Wednesday, March 28, 2012

Uwanja unapogeuka dimbwi la matope


Mbwana Samatta kushoto na wachezaji wengine wa TP Mazembe na timu pinzani wakiwa wametapakaa matope baada ya mvua kunyesha na kubadili hali ya uwanja wa Soka huko jamhuri ya kidemokrasia ya kongo (DRC).

No comments:

Post a Comment