Monday, September 12, 2011

TOTTENHAM KUMPA MODRIC MKATABA MNONO


Baada ya kukataa kumuuza Modric Tottenham sasa inapanga kujadili juu ya mkataba wake na kumpa offer nono katika mkataba huo aliosaini 2010 ambao ni wa miaka sita.
Bosi wa Tottenham,Harry Redknap amesema,

“Luka will just get on with it – the chairman will sit down and discuss his contract and make a deal,” explained Spurs boss Harry Redknapp.
“We are looking to make him a good offer.
“The transfer window being shut now makes my job easier because he has to just get on with playing.”

No comments:

Post a Comment