Tuesday, May 1, 2012


Vicent Company akitupia goli la pekee na la ushindi lililoisambaza Man United


Nimeuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Tuliaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Weweeeeeee pumbafuuuuuuu

Man City imeichakaza man united bao moja kwa nunge na kujiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza, goli la pekee lilifungwa na Vicent Company dakika ya fulani.

No comments:

Post a Comment