Monday, July 9, 2012

DIVA AFUNGUKA ANAETAKA KUMUOA AWE NA MILIONI 500 TASLIMU


Loveness Love "Diva"

Mtangazaji maarufu wa radio moja ya jijini Diva Loveness Love,Clouds Fm amefunguka na kusema kuwa anaetaka kumtoa katika geti la Mzee Malinzi ambaye ni baba yake pale msasani basi kidume huyo atahitajika kuwa na Milioni 500 Taslimu.
Mtangazaji huyo wa kipindi cha ala za roho cha Clouds FM kinachoanza saa nne za usiku alikuwa akifanya mazungumzo na mtangazaji mwenzake Adam Mchomvu katika kipindi cha XXL mida ya saa 9:30 mchana Diva alifunguka kwa kujiamini kuwa mwanaume anaetaka kumuoa ni lazima awe na milioni 500 taslimu,ndipo atamng'oa kwa Mzee Malinzi, katika mazungumzo hayo Diva alisisitiza na alipoulizwa kama hatotokea akaema basi...tungoje mimi na wewe hatujui yetu macho na masikio. Dunia hii.

Diva katika possssssssssssss

No comments:

Post a Comment