Monday, September 12, 2011

MAN CITY KUMSAJILI SERGIO KUTOKA BARCELONA


Sergio Busquets
Habari kutoka Italia (Tutto Mercato) zinasema Man City ya Uingereza inatarajia kutangaza dau la paundi za Uingereza milioni 35 ili kumnasa kiungo wa Barcelona ya Uhispania Sergio Busquets,Taarifa zaidi zinaelezea pamoja na Man City kumhitaji Sergio inaonekana zoezi linaweza kuwa gumu.

No comments:

Post a Comment