Wednesday, July 18, 2012

HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA "MADIBA"


Nelson Rolihlahla Mandela ametimiza miaka 94. Alizaliwa 18 Julai 1918. Aliwahi kuwa Rais wa Afrika ya Kusini na alishika wadhifa huo tangu mwaka 1994 mpaka 1999. Nakutakia maisha mema mzee Madiba Afrika bado inahitaji busara zako!

Mzee wa Afrika Nelson Mandela akiwa amebeba kombe la dunia pale Afrika ya Kusini ilipokuwa mwenyeji wa kombe hilo mwaka 2010 na Uhispania kuibuka bingwa wa Dunia katika ardhi ya Afrika.


Nelson Mandela enzi za kupigania uhuru

No comments:

Post a Comment