Tuesday, August 9, 2011

CHAMBERLAIN ATUA RASMI ARSENAL

Kiungo wa Southampton Alex Oxlade Chambarlain ameafikiana na timu ya Arsenal baada ya timu hiyo kumfukuzia kwa miezi sita. Chamberlain alifanyiwa vipimo vya afya baada ya kuhitimisha uhamisho wake kutoka Southampton kwenda Arsenal kwa Dau la paundi za uingereza milioni 12.
"Nimekuja Emirates kuangalia mechi chache,nimevutiwa na mazingira pamoja na mashabiki na kila kitu hapa,hivyo ni vigumu kukataa ofa hii"alisema Chamberlain.

No comments:

Post a Comment