Thursday, August 11, 2011

JE WAJUA?

Msitu wa Amazoni unazalisha 20% ya Oxygen ipatikanayo duniani.

Mto wa Amazon unatiririsha maji mengi kuingia Bahari ya Atlantic, na zaidi ya maili 100 za bahari zinaingia katika mdomo wa mto ambapo hutoa maji safi kuelekea baharini.
Ujazo wa maji ya mto wa Amazon ni mkubwa ukilinganisha na jumla ya ujazo wa mito saba mikuu duniani kwa ujumla na mto Amazon unatambaa mara tatu zaidi ya mito yote ya U.S.

No comments:

Post a Comment