anaaminika kuwa ndiye golikipa kinda ghali zaidi duniani. Mashetani hao wekundu wamemnyakua golikipa huyo kwa kitita cha paundi za uingereza milioni 17 vyanzo vya habari vimeeleza.

No comments:

Post a Comment