Friday, June 17, 2011

NG'OMBE ALIYEKATA KAMBA AZUA KIZAAZAA MTAANI.

Ng'ombe aliyekuwa amefungwa katika nyumba moja nchini Sri lanka , haijulikani ni kwasababu alikuwa na njaa au alikuwa na hasira gani ghafla alikata kamba na kuanza kukimbia mitaani na kusababisha taharuki kwa wapita njia kama inavyoonekana pichani. Haikuweza kufahamika mara moja kama baada ya tukio hilo huyo ng'ombe alikamatwa vipi na je kuna mtu aliyejeruhiwa au kuuwawa.

No comments:

Post a Comment