Wednesday, July 20, 2011

JENNIFER LOPEZ,MARC ANTHONY WAACHANA

KISA NI WIVU,KUKOSA UAMINIFU

Walipotangaza kuachana julai 15, Jennifer na Marc Antony waliweka wazi kuwa tayari wameshaweka mambo sawa na kila kitu ni shwari. watu wanaowafahamu wawili hao si ajabu wakashangazwa na kauli hiyo na kuuita huu ndio mwisho wa ndoa yao iliyodumu kwa miaka saba. Uamuzi wa kuachana umekuja baada ya ugomvi uliodumu kwa miezi kadhaa. Taarifa kutoka kwa mtu wa karibu wa wawili hao anasema chanzo kimeanzia katika maandalizi ya filamu, wivu katika steji ya American idol na Lopez (41) akimshutumu Marc Anthony kutokuwa mwaminifu.

Zifuatazo ni picha za familia hiyo kabla ya kuachana wakila bata

Lopez akiwa na mapacha wake Max na Emme










No comments:

Post a Comment