Monday, February 27, 2012

Arsenal nomaaaa,yaibanjua Spurs 5-2


Thomas Rosicky akishangilia "kamba" ya tatu dhidi ya Spurs

Matokeo ya mwisho katika mechi kati ya Arsenal na Tottenham Hotspurs yalisomeka 5-2, Magoli ya Arsena yakifungwa na Sagna, Van Persie, Rosicky, Walcott*2. huku Saha na Adebayor wakiipatia Spurs mawili ya kufutia machozi. Mechi hiyo ilipigwa katika dimba la Emirates ambapo mashabiki wa Arsenal walishuhudia timu yao ikitoka nyuma kwa magoli mawili na kupata ushindi wa kishindo dhidi ya Spurs.

Robin Van Persie,Walcott na Chamberlain wakishangilia goli la nne

No comments:

Post a Comment