Tuesday, November 1, 2011

Kivazi cha leo

Mwanadada aliejulikana kwa jina moja tu la Elly akiwa ndani ya duka moja jijini Atlanta, akiwa ametinga kivazi kilichowaacha wengi kwenye mshangao huku yeye akiwa hana habari...nimeipenda hiyo.

No comments:

Post a Comment