
Magari yakiwa yamezama ndani ya maji kutokana na mafuriko yaliyovamia kiwanda hicho katika kitongoji cha Ayutthaya,Thailand

Magari yakiwa yameegeshwa kwenye daraja katika kiwanda cha Honda huko Ayutthaya,Thailand.

Dogo akijaribu kukatiza mitaani kwa kutumia karai kama mtumbwi wa kukatiza katika maji ya mafuriko

Waathirika wa mafuriko wakipita karibu na tawi la kiwanda cha magari cha Toyota kilichopo Don Mueang wilaya ya Bangkok huko Thailand.

Show room ya Toyota katika dimbwi la maji.

Kiwanda cha magari ya Honda kikiwa kimefurika maji katika eneo la viwanda la Rojana. Thailand.
No comments:
Post a Comment